Marekani: Donald Trump ajeruhiwa kwa risasi akihutubia mkutano wa hadhara

Marekani: Donald Trump ajeruhiwa kwa risasi akihutubia mkutano wa hadhara

Mimi nilishasema kwamba chama cha Democrat hakina tofauti kabisa na CCM!

Hao Democrats walianza na kujaribu kutaka kumwengua Trump kwenye baadhi ya majimbo. Hiyo ikashindikana.

Wakambambikia makesi kibao. Hiyo nayo haijaenda kama walivyotarajia.

Sasa wanatumia risasi. Kwa bahati nzuri, hiyo nayo haijafanikiwa.

Sasa nambie, hizo figisu zao zina tofauti gani na figisu za CCM?
Nasemaga siku zote wewe Jamaa hua sio mnafiki.
 
Ndio maana nikauliza kwamba hata hao secret service ambao wanalipwa na Biden nao walihusishwa kwenye igizo ili wampe point za kisiasa Trump? Mbona huwa tunaambiwa system haimtaki Trump kivipi leo imsaidie apate marks za kisiasa?

Kingine why Trump afanye igizo wakati Biden hakubaliki? Hata Trump asipofanya kampeni kuna mtu mwenye akili timamu anaweza mchagua Biden?
Umenikumbusha Trump alivyokuwa analalamika kuhujumiwa na CIA na FBI akiwa Rais madarakani, pia madai yake ya kuibiwa kura akiwa Rais madarakani.
Marekani imekuwa nchi ya conspiracies kwa kila jambo, inasikitisha sana.
 
Hebu elezea kwa hoja kwanini hayo ni maigizo labda naweza kukubaliana na wewe.
Hio ni assassination attempt we unasemaje ni maigizo? kwanini unasema ni maigizo?

Naona una maoni lakini huna facts.
Screenshot_20240714-130113_X.jpg
 
Nifah huyu mshkaji anakutaka nini?!

Au ashafanyaga majaribio ya kuleta maombi P.M unamlia bati?! Maana sioni point ya yeye kukushambulia namna hii kisa tu mchango wako hakupendezewa nao...

We jamaa acha mambo ya Kike..., sasa hapa hata wanaume wenzako tunakushangaa. Kipi kibaya kakisema mpaka umshambulie na maneno ya dharau na kejeli?!

Ushoga ukiwa unapamba moto, tayari kuna vijidume mchele vinajiingiza kwenye ushoga au vishakuwa vishoga bila kujijua.

Bwege nazi wewe!
Mkuu, huyo kila atakaponikuta ndivyo anavyonishambulia. Na kila wakati anakuja na ID mpya kuendeleza mashambulizi, ndio maana unaona sipotezi muda kumjibu.

Ni kweli, huwa sijibu PM's zake.
 
Mada kama hizi za kutoa maoni ni nzuri sana ktk kupima uwezo wa kufikiri wa Watanzania. Watanzania wengi ni wajinga na wapuuzi.
Ndio ambacho na mimi nimekisema hapo juu,
Hapa utawakuta wajuaji haswa but hawana habari juu ya bandari zao,hawana habari juu ya mbuga zao na ardhi yao,hawana habari juu kodi kichefu chefu
 
Kwa yanayo endelea pale Ukraine, chama cha Democrats na NATO nzima zinaona Trump nihatari sana kushika madaraka haswa kwa kipindi hiki..
Kwao nihasara kubwa kusimamisha vita pale Ukraine, Trump akishinda uraisi hakutakuwa na vita tena Ukraine, lengo kuu la NATO ni kuanzisha vita ya 3 ya Dunia
Screenshot_20240714-130724_Telegram.jpg
 
Back
Top Bottom