Nyamizi
Platinum Member
- Feb 19, 2009
- 9,186
- 13,757
ni kama hili au ndugu vladimiroch mbunguni kwetu pushin?
Hawa Pro Putin wameshakuwa waongo kupindukia hadi unasoma comment zao huku unacheka.Sijui wanadhani vita inapiganwa kwenye comment za JF?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni kama hili au ndugu vladimiroch mbunguni kwetu pushin?
Sasa hivi anasaidiwa kupigana vita ya mdomoni hapa JF na watu ambao hata ku pull trigger ya Pistol hawajui,lakini kwenye real Battle field hali ni teteMrusi ana hali mbaya sana! View attachment 2151196
Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Warusi wanakula maisha tu .......shida zipo kwenye propaganda za wa magharibi
Utadhani mtoto wa Grade 3 anawasimulia wenzie story 😀
okMkuu tuletee updated Map ya Ukraine kwa sasa🙂
Huku anaemsaidia kuripoti ni bwana usa..........nimelala na njaa ila anaejua ni jirani wa mtaa wa 10m
Tuendelee na gahawa hapa huku Putin akimlilia Big Brother China amsaidie.
propagandaKilichowashtua sana Marekani na NATO kwa ujumla ni kushambuliwa kwa mafanikio makubwa kambi ya kijeshi ya Ukraine iliyopo karibu kabisa na mpaka wa Poland.
Hii kambi ilikuwa imewekewa ulinzi wote wa anga maana ilikuwa inatumika kupokelea silaha zinazoingizwa Ukraine toka nchi za magharibi. Na kipindi husika kulikuwa na shehena kubwa ya silaha zikiwa tayari kusafirishwa ili zikatumike.
Kambi hiyo pia ilikuwa inatumika kama chuo cha mafunzo ya kijeshi kwa kutumia wakufunzi wa Nato namnà ya kutumia hizo silaha wanazopewa na NATO.
Siku moja kabla ya shambulizi hilo Urusi ilitoa onyo kuwa misafara ya kupeleka silaha Ukraine tangu Sasa ni "legitimate war target"!
Onyo hilo lilisababisha wakufunzi wa Nato waondoke kwenye kambi hiyo vinginevyo wengi wangeuawa!
Marekani hatimaye wamegundua siri ya jeuri ya Mrusi kuwa makombora (missiles) yake yamefungiwa kifaa maaluma ya kuzizima rada ili yasionekane na hivyo kukwepa kudunguliwa na anti- missile systems!
wana mtindio wa ubongoHawa Pro Putin wameshakuwa waongo kupindukia hadi unasoma comment zao huku unacheka.Sijui wanadhani vita inapiganwa kwenye comment za JF?
show us the results kama mrusi ana hali mbaya, nachokiona warusi wanazidi kuadvance karibu miji yote sasa wanaichukua. Au mim nasomaga BBC ya PUTIN?Mrusi ana hali mbaya sana! View attachment 2151196
Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Hii kitu shngapi mkuu?propaganda
kitu hichi hapa kinaitwa Javeline na Stinger inadungua mafaru yaliyotoka russia na kuwa kama chapati, hii unaweka begani tu haina haja kutoka ma-tank unakotoka ina uzito wa 27kg na inaweza kupiga kwa umabali wa 16km kutoka hapo kwenu mbagala hadi kariakoo
View attachment 2151434
Wanaisimulia vita kwa ufasaha sana, ni majasiri wa mdomoni,waletee Panya road tu hapo uone mtiti wake.Nchi ya wachambuzi wa mambo ya kidunia , dah I love you Tanzania
Wapi uliona Marekani haamini macho yake? nakushauri acha upuuzi!!Kilichowashtua sana Marekani na NATO kwa ujumla ni kushambuliwa kwa mafanikio makubwa kambi ya kijeshi ya Ukraine iliyopo karibu kabisa na mpaka wa Poland.
Hii kambi ilikuwa imewekewa ulinzi wote wa anga maana ilikuwa inatumika kupokelea silaha zinazoingizwa Ukraine toka nchi za magharibi. Na kipindi husika kulikuwa na shehena kubwa ya silaha zikiwa tayari kusafirishwa ili zikatumike.
Kambi hiyo pia ilikuwa inatumika kama chuo cha mafunzo ya kijeshi kwa kutumia wakufunzi wa Nato namnà ya kutumia hizo silaha wanazopewa na NATO.
Siku moja kabla ya shambulizi hilo Urusi ilitoa onyo kuwa misafara ya kupeleka silaha Ukraine tangu Sasa ni "legitimate war target"!
Onyo hilo lilisababisha wakufunzi wa Nato waondoke kwenye kambi hiyo vinginevyo wengi wangeuawa!
Marekani hatimaye wamegundua siri ya jeuri ya Mrusi kuwa makombora (missiles) yake yamefungiwa kifaa maaluma ya kuzizima rada ili yasionekane na hivyo kukwepa kudunguliwa na anti- missile systems!
Ngoja nimpigie BidenHii kitu shngapi mkuu?
Hiyo ni taarifa ya mkuu wa idara ya ujasusi ya Marekani ya jana na juzi sasa kama una taarifa nyingine zaidi na wewe ziwekeshow us the results kama mrusi ana hali mbaya, nachokiona warusi wanazidi kuadvance karibu miji yote sasa wanaichukua. Au mim nasomaga BBC ya PUTIN?
Umebwabwaja mno Naomba utupe Source ya habari yako hiyo!!Kilichowashtua sana Marekani na NATO kwa ujumla ni kushambuliwa kwa mafanikio makubwa kambi ya kijeshi ya Ukraine iliyopo karibu kabisa na mpaka wa Poland.
Hii kambi ilikuwa imewekewa ulinzi wote wa anga maana ilikuwa inatumika kupokelea silaha zinazoingizwa Ukraine toka nchi za magharibi. Na kipindi husika kulikuwa na shehena kubwa ya silaha zikiwa tayari kusafirishwa ili zikatumike.
Kambi hiyo pia ilikuwa inatumika kama chuo cha mafunzo ya kijeshi kwa kutumia wakufunzi wa Nato namnà ya kutumia hizo silaha wanazopewa na NATO.
Siku moja kabla ya shambulizi hilo Urusi ilitoa onyo kuwa misafara ya kupeleka silaha Ukraine tangu Sasa ni "legitimate war target"!
Onyo hilo lilisababisha wakufunzi wa Nato waondoke kwenye kambi hiyo vinginevyo wengi wangeuawa!
Marekani hatimaye wamegundua siri ya jeuri ya Mrusi kuwa makombora (missiles) yake yamefungiwa kifaa maaluma ya kuzizima rada ili yasionekane na hivyo kukwepa kudunguliwa na anti- missile systems!
St Petersburg = Morogoro pale Msamvu Kijiweni. Hakuna air defence system yoyote iliyokwisha wekwa ktk ardhi ya Ukraine mpaka sasa hivyo hizo ni porojo tu za huko Msamvu Kijiweni.Huyu ni msemaji wa jeshi la Urusi kitengo cha ICBM[emoji2][emoji2] kutoka jiji la St Petersburg
Mrusi ana hali mbaya sana! View attachment 2151196
Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Kabla hujaandika ingejaribu kwanza kufanya kautafiti kadogo drones technology imeanza kutumika miaka gani na Soviet Union ilivunjika mwaka ganiKuna ile drone iliyodondoka croatia na nyingine jana imedondoka nchi mwanachama wa nato....ni drone za zamani sana sema jamaa wanajiuliza zimepitaje anga la nato bila hata kushtukiwa hadi pale zilipoishiwa mafuta na kudondoka hakuna hata system ya usalama wa anga iliyoweza kuzi detect tokea zinaingia kwenye anga lao hadi zinadondoka na hawajui sasa kama ni drone za mrusi ama ni Ukraine maana ni drone za kipindi cha soviet kwa sasa zinamilikiwa na wote Ukraine na urusi
.Mkuu tuletee updated Map ya Ukraine kwa sasa🙂