Marekani: Binti amezuiliwa kushiriki tukio la kunyongwa kwa baba yake kama adhabu ya kifo huko Missouri

Marekani: Binti amezuiliwa kushiriki tukio la kunyongwa kwa baba yake kama adhabu ya kifo huko Missouri

Marekani ni taifa la kishetani
aliyeua lazima na yeye aonje mauti, hata kipindi cha Torati watu wezi, wazinzi walipigwa mawe hadi kifo. So sioni cha ajabu hapo - wacheni ale kamba.
 
Fanya research wako wengi tu wazungu walio kwenye death row na wengine washauawa. Wengi tu mfano wa mmoja maarufu ni timothy mcveigh
Ndipo nilipoisikia Oklahoma kwa Mara ya kwanza na tukio la jamaa kulipua kituo cha watoto.
 
aliyeua lazima na yeye aonje mauti, hata kipindi cha Torati watu wezi, wazinzi walipigwa mawe hadi kifo. So sioni cha ajabu hapo - wacheni ale kamba.
Mmarekani wa Buza haupitwi na jambo😅
 
Fanya research wako wengi tu wazungu walio kwenye death row na wengine washauawa. Wengi tu mfano wa mmoja maarufu ni timothy mcveigh
Yule Askari aliyemuua black fulani ivi majuzi akamuingiza kichwa kwa uvungu wa gari vipi kesi yake je
 
Yule Askari aliyemuua black fulani ivi majuzi akamuingiza kichwa kwa uvungu wa gari vipi kesi yake je
Sijajua kuhusu huyo.
OJ alimuua ex mkewe mzungu na bwanake and got away with it.
 
The messge behind this story is just to inform the world about the death sentences that are carried out in the world, that sometimes are againsts the human rights. But we as human beings we get lesson here that we must live in this World to obey and please God and to stay away from bad habits and risk factors that can endanger our life or affect us like not to do bad things to others like killing, oppressing like what kelvin johnson did becoz what goes around comes around.
Umenikumbusha Kitabu cha English cha Musa,Neema na Baraka darasa la tatu
 
Usihukumu mamlaka ya kuhukumu anayo mungu vinara wakusema maneno haya nawaona hapa wanavoizungumzia vyema azabu hii ya kifo lakini tukisema na mashoga yauwawe utawasikia wanavimbaa mpaka ulimi kwa kusema usihukumu
 
Yule Askari aliyemuua black fulani ivi majuzi akamuingiza kichwa kwa uvungu wa gari vipi kesi yake je
... kesi za aina hii huchukua muda mrefu; Mungu akikupa uhai fuatilia baada ya miaka angalau 15 kama na yeye atakuwa hai utajua hatma yake.
 
Back
Top Bottom