Upweke kwa umri huo si mzuri,sex ni muhimu sana kwa huyo baba,ingekuwa inamtoa.stress na kuwa na maamuzi ya kikatili kama hayo.Huyu sio kukosa sex.. Huyu ni papai bovu kapigwa kibuti sasa anawashwa
Wewe ni mtumwa wa Mwarabu!? Maana mtumwa humuona Bwana wake kama Mungu.Sisi watu weusi usema kuwa wasungu wanatupenda sana hawa tubagui kama walivio waarabu[emoji2957][emoji2957]
Mbona km anamtindio wa ubongo
Mm nikajuwa ni Mbwa🤣🤣🤣 kuanalia masikio viZuri ndio nimegunduwa ni mujungu😕😕
Huyu ni uzee au anakula sembe
Aseee! Maisha ya USA ni ya kibabe sana baadhi ya sehemu
Maandamano yalizuka katika Jiji la Kansas, Missouri, mwishoni mwa juma baada ya mwenye nyumba kumpiga risasi mbili kijana mweusi ambaye aligonga kengele ya mlango wao kimakosa.
Ralph Yarl mwenye umri wa miaka 16, alitumwa na wazazi wake kuwachukua kaka zake kutoka katika nyumba ya rafiki yao mnamo tarehe 13 Aprili, lakini akaenda kwa anwani isiyo sahihi.
Mshukiwa alimpiga risasi Bw. Yarl akiwa katika mlango wake.
Kijana huyo alipiga risasi moja kichwani, imesema familia yake na mawakili wao.
Polisi imemwachia huru mtu aliyefyatua risasi kutoka kizuizini lakini hawajawatambua. Bw Yarl aliruhusiwa kutoka hospitalini Jumapili na anaendelea kupata nafuu akiwa nyumbani na familia yake, baba yake Paul Yarl aliliambia gazeti la Kansas City Star.
"Anaendelea kuimarika," baba yake aliliambia gazeti."
Mawakili mashuhuri wa haki za kiraia Ben Crump na Lee Merritt wanawakilisha familia ya Bw Yarl katika kesi hiyo. Waliwakosoa maafisa kwa kumwachilia huru mshukiwa, ambaye wanasema ni mwanaume mzungu.
"Huwezi tu kuwapiga watu risasi bila sababu kisa mtu anapokuja kugonga mlango wako - na kugonga mlango wako sio kosa. Huyu jamaa anapaswa kushtakiwa,"Bw Crump alisema.
CHANZO: BBC
Jamaa mtuhumiwa anasura ya kijambazi kabisa. [emoji47][emoji47][emoji47]
Hapo hakuna cha kukosa sex wala upuuzi gani bali ni mtu mwenye chuki dhidi ya watu weusi.Upweke kwa umri huo si mzuri,sex ni muhimu sana kwa huyo baba,ingekuwa inamtoa.stress na kuwa na maamuzi ya kikatili kama hayo.
Ha ha ha haMm nikajuwa ni Mbwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kuanalia masikio viZuri ndio nimegunduwa ni mujungu[emoji53][emoji53]
Psych case huyuMbona km anamtindio wa ubongo
Watu kama hawa huwa tunakutana nao akhera madukaniHuyu ni Ghost kabisa...[emoji83][emoji49][emoji48][emoji84]View attachment 2591716
Hili zee lililompiga risasi huyo Bwana Mdogo, nalifananisha sana na zee moja la kuitwa "Don Emilio" kwenye tamthilia moja ya Kifilipino. Ila anaonekana hayuko timamu.
Wakiambiwa wakasaidie mapambano Ukraine wanajificha