Marekani kashindwa kuikinga Israel dhidi ya ICBM

Marekani kashindwa kuikinga Israel dhidi ya ICBM

Wayahudi waliopo Tel Aviv wanasikilizia maumivu na kujificha chini ya mashimo,ila wayahudi weusi wa Liwale,Ifakara,Nzega mpaka huko Itigi,wanakaza mafuvu na kusema hakuna madhara,

Yahudi alimtesa Yesu na kumsulubu,hivyo nae achapike tu.
 
Wayahudi waliopo Tel Aviv wanasikilizia maumivu na kujificha chini ya mashimo,ila wayahudi weusi wa Liwale,Ifakara,Nzega mpaka huko Itigi,wanakaza mafuvu na kusema hakuna madhara,

Yahudi alimtesa Yesu na kumsulubu,hivyo nae achapike tu.
Hii inaleta ujumbe kuwa kama watu wakiamua kuichakaza hiyo nchi ya kizayuni wanaichakaza vibaya sana.
Ila USA,UK na Germany wanaibeba sana hii nchi.
Ngojea tusikie watasemaje.
 
Wayahudi waliopo Tel Aviv wanasikilizia maumivu na kujificha chini ya mashimo,ila wayahudi weusi wa Liwale,Ifakara,Nzega mpaka huko Itigi,wanakaza mafuvu na kusema hakuna madhara,

Yahudi alimtesa Yesu na kumsulubu,hivyo nae achapike tu.
Wanapiga simu kusikiliza kama ni salama kuibuka juu.Iko siku wakati wanasikiliza jawabu linatua jengine kutoka kwa Hizbullah na mara jengine kutoka Syria.
 
Marekani na Washirika wake wamepeleka zana nyingi mashariki ya kati kwa lengo la kuikinga Israel dhidi ya Makombora toka Iran na Yemeni leo tumeshuhudia Israel imepeta kipigo cha aibu makombora yamesafiri Kilomita 2000 toka Yemen Hadi kwenda kuichakaza TelAviv.. Netanyahoo mavi yanagonge kyupi mda huu..😝

🚨 BREAKING

The Yemeni Armed Forces Successfully attacked a vital facility in Tel Aviv with a Ballistic Missile type Hatem-2.

The Israeli Air Defense Systems weren't able to intercept it. The missile reportedly traveled 2,000 kilometers in 15 minutes, impacting around 06h30 am
View attachment 3096208View attachment 3096209
Unaangalia Al Jazeera ya kwa mtogole
Sasa mifumo ya Ulinzi ya kazi gani wakati dude limeshapigiwa mahesabu limeonekana linaenda kudondokea majanini?
Houth wanazjijua akili zenu kwamba Kombora hata likidindokea majanini lazima mjae misikitini kushangili na kula na kunyea, basi wakaona ili wawafurahishe na Iran aone hela yake inatumika vizuri basi kuliko litunguliwe, bora walielekeze lidondekee sehemu isiyo na watu, wakilenga maeneo ya watu litatunguliwa juu kwa juu.

Wakaamua kulenga manyasi na kweli mmeripuka kwa vigelele 🤣🤣🤣
IMG_2851.jpeg
IMG_2852.jpeg
IMG_2853.jpeg
IMG_2854.jpeg
IMG_2855.jpeg
 
Sasa mifumo ya Ulinzi ya kazi gani wakati dude limeshapigiwa mahesabu limeonekana linaenda kudondokea majanini?
Houth wanazjijua akili zenu kwamba Kombora hata likidindokea majanini lazima mjae misikitini kushangili na kula na kunyea, basi wakaona ili wawafurahishe na Iran aone hela yake inatumika vizuri basi kuliko litunguliwe, bora walielekeze lidondekee sehemu isiyo na watu, wakilenga maeneo ya watu litatunguliwa juu kwa juu.

Wakaamua kulenga manyasi na kweli mmeripuka kwa vigelele 🤣🤣🤣View attachment 3096264View attachment 3096265View attachment 3096266View attachment 3096267View attachment 3096269
Yani wamerusha ili mradi lifike tu bila kupata targets. Na akili za Hamas wa Mpanda mashariki wa JF wanapongezana kispoti.😂😂😂
 
Mkijibiwa msije mkaanza kulia Israel anaua wanawake na watoto
 
Yani wamerusha ili mradi lifike tu bila kupata targets. Na akili za Hamas wa Mpanda mashariki wa JF wanapongezana kispoti.😂😂😂
Hawa jamaa huwa jamaa ukijaribu kuwachukulia na kuwaelewa kama binaadam wengine utaishia kuvurugikiwa na akili tu. Ili kwenda nao inabidi uwachukulie kama kundi lenye mahitaji maalum
 
Sasa mifumo ya Ulinzi ya kazi gani wakati dude limeshapigiwa mahesabu limeonekana linaenda kudondokea majanini?
Houth wanazjijua akili zenu kwamba Kombora hata likidindokea majanini lazima mjae misikitini kushangili na kula na kunyea, basi wakaona ili wawafurahishe na Iran aone hela yake inatumika vizuri basi kuliko litunguliwe, bora walielekeze lidondekee sehemu isiyo na watu, wakilenga maeneo ya watu litatunguliwa juu kwa juu.

Wakaamua kulenga manyasi na kweli mmeripuka kwa vigelele 🤣🤣🤣View attachment 3096264View attachment 3096265View attachment 3096266View attachment 3096267View attachment 3096269
Haiaminiki hilo.Pamoja na hivyo huo moshi pekee unasababisha shinikizo la damu.Na kauli kwamba kombora kutoka Yemen kutamkwa na vyombo vya habari kutoka Israel nalo linatisha wakati Yemen wala haipakani nao
 
Hawa jamaa huwa jamaa ukijaribu kuwachukulia na kuwaelewa kama binaadam wengine utaishia kuvurugikiwa na akili tu. Ili kwenda nao inabidi uwachukulie kama kundi lenye mahitaji maalum
Wenye uhitaji maalum ni hawa huku.
 

Attachments

  • Screenshot_20231222-004828.jpg
    Screenshot_20231222-004828.jpg
    47.1 KB · Views: 1
Hii vita Israel imeshindwa,Inakuaje Taifa teule linapigana vita mwaka mzima tena Taifa lenye teknolojia ya juu,wasomi wakubwa sapoti kubwa toka Kwa watawala dunia unakuja kusumbuliwa na wavaa ma Panjabi tena Kwa mawe
 
Hii vita Israel imeshindwa,I akuaje Taifa teule linapigana vita mwaka mzima tena Taifa lenye teknolojia ya juu,wasomi wakubwa sapoti kubwa toka Kwa watawala dunia unakuja kusumbuliwa na wavaa ma Panjabi tena Kwa mawe
Hapo wamerusha jiwe?
 
Haijalishi hivi Israel unaweza fananisha na wapalestina? Palestina kumi ndio Israel Moja!
Hizo ni tafsiri za kujidunisha.Silaha wanazo na wanazitumia.Kutaka kuwaonesha ni wa hali duni ni kutafuta waungwe mkono na watu wasiotumia akili zao vizuri.
 
Lamamayeeee hii HAPA HABARI.
NA IMEANDIKWA NA CHOMBO CHA ISRAEL WENYEWE.
HOUTHI KALIPUA KATIKATI YA ISRAEL NA MLIPUKO UMESIKIKA.
AYA BISHENI NA HAPA😂😂😂😂😂View attachment 3096225View attachment 3096226
Vita na mapigano sio mchongo!
Israel inayolindwa na west wote 24/7 wanaishi kama kuku mwituni.
Mwewe akipita, wote wanakimbilia mapangoni.
Je kuna amani hapo?
 
Back
Top Bottom