Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yah hakuwa mtu wa makuuu alikuwa mtu poa sana hana baya kiufupiKuna namna labda aliishi na watu vizuri na kuwagusa either in positve.
Tuupe Muda nafasi .
Rip
Waigizaji wa aina hii ni wale tunaowaita ma-super star wa madada wa kazi. Hakuna watu wanaojitambua wanaongalia huo upuuzi wao.Ameanza kuigiza tangu miaka ya 90, ila zaidi amefahamika mwanzoni mwa miaka ya 2000 wakati ambapo kituo cha habari za ITV kuanza kurusha tamthiliya zao.
Alikuwa anajua kubeba uhusika kwenye maigizo yake.
She will real be missed 😭
Itakuwa wewe ni wa juzi au sio mtu wa Bongo EntertainmentSote tunafaham ni Muigizaji (Msanii) lakini sio big fish kama Kanumba katika sanaa ya maigizo. Samata katika sanaa ya mpira. Diamond katika sanaa ya mziki. Mbowe katika siasa
Msanii Grace Mapunda ni msanii mkongwe asiejulikana yaani kitaalam tunaita famous unkown lakin msiba wake umekuwa mkubwa kama wa msanii mkubwa Tanzania.
Pia, soma: TANZIA - Muigizaji Grace Mapunda (Tessa) amefariki dunia
Mara ya kwanza naiona picha yake nikajiuliza nani huyu baada ya kuvuta picha ikaja picha yake.
Je, naye alikua anavaa suti nyeusi kwa siri kama mtangazaji wa Wasafi Mau Kikanga.
Maana wamekufa wasanii wengi lakini hakuna aliepewa nguvu kubwa na masikitiko mengi kama huyu
Pia soma: Chalamila ahimiza mfuko wa kwa ajili ya wasanii wa maigizo, Ofisi yake kutoa milioni 15
Hizi ni area ambazo CCM inatumia kushika nyumbu wa kitanzania masikio, kwanini wasiwekeze huko?Kuna namna labda aliishi na watu vizuri na kuwagusa either in positve.
Tuupe Muda nafasi .
Rip
Wanaume wengi tumechagua kuwa wapenzi wa kuangalia Mpira wakati huo wenzetu wa kike wamechagua kuangalia hizo tamthiliya.Hawa ni waigizaji wa aian hii ni wale tunaowaita ma-super star wa madada wa kazi. Hakuna watu wanaojitambua wanaongalia huo upuuzi wao.
Shigongo kasema alikuwa mwenza wake, wameishi wote mpaka mauti yanamkuta jukumu la wanae atalibeba yeye siku zoteMisiba Mingi ya Wasanii inakuzwa kwa sababu walio hai hilo ndilo Eneo la kutafuta Kiki.
Hasa kuelekea Msimu wa Uchaguzi kama huu hata wasiomjua kama Chalamila na Shigongo nao watajitokeza kujizolea Umaarufu
Ever moreWanaume wengi tumechagua kuwa wapenzi wa kuangalia Mpira wakati huo wenzetu wa kike wamechagua kuangalia hizo tamthiliya.
Japo Siku hizi, imeanza kuwa kawaida Wanaume pia kuwa wapenzi wa tamthiliya za Azam
Hizo ni hearsays tuNimezaliwa na kuish kabla ya tv hazijaanza tv ya kwanza ilikua tvt na tvz
Ni kweli sijakataa lakin sio kwa ukubwa huo aliupata kwenye msiba wake kuna nini nyuma ya pazia maana kapata treatment kama kanumba mpaka rais wa nch anamlilia
Hapana nilianza mwaka 1990 enz za nba itv maiko jordan miziki ya rkelly tamthilia za ua jekundu tausi
Hiyo tamthiliya inatazamwa sana Siku hizi hata na WanaumeEver more
Naipenda sana ukifika uho muda nakuwaa natoa maagizo tu sigusi kituHiyo tamthiliya inatazamwa sana Siku hizi hata na Wanaume
Hahaha........hongera, Mimi muda huo bora niwe nafanya homework za Shule na mtoto kuliko kupoteza muda wangu kuangalia hizo tamthiliyaNaipenda sana ukifika uho muda nakuwaa natoa maagizo tu sigusi kitu
Ni mzuri saana yaaniHahaha........hongera, Mimi muda huo bora niwe nafanya homework za Shule na mtoto kuliko kupoteza muda wangu kuangalia hizo tamthiliya
Ilikuwa ni Utani wa Msukuma na MngoniShigongo kasema alikuwa mwenza wake, wameishi wote mpaka mauti yanamkuta jukumu la wanae atalibeba yeye siku zote
Walioenda wameona makubwa yake...kwanini wewe hukuyaonaa?Amefanya yap makubwa kana kanumba mzee small au majuto