Democrats walimshinda kwa kura mwaka 2020. Hiyo sio hoja. La msingi zaidi ni kusubiri majibu ya uchunguzi.
Shambulio linachunguzwa kama assassination attempt. Which is obvious ukizingatia mazingira ya tukio lenyewe.
Hata hivyo, hili tukio kwa kiasi kikubwa linaweza kuathiri public opinion in favor of Trump kwenye uchaguzi ujao.