Marekani imeonyesha kuwa si mshirika wa kutegemewa katika masuala ya kimataifa. Ukraine na Ulaya wamejifunza kwa uchungu sana, Marekani yawakataa

Wewe kijana wewe acha basi,hebu punguza madini,mtu unatema madini Hadi najisikia kama natembea juu ya majiπŸ˜„
 
Hawawezi, hao ni maskini km maskini wengine ndo maan wanaendeshwa na Marekan. Wanashindwa hata kupeleka MICHANGO yao kwa wakati huko NATO sasa ndo watoe misaada kwa Ukraine peke yao.
 
Muue πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ™
 
Unaongea utumbo
 
Mzee ana akili kuliko mbumbumbu wote wa ulaya na Ukrain ndio maana.
 
Ukraine sio mwana chama wa NATO na the facts are, one of the reason why Russia aliamua kuivamia Ukraine ni hilo tishio la wao kujiunga na NATO.
Twendeni mbele kidogo, why Nyerere aliamua kulazimisha muungano wetu na Zanzibar? Zanzibar imeachiwa uhuru wa kila kitu except ulinzi na mengine haya ni ziada tu, wameachiwa bendera, wimbo wa taifa, serikali ya kitaifa etc but ULINZI ni marufuku; same as this, unajua why USA alikua na ugomvi na Cuba ya Fidel Castor for over 70 years? Issue ni hiyo hiyo tu, security. Trump/USA haitaruhusu eti Canada ijiamulie inavyo taka, ishirikiane na inaemtaka, ng'o. Haitatokea na ndio maana juzi Trump alidiriki kusema, Canada ni jimbo la 51 la USA, he meant business, hakua anatania; sasa hvi anavitaka visiwa vya Greenland, why? Sio utalii, same reasons, security. Itokee leo eti Russia apeleke silaha za ulinzi Panama? Weee, hakuna rangi tutaacha kuziona from USA. Trump na management yake ya sasa wapo sahihi kwa Russia, kuendelea kuing'ang'ania Ukraine kuta escalate mambo mengi from Russia, nae ataanza chokochoko America ya kusini, anaweza kuzirudisha nchi za ulaya ya mashariki kwenye himaya yake; bora kuachana nae watu wawe salama
 
Nguvu ya marekani kwa nchi za ulaya ni kubwa sana kuliko mnavyidhani saivi waziri wa mambo ya nje wa marekani na Elon mask wansagia kunguni waziri mkuu wa German kuwa hafai kuwa waziri mkuu na uchaguzi ni mwezi wa 4 mwaka huu kwa mategemeo halisi ni kuwa chama chake kitapiteza vitu na ataanguka huu uchaguzi ataingia serikali ambayo inapinga vita vya ukrein na itakata support ni swala LA muda atabaki France mwenyewe kusaport hii vita na kidogo UK japo naye kwa marekani haongei sababu ndyo aliyeshikilia uchumi wake na mshikira wa kumtegemea
 
Ukrain watalipa madeni ya silaha mpk vitukuu vyao plus kuchukuliwa malighafi, person of interest hajawahi acha mtu salama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…