Marekani: Donald Trump ajeruhiwa kwa risasi akihutubia mkutano wa hadhara

Ingekua staged wangemuweka muislamu kama shooter... au mtu mweusi.
Watu weusi au waislamu huwa hawahusiki sana katika visa vya kufyatua risasi kwenye hadhara kubwa Marekani.
Waislamu wao shutuma zao huwa ni kufanya ugaidi, weusi shutuma zao nyingi ni kupigana risasi wao kwa wao pamoja na ujambazi.
 
hakuna muislam alietajwa? maana ............................
 
Ndiyo hata aliyempiga risasi na kumuua Archduke Franz Ferdinand Carl Ludwig Joseph Maria wa Austria kupelekea vita ya pili ya Dunia alikuwa ni dogo wa miaka 18. Hakuna jipya
Kuna siku niliandika kuhusu Mind control programs na experiments zinazofanywa na vyombo vya usalama kwa nchi za wenzetu, mfano : CIA na programu ya MK ultra , ambapo inaaminika waliweza kutengeneza wauaji kadhaa kama Akina Timothy McVeigh na kuwatumia kufanya issues za mauaji na mambo mengine .
Hii wala sio siri iko wazi hata ukiingia Google ,ushahidi upo mwingi
So bila shaka hata hili tukio huyo dogo ni moja ya mind controlled killer kama product ya hizo programu
 
Wanawake waachwe wafanye kazi za kike tu, kama vile kupika, kuosha vyombo nk.

Hapo ukiangalia picha unaona kabisa demu anaogopa kupigwa risasi.

Badala ya ku bodyguard yeye amebend chini na kuacha sehemu kubwa hatari za target kuwa wazi.
Threat ilikuwa imeshakuwa terminated kabla hata hawajamuinua, ingawa zoezi zima linaacha mapengo kibao ya watu kuimalizia kazi kiurahisi zaidi.
Nakumbuka kuna issue iliwahi kutokea South Afrika wakati Mandela akiwa rais, wale ndiyo walionyedha masna halisi ya bodyguard na kazi inabyoyakiwa kufanywa. Mandela alikuwa covered pale chini na walipoinuka waliondoka naye speed wakiwa wamembeba chinichini kama machela
 
😂 Sniper anaogopa au siyo 😂
Sniper ni Mungu?
Hata contract killers ni waoga tena sana tu, sema wanafahamu namna ya kuji handle kwenye situations kama hizo, wanafahamu namna ya ku control hofu wanapokuwa kazini, vile vile askari wana mafunzo hayo, kufanya majukumu yao under pressure.

Tatizo wengi mkisikia hitman, sniper, contract killer mnanafikiri kuhusu ni wale wa movie za hollywood wakiwa wamevalia suit nyeusi, miwani n.k
Hao ni watu kama wewe, movie zmetuharibu sana aisee..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…