Marekani: Donald Trump ajeruhiwa kwa risasi akihutubia mkutano wa hadhara

Mkuu Nyani Ngabu hizo risasi zilizo makosa Trump mbona hazikuwa umiza watu waliokuwa mkutanoni na ukiangalia alivyokuwa amesimama kwa kugeuka imekuwaje aumie sikio la kulia tu .


USSR
Unaumiza sana akili ku-over think ili kuengeneza kisichopo. Get back to basics and common sense my friend...
That was not a setup but a genuine assassinstion attempt, it just the naivity of the shooter that kept Tramp alive...
A slow reaction by secreat service even after being alerted by some member of the public about the shooter climbiing with the rifle at the top of a barn is the result of business as ususal, but this was not a setup...
 
Pia mwaka 2016 mwezi June, huyu dogo Michael Sandford raia wa Uingereza, almanusura am shoot Trump kwenye rally pale Las Vegas baada ya kuipokonya gun kutoka kwa LVMPD


 
Kwamba shooter alikuwa anaenda vitani mpaka ashike heavy guns, ambazo kwa USA ni prohibited pia.
Heavy guns (Rifles) ww unajua ni zipi..? Tuanzie hapo.. au umekariri RPG na madude mengine mnayoona ktk movie za Rambo 😅
 
TRUMP:
Anapinga ushoga

Anapinga Vita inayoendelea Ukraine

Anaongoza kwa ushawishi zaidi ya Biden kwa wapiga kura wao

Hapendelei Sana ufadhili wa NATO kwa fedha za malekani (equal sharing kwa kila mwanachama)

Trump ni muumini was malekani Kwanza sio wahamiaji.

Anaamini viongozi wa Africa/waafrica ni watu wasio jitambua.

Ni muumini mkubwa wa kulinda maslahi ya ISRAEL katika ukanda wa ASIA.
na mengine mengi.

TUMIA LOGIC UNAHISI NI SABABU IPI INAWEZA KUWA IMEPELEKEA TUKIO HILI?

LIWE NI HALISI/LA KUTENGENEZWA KAMA BAADHI MNAVO DHANI?
 
Wasiojulikana wametia timu America.

Trump inabidi aje aombe ushauri kwa Tundu Lissu, ukiwa mpinzani hapa duniani ni shida!!

Marekani nao wanapenda kuiga mambo ya nchi fulani
 
Nafikiri wanajaribu kumtumia ujumbe, wangetaka kumuua wasingeshindwa.
Ujumbe gani wakati mtu mmoja amekufa kwa risasi zilizomkosa Trump!! Mind you aliye shoot ameuwawa sasa una risk maisha yako kisa kutuma ujumbe?

Ni kwamba bunduki ililenga kichwa ila ikasogea pembeni kidogo sababu ya umbali/upepo ndio kilichomuokoa.
 
Kwahy tukio linabadilika linakuwa n tukio la bangi 😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…