Marekani huenda ikaiwekea China vikwazo kutokana na teknolojia ya kuponya ugonjwa wa kisukari

Marekani huenda ikaiwekea China vikwazo kutokana na teknolojia ya kuponya ugonjwa wa kisukari

Hao wamarekani siku hizi hawana lolote. China inawazidi katika nyanja nyingi tu ikiwemo mambo ya Artificial Intelligence (AI).

Wanasayansi wa Kichina wako busy kufanya tafiti za mambo mengi ya maana, Wamarekani wao wako busy kuangalia fursa za kuanzisha au kuchochea vita ili wauze silaha.
Artificial intelligence ambayo china imeizidi Marekani ni ipi mkuu?

Ama utakua mgeni kwenye haya mambo ya AI
 
Wamarekani ndio wanaleta duniani magonjwa hatari na hapo hapo wanatengeneza dawa ili wapate faida kubwa. Ndio mana sikushangaa walivyomuua dr sebi.
 
Ustumie nguvu kubwa kuwatetea hakuna mmarekani hapa ,we ni juha na mshamba hizo point ni uharo mtupu
Kwa hiyo wewe ni Mchina? Kwamba lengo la uzi huu ni kupotesha na kushangilia upotoshwaji?
Kama ninyi hamna standards ni nyie
 
Kwanza ni lazima mtambue kwamba Marekani au Ulaya siyo sawa na Tanzania na Afrika. Twende taratibu.

Sababu kuu zinazowezesha Marekani kutokukubaliana na tiba ya ugonjwa wa kisukari iliyogunduliwa nchini China zinaweza kujumuisha mambo yafuatayo
  1. Usalama na Ufanisi
    • Marekani ina viwango vya juu vya tathmini ya usalama na ufanisi wa matibabu yoyote mapya. Tiba mpya lazima zipitie mchakato mkali wa tathmini kupitia majaribio ya kitabibu na taratibu za udhibiti kabla ya kupitishwa na Mamlaka ya Chakula na Dawa (FDA).
    • Ikiwa tiba mpya kutoka China haina data za kutosha au ushahidi wa kisayansi uliochapishwa katika majarida ya kimataifa yenye sifa, inaweza kuchukuliwa na Marekani kuwa haijathibitishwa vya kutosha.
  2. Tofauti za Udhibiti
    • Viwango vya udhibiti wa matibabu nchini China na Marekani vinaweza kutofautiana. Marekani inaweza kuwa na shaka juu ya ukali wa taratibu za majaribio ya kitabibu zilizofanyika nchini China.
    • Mchakato wa kibali nchini Marekani unaweza kuwa mrefu na mgumu, huku ukiangalia mambo mengi kama vile athari za muda mrefu, mwingiliano wa dawa, na hatari zinazoweza kutokea.
  3. Masuala ya Kibiashara na Kisiasa
    • Ushindani kati ya makampuni ya dawa za Marekani na China unaweza kusababisha upinzani wa tiba mpya kutoka nje. Makampuni ya Marekani yanaweza kushawishi dhidi ya bidhaa mpya za kigeni ili kulinda masoko yao.
    • Mahusiano ya kisiasa kati ya Marekani na China yanaweza kuathiri jinsi tiba za China zinavyokubaliwa. Matatizo ya kisiasa na kibiashara yanaweza kufanya Marekani kuwa na mtazamo mkali zaidi dhidi ya bidhaa za China. Mdiyo maana ya kuwa na nguvu na ushawishi, havijaja tu bure so ni lazima uheshimiwe maana aliwekeza kuvipata hivyo vyote.
  4. Matatizo ya Miliki
    • Marekani inaweza kuwa na wasiwasi juu ya masuala ya haki miliki inayohusiana na tiba mpya kutoka China. Ikiwa kuna shaka juu ya uhalali wa uvumbuzi au ikiwa haki miliki haziheshimiwi ipasavyo, hii inaweza kuathiri kukubalika kwa tiba hiyo. Hiyo kwao ni culture.
  5. Public Health
    • Afya ya watu wake na Usalama: Katika masuala yanayohusu afya ya watu, Marekani huchukua hatua za ziada kuhakikisha kuwa tiba mpya ni salama na haina madhara. Hii inajumuisha tathmini ya kina na majaribio zaidi ili kuhakikisha kuwa tiba mpya haitasababisha matatizo zaidi kwa wagonjwa.
Kwa hivyo, Marekani inaweza kuwa na sababu nyingi za tahadhari katika kukubali tiba ya ugonjwa wa kisukari kutoka China, zikihusisha masuala ya kisayansi, udhibiti, kibiashara, kisiasa, haki miliki, na afya ya umma.

Ninyi huko kwenu mnashangilia tu, lakini China atalazimika kufuata masharti yote ya US ili aweze kufaidika, maana soko lipo US, population ya US ina uwezo mkubwa sana wa kufanya purchasing ndiyo maana hata China kwake soko la US ndiyo soko analouza bidhaa zake na linampatia hela ndefu kuliko soko lingine lolote lile duniani.
Nninyi huko hata mkiletewa Chaki mtameza tu.
Usenge mtupu umeandika hapa.

Haya justify, kwanini huko marekani chupa ya insulin ni dola 200, wakati tanzania ukipigwa sana ni tzs 22,000/= na zinatoka nchi za ulaya

Ukisema ubora nna mgonjwa 15yrs anatumia hizo dawa za 20k na zinamsaidia... Ndio dawa zilizopo kwenye famasi zote tanzania
 
Usenge mtupu umeandika hapa.

Haya justify, kwanini huko marekani chupa ya insulin ni dola 200, wakati tanzania ukipigwa sana ni tzs 22,000/= na zinatoka nchi za ulaya

Ukisema ubora nna mgonjwa 15yrs anatumia hizo dawa za 20k na zinamsaidia... Ndio dawa zilizopo kwenye famasi zote tanzania
Nimeona msenge upo ikabidi nikuandikie usenge na bahati nzuri umeusoma huku unarembua. Hapo vipi?
 
Nimeona msenge upo ikabidi nikuandikie usenge na bahati nzuri umeusoma huku unarembua. Hapo vipi?
Nimeusoma huku nimesimamisha njoo ukalie, mwanaume harembui

Justify hoja kwanini insulin marekani ni dola 200 na tanzania ni 22,000 kwa bei ya juu kabisa
 
Huku Mchina huko Mrusi na huko mashariki ya kati Saudia hajasaini petrodollar agreement

Biden nae masikini anaganda sijui ni Robot
 
Kibaya zaidi Kuna Dogo amegundua Sabuni ambayo inatibu cancer ya ngozi..... Dogo anaitwa Heman Bakele.
Mtatuteni huyo Dogo ...Kwa majina hayo..na amepewa tuzo... Marekani ni wapuuzi tu...tiba wanazo na wanazijua ...ila wanatuletea kinga..AMKENI.
 
Lengo siyo kukupinga lakini unachokisema kwamba hao mabwana wanatengeneza dawa za kweli na uwongo ili wapige pesa hakina mantiki.

Wapo watu wao waliowaletea maendeleo na kukuza teknolojia yao kwa kiasi kikubwa waliofariki kwa maradhi uliyotaja hapo juu unadhani kungekuwa na uwezekano wa kuwapa dawa wapone wangeruhusu wafe?
mkuu hii sio siri tena, ni ukweli Nig pharma wanazuia kwa maksudi kutengeneza tiba za magonjwa sugu kwa sababu za kibiashara!

hii hata huko kwao imelalamikiwa sana, pia kuna shida obesity........ unajua kwanini? kwa sababu mtu mwenye obesity ana magonjwa mengi yanayopelekea yeye awe mteja wa dawa zao, na US karibu robo ya watu wazima wana obesity
 
View attachment 3016020Vyombo vya habari vya Marekani vimetoa ripoti kwamba, kampuni za kutengeneza dawa nchini humo zinashawishi Bunge la nchi hiyo kuiwekea China vikwazo, kwa sababu China imefanikiwa kubuni teknolojia mpya ya kutibu ugonjwa wa kisukari.

Timu ya wataalam kutoka Hospitali ya Changzheng ya Shanghai, China, ikishirikiana na Akdemia ya Sayansi ya China hivi karibuni walitumia seli za shina kuunda upya mfumo wa insulini mwilini, na kufanikiwa kumponya mgonjwa wa kisukari mwenye umri wa miaka 59, ambaye anatarajiwa kuacha kabisa kutumia tena dawa ya insulini. Teknolojia hii imeleta matumaini mazuri kwa zaidi ya wagonjwa milioni 500 duniani.

Lakini jambo la kushangaza ni kwamba, badala ya kuipongeza China kwa kubuni teknolojia hiyo nzuri, Marekani huenda itaiwekea China vikwazo. Ni kwa nini Marekani haipendi teknolojia hiyo inayoweza kunufaisha watu wengi duniani? Sababu ni rahisi, ni kwamba teknolojia hiyo itatishia maslahi ya kampuni kubwa za dawa nchini humo.

Takwimu zinaonesha kuwa nchini Marekani kuna takriban wagonjwa milioni 34 wa kisukari, na kati yao wengi wanategemea dawa za insulini kuishi maisha ya kawaida, hata kuokoa maisha yao. Lakini bei ya dawa hizo ni ghali sana, na chupa moja ya insulini nchini Marekani hugharimu zaidi ya dola 200 za Kimarekani. Katika miaka 40 iliyopita, bei ya insulini katika soko la Marekani imeongezeka kwa kasi kubwa. Tangu mwaka 1984, bei za bidhaa za kawaida nchini Marekani zimeongezeka zaidi ya mara mbili tu, lakini bei ya insulini imepanda karibu mara 14. Hata hivyo, gharama ya uzalishaji wa dawa hizo haijaongezeka sana. Kulingana na ripoti iliyotolewa mapema mwaka huu na Shirikisho la Udaktari nchini Marekani, gharama ya uzalishaji wa chupa moja ya insulini ni dola kadhaa tu za Kimarekani. Kwa Wagonjwa wa kawaida gharama ya matibabu ya ugonjwa wa kisukari inachukua karibu asilimia 10 ya kipato chao kila mwezi. Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris aliwahi kusema Mmarekani mmoja kati ya wanne walio na ugonjwa wa kisukari hawezi kumudu dawa za matibabu.

Nchini Marekani dawa za insulini zinadhibitiwa na kampuni tatu kubwa ya dawa, yaani Eli Lilly, Novo Nordisk, na Sanofi, ambazo zinapata faida kubwa mno kutokana na wagonjwa wa kisukari. Lakini teknolojia mpya ya China inatarajiwa kuponya kabisa wagonjwa wa kisukari, na baadaye hawatahitaji dawa za insulini tena, hali ambayo italeta hasara kubwa kwa kampuni hizo. Hivyo sasa zinahangaika kuishawishi serikali ya Marekani kuiwekea China vikwazo, ili kuzuia teknolojia hiyo kuingia nchini humo.

Katika miaka ya hivi karibuni, Marekani imeweka vikwazo dhidi ya China mara kwa mara ili kulinda maslahi ya mabepari wakubwa, huku ikipuuza maslahi ya watu wa kawaida. Hivi sasa kiwango cha mfumuko wa bei nchini Marekani kimeendelea kuwa cha juu, na kuleta maumivu makubwa kwa maisha ya watu. Licha ya utoaji wa fedha kwa wingi kupita kiasi, kuongeza ushuru wa forodha dhidi ya bidhaa za China, na kuiwekea China vikwazo mbalimbali pia ni sababu muhimu ya kuongezeka kwa mfumuko mkubwa wa bei.
China dawa zao tangu lini zikafanya kazi?

Za corona zenyewe zilifeli

China propaganda nyingi sana

Watoe dawa watibu watu waache propaganda kutafuta kiki
 
Kwa hiyo wewe ni Mchina? Kwamba lengo la uzi huu ni kupotesha na kushangilia upotoshwaji?
Kama ninyi hamna standards ni nyie
Wagonjwa wa sukari hio habari ni njema kwao na siku zote UKiwa mzima wa afya utaleta zarau but ukiumwaa haswaa hata mkojo ukiambiwa dawa utakunywa
 
Back
Top Bottom