Marekani: Apigwa risasi baada ya kugonga mlango usio sahihi

Bila huu ushenzi wa kupigana risasi ovyo, Marekani ni nchi nzuri sana kuishi
Serikali yao inapaswa kuifanyia kazi sheria inayoruhusu raia kumiliki risasi. Mzee mwenye msongo wa mawazo kama huyu, hapaswi kuruhusiwa kumiliki pistol
 
Aseee! Maisha ya USA ni ya kibabe sana baadhi ya sehemu
 
Jamaa mwenyewe aliyempiga dogo ndio huyo hapo kwenye picha kushoto

View attachment 2591680
Hili zee lililompiga risasi huyo Bwana Mdogo, nalifananisha sana na zee moja la kuitwa "Don Emilio" kwenye tamthilia moja ya Kifilipino. Ila anaonekana hayuko timamu.

Mwenyezi AmsimamiebBwana Mdogo apate kurudia Utimamu wake wa mwili na Akili...Amina.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…