Unaongea kitoto sana inaonekana bado uko madrassa.π Iran kaondoa wanajeshi wake huko ndio kamwabia America sa njoo upige, kawachiwa visilaha tu apige ili awaonyeshe wamarekani wamelipisha kisasi.
Sijui chini ya pazia kawahongo Iran pesa ngapi.
Afu nasikia ndege za Jordan pia zimeshiriki.
Kwa hio America alitakiwa akapiga Iran si aende kupiga Iraq na Syria hi ni film ya Hollywood hakuna vita hapo
Vita kweli ni America aende piga Iran hapo ndio America anaogopa.
Kwa hiyo kwa akili zako fupi kama ni hatari kwa uchumi wao basi watakaa tu na kulala usingizi.Hilo la kuwa mbali ndio sababu ya kiburi cha Marekani.Hata hivyo watu wameshajua dawa yake na imeanza kutumika.
Moja ya dawa hiyo ni kupambana na meli zake za kibiashara na za kivita zinazopita karibu yao.Hilo lina athari kubwa kwa uchumi wa Marekani na ikiendelea kwa muda kule Marekani hakutokalika wala kutawalika.
Iran ya wapi hioπTuko busy huku, bado hamjasema, nilishakuambia alla akbar wenu amewakimbia Marekani yapiga maeneo 85 maslahi ya Iran, na kichapo kinaendelea
Iran ya wapi hioπ
Americant coward sana au haijui tehran isfahan nk ilipoπ€£ππ€£
Americant coward sana Biden aliishakiri kama wanaume wa iran ndio wamewafyeka hao magaidi kule JordanIran ilishalia lia na kujitetea kwamba haikuhusika na kuwakana wote waliosemekana kufanya, hivyo tunapiga kila kimelea chake huko nje maana wameachwa mayatima, alisema atajibu iwapo maslahi yake yatapigwa huko nje, sasa yanapigwa tena kila kona, hasazwi hata mmoja, yeye ajaribu kujifanya kama anajikuna...
Iran denies involvement in drone strike as Biden says US will respond
All the latest developments on the Israel-Hamas war.www.euronews.com
Americant coward sana Biden aliishakiri kama wanaume wa iran ndio wamewafyeka hao magaidi kule Jordan
Sasa akashambulie huko kwa hao anao watuhumu kuhusika
Jifunze kwa nini wasishambuliwe wanao iback hao militiaJifunze nini maana ya Iran-backed militia....
Hivi we jamaa ndiyo mumliki wa hiyo akaunt yenye mahudhui ya Tik tok?.Sia da Vinci hajawahi niangusha,huyu jamaa taarifa zake ukiziona Leo baadae zinatimia.Sijui anazitolea wapi?
MK254 View attachment 2891827View attachment 2891828
Jifunze kwa nini wasishambuliwe wanao iback hao militia
Tatizo we ndio mtoto, sijawahi kusikia mtu kamua kulipiza kisasi haendi kwenye nchi anayo tegemea ndio mizizi anatafuta matawi πUnaongea kitoto sana inaonekana bado uko madrassa.
Hawezi sogea Iran anaufahamu moto wao.Americant coward sana Biden aliishakiri kama wanaume wa iran ndio wamewafyeka hao magaidi kule Jordan
Sasa akashambulie huko kwa hao anao watuhumu kuhusika
Bora ujifungie madrasa kuliko kule anapotaka papa mukabarikiwe kule sio kabisaaaKu-back militia ndio michezo ya dunia hii kama hulijui, tatizo huwa mumejifungia kwenye madrassa hamjui ulimwengu unakaa vipi.
Unapaswa unafanya backing ambayo ni denieble kama ikitokea kurudi kwako, na ndio maana Iran wamejitetea sana na kulia lia Iran imejitetea sana kwamba haikuhusika, na imewakana wote waliofanya mashambulizi dhidi ya USA
Americant anaiogopa iran zaidi kuliko kufaHawezi sogea Iran anaufahamu moto wao.
Bila US kuondoka Middle East hakutakua na Amani jamaa alivyomchokozi kaweka majeshi yake kila kona,halafu anajiita mlinda Amani sijui police wa dunia,urusi tu ilitaka iweke base yake Cuba alivyochachamaa ila Ona yeye alivyomzunguka muirani,hatari sana.
Mbona hizo dua haziwasaidii dhidi ya Israel?Mara ngapi? Waliimpiga Sadam hussein hivi sasa wanajuta. Waislam hawana silaha lkn dua zinawaangamiza maadui
Huzioni? Mwaka wa 5 sasa Palestina wamezingirwa hawapewi hata bastola. Isreal anapewa silaha za dunia. Lkn wanaua kama kuku wamepata maradhi ya mdondoMbona hizo dua haziwasaidii dhidi ya Israel?
utakuwa unatumia network ipi ?Wachapane tu tupate content kwenye International forum
Saiv natumia ipi?utakuwa unatumia network ipi ?