Marekani imeshaamua kupiga Syria na Iraq. Inasubiri hali ya hewa tu iwe safi ianze kazi

Marekani imeshaamua kupiga Syria na Iraq. Inasubiri hali ya hewa tu iwe safi ianze kazi

vita vitakavyo sambaa unamaanisha kusambaa mitandaoni aka kutrend au kasambaaje ?
Sia da Vinci hajawahi niangusha,huyu jamaa taarifa zake ukiziona Leo baadae zinatimia.Sijui anazitolea wapi?

MK254
Screenshot_20240131-222707.png
Screenshot_20240131-222701.png
 
Sia da Vinci hajawahi niangusha,huyu jamaa taarifa zake ukiziona Leo baadae zinatimia.Sijui anazitolea wapi?

MK254 View attachment 2891827View attachment 2891828
oman saud arabia na Egypt sio wapenda vita kwenye ardhi zao apo ma war monger ni Pakistan iran iraq( japo hawana maisha kama zaman) yemen na afghan that means hio vita ikipiganwa hapo inakua vita ya mashariki ya kati sio ya dunia
 
Ni muendelezo wa vita vitakavyosambaa bila kutarajiwa.
Uamuzi huu wa Marekani na serikali ya Biden ni wa kisiasa zaidi kuelekea uchaguzi mkuu.
Kwa sababu Marekani imeshambuliwa mara nyingi na kufa askari wake zaidi ya hao watatu kule Iraq na haikufanya kitu.
Kwa upande mwengine muda inaochagua kuanza kujibu mapigo si rafiki kutokana na hali ya vita vinavyoendelea Gaza.Kunaweza kukatibua hali vibaya dhidi ya Israel na waliokuwa wamekaa kimya kama Misri na Jordan wakapata maeneo ya kuanza kuingilia kati.
Misri , Jordani eti waingie vitani kwa sababu gani?
1. Dini
2. Uchumi
3. Ukabila
Hakuna Misiri na Jordan ya kuingia vita dhidi ya Israel, wakiingia kwenye vita nchi zao zitamegwa tena, Misiri bado anakumbukumbu ya kupoteza eneo lote la Sinai kwa Israel, Jordan anakumbukumbu ya kupoteza Yerusalem kwa Israel, kamwe hawezi kujiingiza kwenye vita hiyo, wewe unafikiri nchi kama Turkey yenye jeshi kubwa unaogopa Israel kama ukoma, anaishia kutoa matamko
 
Mbona maslahi yake yanashambuliwa kila siku? Hamna vita hapo, hakuna anayetaka vita kwa sasa.Hapo ni mchezo wa kuigiza kuridhisha wapiga kura na kujivua aibu.

Kinachokuja ni kilekile kama alivyouawa yule kamanda wa Iran! Yaani ni maigizo!
Kimeshanuka huko
 
Misri , Jordani eti waingie vitani kwa sababu gani?
1. Dini
2. Uchumi
3. Ukabila
Hakuna Misiri na Jordan ya kuingia vita dhidi ya Israel, wakiingia kwenye vita nchi zao zitamegwa tena, Misiri bado anakumbukumbu ya kupoteza eneo lote la Sinai kwa Israel, Jordan anakumbukumbu ya kupoteza Yerusalem kwa Israel, kamwe hawezi kujiingiza kwenye vita hiyo, wewe unafikiri nchi kama Turkey yenye jeshi kubwa unaogopa Israel kama ukoma, anaishia kutoa matamko
Myths
 
Raisi Biden wa Marekani na wasaidizi wake wametangaza kuwa mipango yote ya kupiga vituo vya Iran ndani ya Syria na Iraq imekamilika.Kinachosubiriwa ni hali ya hewa tu iwe rafiki kwa kile walichodai kukwepa kusababisha madhara kwa raia.
Na sisi walimwengu tunasubiri tuone athari ya vita hivyo na kwamba jee Iran itakaa kimya tena kwa kushambuliwa maslahi yake kwenye nchi hizo.
Tunachosubiri tena ni kuona iwapo Syria itatumia ile mitambo yake ya S400 kujilinda na mashambulizi ya anaga kutungua angalau ndege moja ya Marekani itakayoingia kwa jeuri nchini mwake.

US approves plan to strike Iranian targets in Syria and Iraq, officials say

View attachment 2891375
Amka amka amka tayari kumewaka ndege zimepiga target 85 Iraq na Syria.
 
Watapigwa tu na hakuna kitu Iran atafanya kwa sababu Iran, sawa na nchi yoyote duniani, haina ubavu wa kufunga virago na kwenda karibu na pwani ya Marekani na kisha kuishambulia Marekani.

That will never happen till the end of the world.
Kashapigwa huko Syria na Iraq
 
😄 Iran kaondoa wanajeshi wake huko ndio kamwabia America sa njoo upige, kawachiwa visilaha tu apige ili awaonyeshe wamarekani wamelipisha kisasi.

Sijui chini ya pazia kawahongo Iran pesa ngapi.

Afu nasikia ndege za Jordan pia zimeshiriki.

Kwa hio America alitakiwa akapiga Iran si aende kupiga Iraq na Syria hi ni film ya Hollywood hakuna vita hapo

Vita kweli ni America aende piga Iran hapo ndio America anaogopa.
 
Hao hata wafanye nini, kama walivyish7ndwa Afghanistan na wavyosh7ndwansasqnPalestina ndipo na kwengine palipobaki inani ya Allah japo kidogo, watashindwa.

Jionee kinachowafanya washindwe na Wapalestina:



Hayohayo ndiyo yaliyowafanya washindwe Afghanistan, hawajajielewa tu.
 
Hao hata wafanye nini, kama walivyish7ndwa Afghanistan na wavyosh7ndwansasqnPalestina ndipo na kwengine palipobaki inani ya Allah japo kidogo, watashindwa.

Jionee kinachowafanya washindwe na Wapalestina:

View attachment 2892555

Hayohayo ndiyo yaliyowafanya washindwe Afghanistan, hawajajielewa tu.
Ilipofika hizo siri za 3,4 na 5 nimelia sana.
Mbali na hizo nimeona video za watu wamebeba maiti za vipenzi vyao huku wanamshukuru Mungu na kumtegemea yeye kuwa ndiye atakayewabadilishia hali zao.
Sijawahi kusikia wapalestina wakipayuka katikati za shida zao.Ni jambo ambalo watu duniani wanapaswa kujifunza sana na kwa hilo ushindi wao uko wazi.
 
Bila US kuondoka Middle East hakutakua na Amani jamaa alivyomchokozi kaweka majeshi yake kila kona,halafu anajiita mlinda Amani sijui police wa dunia,urusi tu ilitaka iweke base yake Cuba alivyochachamaa ila Ona yeye alivyomzunguka muirani,hatari sana.
 
Raisi Biden wa Marekani na wasaidizi wake wametangaza kuwa mipango yote ya kupiga vituo vya Iran ndani ya Syria na Iraq imekamilika.Kinachosubiriwa ni hali ya hewa tu iwe rafiki kwa kile walichodai kukwepa kusababisha madhara kwa raia.
Na sisi walimwengu tunasubiri tuone athari ya vita hivyo na kwamba jee Iran itakaa kimya tena kwa kushambuliwa maslahi yake kwenye nchi hizo.
Tunachosubiri tena ni kuona iwapo Syria itatumia ile mitambo yake ya S400 kujilinda na mashambulizi ya anaga kutungua angalau ndege moja ya Marekani itakayoingia kwa jeuri nchini mwake.

US approves plan to strike Iranian targets in Syria and Iraq, officials say

View attachment 2891375
Joandaeni tu kupiga mayowe, maana Huwa hakawii kuingiza dini kwenye upuuzi wenu
 
Back
Top Bottom