Marekani: Donald Trump ajeruhiwa kwa risasi akihutubia mkutano wa hadhara

Marekani: Donald Trump ajeruhiwa kwa risasi akihutubia mkutano wa hadhara

Sasa kama tukio limetengenezwa kuwa risasi imkose Trump c lazima watu wangehoji risasi ikaelekea wap wakat kulikuwa na watu wengi hapo, hv kama lengo n kumkosa raia bc n lazima risasi ikampate mwngn.
Ndo mana nkakuuliza je huyo aliyekuwa n nan hapo USA
Ndio maana nikauliza kwamba hata hao secret service ambao wanalipwa na Biden nao walihusishwa kwenye igizo ili wampe point za kisiasa Trump? Mbona huwa tunaambiwa system haimtaki Trump kivipi leo imsaidie apate marks za kisiasa?

Kingine why Trump afanye igizo wakati Biden hakubaliki? Hata Trump asipofanya kampeni kuna mtu mwenye akili timamu anaweza mchagua Biden?
 
Na yule Bazazi Kennedy aliuwawaga kwa ujuha na upumbafu wake!

Unapewaje utamu mpaka unavujisha siri nyeti za nchi na serikali?! Tena kwa kahaba tu ambaye aliwa mpaka na wahuni wengine wa town wajanja wajanja wenye pesa mbuzi zinazotokana na michongo haramu?!

Kishtobe nae alikuwa akienda kuliwa na wahuni wengine huko anayapekeka kama yalivyo... Wahuni wanayapeleka kwa maadui... Wote mnaonekana mpo uchi, maadui wanaendelea kuchekecha, mwisho wa siku wakagundua kumbe amiri jeshi mkuu wetu ana mambo ya kishoga..., wakaamua kumlamba bazazi yule
Mkuu una ushaidi na hili!?
 
Kibabu wao Biden hajitambui sasa wanatumia maguvu!

Losers.
Mimi binafsi kwa niaba ya wapenda haki duniani kote na wachukia vita, tumesikitishwa sana na jaribio la kutaka kumuua mtu asipenda vita na vurugu,mtu mpenda amani na asiependa matumiazi ya nguvu badala ya diplomasia.
Kwa niaba ya wapenda haki wote wa humu JF ninalaani vikali tukio hilo la aibu kwa nchi ya Marekani,namuombea DT apone haraka ili aje arudishe amani duniani na pia naomba vyombo vya usalama viwatie nguvuni wale wote walio mbele na nyuma ya mpango huo.
 
Afya ya Biden kiakili na kimwili haipo sawa, mzee anaweza kusimama kwenye mkutano akasahau anachopaswa kuzungumza, kwenye huu mkutano wa juzi hapa wa NATO, anamuita Zelensky ni Putin, sasa wananchi wamekuwa na mashaka juu ya afya yake kuongoza Taifa kubwa kama USA. Uzuri wenzetu hawana unafiki kama sisi.

Hivyo Trump ilikuwa wazi alikuwa anamshinda huyo mzee, sasa hii ku stage tukio kwa sababu ya tukio sidhani.
Ina maana huyo muuaji amekufa akiwa kwenye maigizo?

Watu hawakosi cha kuongea.
Kuna Wamarekani hata ukiweka jiwe na Trump watalipigia jiwe kura na hao ni karibia nusu ya Wamarekani
Screenshot_20240714-124800_X.jpg
 
majitu mengine majinga sana yanakera.yanajifanya majuaji kumbe akili sifuri

Yana mtu kanusurika kufa unasema wamemuonya😕😕😕😕😕ndezi kabisa huyo binti kichwani ana makamasi tuu
Nifah huyu mshkaji anakutaka nini?!

Au ashafanyaga majaribio ya kuleta maombi P.M unamlia bati?! Maana sioni point ya yeye kukushambulia namna hii kisa tu mchango wako hakupendezewa nao...

We jamaa acha mambo ya Kike..., sasa hapa hata wanaume wenzako tunakushangaa. Kipi kibaya kakisema mpaka umshambulie na maneno ya dharau na kejeli?!

Ushoga ukiwa unapamba moto, tayari kuna vijidume mchele vinajiingiza kwenye ushoga au vishakuwa vishoga bila kujijua.

Bwege nazi wewe!
 
Back
Top Bottom