Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuishi hayo maisha ya Kimarekani sio kwamba ndo ujanjaMarekani sio kama Uswahili kwenu mlikozoea kuingia ingia tu mpaka vitandani kwa watu , watu wako fully loaded wakisense Tu any danger ni risasi unakula
S3x kwa mtu wa 84 😯Upweke kwa umri huo si mzuri,sex ni muhimu sana kwa huyo baba,ingekuwa inamtoa.stress na kuwa na maamuzi ya kikatili kama hayo.
Looks like a ghoulHuyu ni Ghost kabisa...[emoji83][emoji49][emoji48][emoji84]View attachment 2591716
Wao waarabu wanawalisha mavi yao kabisa waafrica. Hakuna mwema na sisiSisi watu weusi usema kuwa wasungu wanatupenda sana hawa tubagui kama walivio waarabu[emoji2957][emoji2957]
Vip dikteta putin anaishi kw nini?
Haina uzee .S3x kwa mtu wa 84 😯
Kasoro mkiaAnafanana na shetani ati?
Ni shetani kabisa!!
Mzeee ana stress huyo!
Labda alikuwa anacheki movie ya mazombi, mara gafla anaona anagongewa mlango na kiumbe hakielewi elewi,
Ikabidi ajitetee...