Hamna sina haraka ila hiko ni chanzo cha Israel chenyewe mkuu.Mbona una haraka?Tulia na vyanzo vyako hadi vilipuliwe.Tulia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna sina haraka ila hiko ni chanzo cha Israel chenyewe mkuu.Mbona una haraka?Tulia na vyanzo vyako hadi vilipuliwe.Tulia.
🚨🇾🇪🇮🇱 The Iron Dome missile, after failing to intercept the Yemeni missile, fell on a shopping mall and a train station in occupied Tel Aviv.“Minor Injuries to Five people” kweli makobasi na shule ni maji na mafuta.
Ilimradi kombora limefika tu bila kujua usahihi wa lengo lao.“Minor Injuries to Five people” kweli makobasi na shule ni maji na mafuta.
IDF wamepatwa na butwa wanasema hilo eneo kikawaida halikutarajiwa kufikiwa na makombora kutoka nje.Yaani kila akila timing ya kumaliza vita Hizibolah wanakichafua Hadi chumbani Houth nao wamepiga katikati ya mji wao pendwa😝😝😝
Umeisoma habari vizuri wewe ngiri maji!??“Minor Injuries to Five people” kweli makobasi na shule ni maji na mafuta.
Inakuaje unapaniki kusikia Wayahudi waliomuua Mungu wako wanapigwa? Upo upande wa maadui wa Mungu wako?Mkianza kupelekewa moto msije kusema Israel inakuwa wasio na hatia.
Vita havina macho
😝😝 We yahudi wa Liwale unaleta Propaganda wakati wayahudi OG wanalia na kusaga menoIlimradi kombora limefika tu bila kujua usahihi wa lengo lao.
Ingekua ni habari ya Yemen kupigwa ungeomba chanzo? Wayahudi weusi wa Ifakara hua mnafurahisha sana.Ostadh tuwekee chanzo cha habari yako tujiridhishe na habari hii
Naongea kwa msisitizo hao ni Houthi Yemeni hao sio Gaza Hamas ambao mmewanyima kumiliki silaha.Mkianza kupelekewa moto msije kusema Israel inakuwa wasio na hatia.
Vita havina macho
Wewe Kafiri nani amekulazimisha uelewe? Nenda kwenye jukwaa lako pendwa la mapishi,hizi habari za kianaume huwezi kuzielewa.Anaandika kwa hasira na matusi juu ili alazimishe kueleweka.🤔
Na ni CENTRAL ISRAEL.IDF wamepatwa na butwa wanasema hilo eneo kikawaida halikutarajiwa kufikiwa na makombora kutoka nje.
Hiyo ni kazi ya Houth pekee ambao wako mbali sana.Sijui Hizbullah akianza itakuwaje TelAviv
Kumbe mnàkubali kuna Wayahudi original?😝😝 We yahudi wa Liwale unaleta Propaganda wakati wayahudi OG wanalia na kusaga meno
Hakuna shaka wapo na ndio wanaowadanganya mpaka wakristo kote duniani wakaanzisha makanisa ya sabatoKumbe mnàkubali kuna Wayahudi original?
Hivi Kuna silaha ya kushinda bomu Kweli?Marekani na Washirika wake wamepeleka zana nyingi mashariki ya kati kwa lengo la kuikinga Israel dhidi ya Makombora toka Iran na Yemeni leo tumeshuhudia Israel imepeta kipigo cha aibu makombora yamesafiri Kilomita 2000 toka Yemen Hadi kwenda kuichakaza TelAviv.. Netanyahoo mavi yanagonge kyupi mda huu..😝
🚨 BREAKING
The Yemeni Armed Forces Successfully attacked a vital facility in Tel Aviv with a Ballistic Missile type Hatem-2.
The Israeli Air Defense Systems weren't able to intercept it. The missile reportedly traveled 2,000 kilometers in 15 minutes, impacting around 06h30 am
View attachment 3096208View attachment 3096209
Ballistic ni kitu kingine kabisa.Hivi Kuna silaha ya kushinda bomu Kweli?
Umeulizwa swali,jibu.Ballistic ni kitu kingine kabisa.
Kilomita 2000 kwa dakika 10 tu.
Umezoea majibu ya kuweka tiki.Jibu hapo ni kuwa ballistic ni zaidi ya mabomuUmeulizwa swali,jibu.