Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuna watu hawaachiki,unakuta mtu anatabia za hovyohovyo na kuachika hatakiDah! Ndoa hizi jamani[emoji848]
Sio watu weusiNaamini kabisa hyo familia ni black americans,
🤣🤣Naamini kabisa hyo familia ni black americans,
Ukizungumzia Marekani unazungumzia kuwezekana kwa kila lisilowezekanaMwanamume mwenye umri wa miaka 42 katika Jimbo la Utah nchini Marekani amewapiga risasi watu saba wa familia yake kabla ya kujiua mwenyewe, baada ya mkewe kudai talaka.
ni wazungu weupe pe picha yao iko kwenye youtubeNaamini kabisa hyo familia ni black americans,
Nguvu zimekuishia leo tu au siku zote na ule moto wenu wa "HAKI SAWA" ?Nguvu zimeniishia
Kuna utaratibu wa kudai haki yako hata mahakamani hueleweka vizuri tu, kama hujasikiliza upande wa pili namna ya madai ya hiyo talaka ilivyofanyika ni heri usihukumu kabisa.Mwanamke kosa lake ni lipi? Kama aliona hawawezani tena ilikua haki yake kuomba talaka. Jamaa yake ndio zuzu asiekubali kuachwa kaishia kuua watu wasio na hatia bora angejiua mwenyewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mnazingua wanawake, jamaa aliachishwa kazi demu ndo anataka kumtema, hapo inabidi alipe child support ya hao watoto 4 till they are 18, na nyumba atapoteza. Sio kwamba naunga mkono kitu alicho Fanya Ila naelewa alichokuwa anapitia. Mama mkwe nae jegeje lilimuhusuMwanamke kosa lake ni lipi? Kama aliona hawawezani tena ilikua haki yake kuomba talaka. Jamaa yake ndio zuzu asiekubali kuachwa kaishia kuua watu wasio na hatia bora angejiua mwenyewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wazungu pureNaamini kabisa hyo familia ni black americans,
Unajidanganya , kama mwanaume wako unamfanyia hvyo pia kuwa makini ,Mwanamke kosa lake ni lipi? Kama aliona hawawezani tena ilikua haki yake kuomba talaka. Jamaa yake ndio zuzu asiekubali kuachwa kaishia kuua watu wasio na hatia bora angejiua mwenyewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni mchanganyiko wa sheria mbovu za umiliki wa silaha kiholela na sheria mbovu za ugawanaji wa mali baada ya talaka zinazopendelea wanawake zaidi. Sidhani kama huyo jamaa alitaka ajiue lakini sheria za ugawanyaji wa mali baada ya talaka ndizo zimemfanya aone kama hakuna haja ya kuendelea kuishi tena baada kujua kuwa atapoteza nusu kile alichokuwa amechuma kwa mke ambaye huenda hakuwa anampa ushirikiano wowote katika kuchuma mali hiyo.Sheria zao za kumiliki silaha zitawaghalimu maisha
Kwani wanaume nyie ndio hamzingui? Hayo uliyoandika mtoa mada hajaandika. Nilicomment kutokana na mada ilivyoletwa.Mnazingua wanawake, jamaa aliachishwa kazi demu ndo anataka kumtema, hapo inabidi alipe child support ya hao watoto 4 till they are 18, na nyumba atapoteza. Sio kwamba naunga mkono kitu alicho Fanya Ila naelewa alichokuwa anapitia. Mama mkwe nae jegeje lilimuhusu
Sijui umeandika niniUnajidanganya , kama mwanaume wako unamfanyia hvyo pia kuwa makini ,
SawaKuna utaratibu wa kudai haki yako hata mahakamani hueleweka vizuri tu, kama hujasikiliza upande wa pili namna ya madai ya hiyo talaka ilivyofanyika ni heri usihukumu kabisa.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Hapa mi nadhan Kuna namna pia mdomo umeponza kichwakuna watu hawaachiki,unakuta mtu anatabia za hovyohovyo na kuachika hataki