Marekani kashindwa kuikinga Israel dhidi ya ICBM

Marekani kashindwa kuikinga Israel dhidi ya ICBM

“Minor Injuries to Five people” kweli makobasi na shule ni maji na mafuta.
🚨🇾🇪🇮🇱 The Iron Dome missile, after failing to intercept the Yemeni missile, fell on a shopping mall and a train station in occupied Tel Aviv.

The Yemeni missile was able to bypass 22 Zionist air defense points, and no missile was able to shoot it down.
 

Attachments

  • IMG_20240915_115336.jpg
    IMG_20240915_115336.jpg
    176.8 KB · Views: 1
  • IMG_20240915_115335.jpg
    IMG_20240915_115335.jpg
    200.3 KB · Views: 1
Yaani kila akila timing ya kumaliza vita Hizibolah wanakichafua Hadi chumbani Houth nao wamepiga katikati ya mji wao pendwa😝😝😝
IDF wamepatwa na butwa wanasema hilo eneo kikawaida halikutarajiwa kufikiwa na makombora kutoka nje.
Hiyo ni kazi ya Houth pekee ambao wako mbali sana.Sijui Hizbullah akianza itakuwaje TelAviv
 
“Minor Injuries to Five people” kweli makobasi na shule ni maji na mafuta.
Umeisoma habari vizuri wewe ngiri maji!??
Hilo kombora lingeleta maafa zaidi ya hayo,ila hao walioumia walikua wanakimbilia katika bunkers kujificha.
Na habari inasema ving'ora vilisikika muda na raia wengi walikua wakikimbilia kujificha ila iliposhindikanika kulidungua ndio likawaathiri hao watano kwa sharpnels.
 
Mkianza kupelekewa moto msije kusema Israel inakuwa wasio na hatia.

Vita havina macho
Naongea kwa msisitizo hao ni Houthi Yemeni hao sio Gaza Hamas ambao mmewanyima kumiliki silaha.
Mlijitapa sana mlipolipua bandari ya Yemeni na kufanya uharibifu.
Mkaleta ngebe kama za Isha Mashauzi eti "oooh Houthi wakowapi wamejibiwa na Israel wameufyata".
Sasa kidume yupo Syria na vikosi vyake.Mkijitekenya kazi mnayo😂😂😂😂😂😂.
 
IDF wamepatwa na butwa wanasema hilo eneo kikawaida halikutarajiwa kufikiwa na makombora kutoka nje.
Hiyo ni kazi ya Houth pekee ambao wako mbali sana.Sijui Hizbullah akianza itakuwaje TelAviv
Na ni CENTRAL ISRAEL.
NYANDA ZA KATI AMA KANDA YA KATI.
Ingekua ni maeneo ya mipakani ningesema aah kawaida,ila kutua kanda ya kati aaah hapana Houthi wapewe heshima yao😂😂😂😂🙏🙏🙏🙏.
 
Marekani na Washirika wake wamepeleka zana nyingi mashariki ya kati kwa lengo la kuikinga Israel dhidi ya Makombora toka Iran na Yemeni leo tumeshuhudia Israel imepeta kipigo cha aibu makombora yamesafiri Kilomita 2000 toka Yemen Hadi kwenda kuichakaza TelAviv.. Netanyahoo mavi yanagonge kyupi mda huu..😝

🚨 BREAKING

The Yemeni Armed Forces Successfully attacked a vital facility in Tel Aviv with a Ballistic Missile type Hatem-2.

The Israeli Air Defense Systems weren't able to intercept it. The missile reportedly traveled 2,000 kilometers in 15 minutes, impacting around 06h30 am
View attachment 3096208View attachment 3096209
Hivi Kuna silaha ya kushinda bomu Kweli?
 
Back
Top Bottom