Marekani imeshaamua kupiga Syria na Iraq. Inasubiri hali ya hewa tu iwe safi ianze kazi

Marekani imeshaamua kupiga Syria na Iraq. Inasubiri hali ya hewa tu iwe safi ianze kazi

😄 Iran kaondoa wanajeshi wake huko ndio kamwabia America sa njoo upige, kawachiwa visilaha tu apige ili awaonyeshe wamarekani wamelipisha kisasi.

Sijui chini ya pazia kawahongo Iran pesa ngapi.

Afu nasikia ndege za Jordan pia zimeshiriki.

Kwa hio America alitakiwa akapiga Iran si aende kupiga Iraq na Syria hi ni film ya Hollywood hakuna vita hapo

Vita kweli ni America aende piga Iran hapo ndio America anaogopa.
Unaongea kitoto sana inaonekana bado uko madrassa.
 
Hilo la kuwa mbali ndio sababu ya kiburi cha Marekani.Hata hivyo watu wameshajua dawa yake na imeanza kutumika.
Moja ya dawa hiyo ni kupambana na meli zake za kibiashara na za kivita zinazopita karibu yao.Hilo lina athari kubwa kwa uchumi wa Marekani na ikiendelea kwa muda kule Marekani hakutokalika wala kutawalika.
Kwa hiyo kwa akili zako fupi kama ni hatari kwa uchumi wao basi watakaa tu na kulala usingizi.
 
Iran ya wapi hio😀
Americant coward sana au haijui tehran isfahan nk ilipo🤣😀🤣

Iran ilishalia lia na kujitetea kwamba haikuhusika na kuwakana wote waliosemekana kufanya, hivyo tunapiga kila kimelea chake huko nje maana wameachwa mayatima, alisema atajibu iwapo maslahi yake yatapigwa huko nje, sasa yanapigwa tena kila kona, hasazwi hata mmoja, yeye ajaribu kujifanya kama anajikuna...
 
Iran ilishalia lia na kujitetea kwamba haikuhusika na kuwakana wote waliosemekana kufanya, hivyo tunapiga kila kimelea chake huko nje maana wameachwa mayatima, alisema atajibu iwapo maslahi yake yatapigwa huko nje, sasa yanapigwa tena kila kona, hasazwi hata mmoja, yeye ajaribu kujifanya kama anajikuna...
Americant coward sana Biden aliishakiri kama wanaume wa iran ndio wamewafyeka hao magaidi kule Jordan
Sasa akashambulie huko kwa hao anao watuhumu kuhusika
 
Americant coward sana Biden aliishakiri kama wanaume wa iran ndio wamewafyeka hao magaidi kule Jordan
Sasa akashambulie huko kwa hao anao watuhumu kuhusika

Jifunze nini maana ya Iran-backed militia....
 
Unaongea kitoto sana inaonekana bado uko madrassa.
Tatizo we ndio mtoto, sijawahi kusikia mtu kamua kulipiza kisasi haendi kwenye nchi anayo tegemea ndio mizizi anatafuta matawi 😄

Afu atawatangazia kabisa watu anaenda piga wapi na wapi kabla hajaenda piga, hi si vita hi ni jokes 😆


Ingekuwa Tanzania ndio ka sponsor hao, US angepiga Tanzania 💯
 
Bila US kuondoka Middle East hakutakua na Amani jamaa alivyomchokozi kaweka majeshi yake kila kona,halafu anajiita mlinda Amani sijui police wa dunia,urusi tu ilitaka iweke base yake Cuba alivyochachamaa ila Ona yeye alivyomzunguka muirani,hatari sana.

Anawadhibiti magaidi. Bila US dunia hii isingekalika
 
Wachapane tu ili uchumi uendelee kuimarika na mafuta yaendelee kushuka bei.
 
Back
Top Bottom