Uchaguzi 2020 Marekani: Kuanzia leo, tunaweka vizuizi kwa waliohusika na kuvuruga Uchaguzi nchini Tanzania

Uchaguzi 2020 Marekani: Kuanzia leo, tunaweka vizuizi kwa waliohusika na kuvuruga Uchaguzi nchini Tanzania

What is voter suppression?

Mbinu za kuwazuia weusi/latino wasiweze kupiga kura!! Wakiweza kupiga kura kwavile ni wengi wale wanaowachagua hushinda; hivyo kuwazuia kuwachagua watetezi wao mbinu kama kuwatisha wapiga kura ili wasiende vituoni hutumika!!
 
Huoni kumfungia ni sawa na kumnyima HAKI YAKE YA UHURU WA KUJIELEZA.

MANAKE KWA KUMINYA UHURU WA KUJIELEZA MANAKE UMEENDA KINYUME NA KATIBA YA NCHI.

AU labda US kuna watu wapo JUU YA KATIBA.
Waulizwe wamiliki wa Twitter, na hiyo itoshe kukuonyesha kuwa Marekani Raisi siyo mfalme!. Chombo chochote cha habari hapa TZ kijaribu kumfungia Magufiuli kione! 😁
 
Siwezi kukuamini wewe,inawezekana unanipa tafsari potofu.

Wakuu nini maana ya "not accessible"?

Sijui katiba ya US inasemaje kuhusu watu kufungiwa Twitter? Pia ni hadi nimjue nani aliyemfungia.

Kwani katiba ya US inasemaje kuhusu watengeneza keki wanaopinga ushoga kukataa oda za keki kutoka kwa mashoga wanaotaka kuoana?
Wewe uamini husiamini jua acc ya Trump imefungwa.

Alafu mbona una hamisha magoli mimi na lizungumzia swala la Trump ,mimi hapa na zungumzia UMINYWAJI WA UHURU WA KUJIELEZA WA TRUMP.

Ambapo KATIBA IMEMPA KILA MTU HAKI YA UHURU WA KUJIELEZA.

Hao wengine siyajui labda na hata kama wewe unayajua sizani kama hapa kama ni mahali pake.
 
Kwani demokrasia yetu lazima ifanane na yao? Nyerere alisema, democracy is not like a bottle of Cocacola that you can just import from some other place, democracy should be self grown to suite the needs of our country, they can shove their sanctions up their stinky azz holes
Acha utoto wewe
 
Mbinu za kuwazuia weusi/latino wasiweze kupiga kura!! Wakiweza kupiga kura kwavile ni wengi wale wanaowachagua hushinda; hivyo kuwazuia kuwachagua watetezi wao mbinu kama kuwatisha wapiga kura ili wasiende vituoni hutumika!!
Sasa mbona haya maelezo yako hapa ni contradictions tupu!
 
Kwahiyo bashite sasa kwa vile haendi USA basi maisha kwake ni magumu anakosa hadi ugali eti eee?

Jamani USA iko hapahapa tz ukiwa na hela utainjoi maisha hapahapa nyumbani tz.

Huko usa sio mbinguni

..kwetu sisi walalaho kutokwenda USA sio big deal / habari kubwa.

..lakini siyo kwa vigogo ambao wamashachezea viwanja vyote hapa Tz, na wanashindana kuchafua viwanja huko nje.

..kwa hiyo kwa vigogo kuzuiwa kukanyaga nchi fulani fulani ni shida kubwa na fedheha kwao.
 
Sasa mbona haya maelezo yako hapa ni contradictions tupu!

Naona hujui unaandika nini!!! Umeuliza maana ya VOTER SUPPRESSION; nimekuleza maana yake na nikaenda zaidi kukuelimisha jinsi inavyofanywa!!! Halafu unaita hiyo ni contradiction? You must be out of your mind because you do not know the meaning of contradiction!!! I challenge you to show me the contradictions.
 
Usinilazimishe niamini taarifa nusu nusu
Wewe uamini husiamini jua acc ya Trump imefungwa.

Alafu mbona una hamisha magoli mimi na lizungumzia swala la Trump ,mimi hapa na zungumzia UMINYWAJI WA UHURU WA KUJIELEZA WA TRUMP.

Ambapo KATIBA IMEMPA KILA MTU HAKI YA UHURU WA KUJIELEZA.

Hao wengine siyajui labda na hata kama wewe unayajua sizani kama hapa kama ni mahali pake.
 
Luka 6:41-45 Kwa nini wakiona kibanzi jichoni mwa ndugu yako, na papo hapo huioni boriti iliyoko jichoni mwako? Au ...
To
Kupitia akaunti yake ya Twitter, Katibu Mkuu wa Mambo ya Nje, Mike Pompeo ameandika "Kuna matokeo ya kuingilia mchakato wa kidemokrasia. Kuanzia leo, tunaweka vizuizi vya visa kwa wale wanaohusika na uvurugaji wa uchaguzi nchini Tanzania. Tunabaki kujitolea kufanya kazi pamoja kuendeleza demokrasia na ustawi wa pande zote kwa nchi zetu zote mbili."

View attachment 1681412

Soma pia: Visa Restrictions on Tanzanians for Undermining the Democratic Process and Human Rights - United States Department of State
___________________________________________________

Marekani imetangaza kuwawekea vikwazo vya vya kuingia nchini humo maafisa wa Tanzania ambao nchi hiyo inawatuhumu kwa kile wanachokitaja kuwa kuharibu uchaguzi mkuu wa Oktoba 28, mwaka 2020.

Maofisa hao wanatajwa kuhusika kuingilia mchakato wa uchaguzi na kuminya utekelezaji wa demokrasia.

Hata hivyo taarifa hiyo ya wizara ya mambo ya nje ya Marekani haijabainisha ni viongozi gani hasa kutoka Tanzania waliowekewa vikwazo vya kuingia Marekani.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na waziri wa mambo ya Nje wa Marekani Mike Pompeo, Waangalizi wa uchaguzi na mashirika ya kiraia wanadai kuwepo kwa udanganyifu katika uchaguzi huo pamoja na uvunjifu wa haki za binadamu wakati na baada ya uchaguzi.

Marekani inasema kuzimwa ama kuzimika kwa mitandao, kuminywa kwa waandishi wa habari na nguvu kubwa iliyotumiwa na jeshi la Polisi kunafanya uchaguzi huo kutokua huru na wa haki.

Katika uchaguzi huo, baadhi ya wagombea kutoka vyama vya upinzani walienguliwa kwa sababu mbalimbali na wengine kukamatwa.

Tume ya uchaguzi nchini humo na hata Serikali kupitia waziri wake wa mambo ya nje, Palamagamba Kabudi ilieleza kwamba uchaguzi ulikua huru na wa haki.

Marekani inasema pamoja na hatua hii iliyochukua dhidi ya maafisa wa Tanzania, inaendelea kufuatilia kwa karibu maendeleo ya hoja hiyo, huku ikisema haitasita kuchukua hatua zaidi dhidi ya wale wanaominya demokrasia na kuvunja haki za binadamu.

''Tunaitaka Tanzania, kuwachukulia hatua wale wote waliohusika kuvuruga uchaguzi, kufanya vurugu na kuleta vitisho'' ilisema sehemu ya taarifa hiyo.

Juhudi za kumpata msemaji wa serikali ya Tanzania kuzungumzia suala hilo mpaka sasa hazijazaa matunda, na tutaendelea kuwatafuta kwa ajili ya kuzungumzia suala hilo

Haya ni moja ya maamuzi ya mwisho ya utawala wa rais Donald Trump ambaye amebakiza saa chache kuachia mamlaka ya urais. Mpaka sasa haijafahamika iwapo utawala wa rais mpya Joe Biden kama utatekeleza maamuzi hayo. Tayari ofisi ya Biden imetangaza kuwa itatengua sera kadhaa za Trump mara tu baada ya kuingia ofisini kesho.

BBC.

a
 
Naona hujui unaandika nini!!! Umeuliza maana ya VOTER SUPPRESSION; nimekuleza maana yake na nikaenda zaidi kukuelimisha jinsi inavyofanywa!!! Halafu unaita hiyo ni contradiction? You must be out of your mind because you do not know the meaning of contradiction!!!

..Tanzania pia inaweza kuzuia maofisa wa Kimarekani wanaofanya figisu[voter suppression] wakati wa uchaguzi.

..Mwalimu Nyerere aliwahi kumfukuza balozi au maofisa ubalozi wa Marekani miaka ya 60, kwanini Magufuli anashindwa kuchukua hatua kama hizo?
 
Upuuuuzi.......mtupu.

Wanahamasisha uhuru wa kujieleza, huku wameifungia acc ya twitter ya Trump.

Wanacho kihamasisha wao hawakiishi, wadeal na hali yao wanaiyoipitia sasa baada ya uchaguzi.
Kwani acc ya twitter ya trump imefungiwa na serikali ya marekani au wenye twitter yao ndo wamemlima kufuli.
 
Mikutano ya UN pia kwa level zao itapangwa kufanyika Mwalimu Nyerere Conference Hall.

..Nadhani UN wanaruhusiwa kwenda.

..ndio maana Gaddafi na Mugabe walikuwa wanatinga UN na kuzoza-zoza.
 
Kwa hiyo unafikiri Mahera atakosa ugali mezani kwake kwa kuzuiwa kwenda Marekani?

I mean Mahera sasa atarudi kijijini kulima sababu USA imesema asiende kwao?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Acheni utani jamani.
Hivi unaelewa maana ya kuwekewa vikwazo na America ?! Waulize Iranian

Odhis *
 
Back
Top Bottom