Uchaguzi 2020 Marekani: Kuanzia leo, tunaweka vizuizi kwa waliohusika na kuvuruga Uchaguzi nchini Tanzania

Uchaguzi 2020 Marekani: Kuanzia leo, tunaweka vizuizi kwa waliohusika na kuvuruga Uchaguzi nchini Tanzania

Naona Trump anamalizia dakika zake za mwisho kwa kuhujumu baadhi ya nchi, wafungwa ambao wangesamehewa trump amewanyonga dakika za mwisho kabla hajaondoka white house, sijui kwa sababu wale wafungwa walikuwa ni weusi ? Maana nna hakika wangekuwa wafungwa wa kizungu asingetoa amri ya kunyongwa....
Waulize Iranians, Zimbabweans, North Korea etc nini maana ya vikwazo vya waAmerica . Wala usiombe wakaenda deep

Odhis *
 
We sympathize with Mike Pompeo a devil's mouth piece agent.

In the contrary we urge the Government of America to reverse course and hold accountable those responsible for the flawed election, violence, cowardice terrorism and intimidation. The United Republic of Tanzania will continue to closely follow developments in USA and will not hesitate to challenge against individuals complicity in undermining democracy and violating human rights in the USA that has been nurtured for over 200 years ago.

Finally, we emphasize that the United Republic of Tanzania is a sovereign state that shall not bow down to concede the imperialist malicious intent against other countries contrary to UN treaties and that at present the stance is not directed at the USA people rather the sitting regime that seems to be fighting in favour of personal interests advancement. We commend the Americans who are wary of the situation being created by the outgoing regime, but also have honestly participated in the recent election peacefully and in good faith despite the hiccups, and we will work together with all those committed to advancing democracy, human rights, respect, trust and mutual prosperity for their people and bilateral relationship.

We stand to be criticised, advised and ecnouraged to uphold the core values, culture and economic empowerment for the best practce and advantage for teh duo countries.....no country in the world is above the other with all rights to suppress, provoke on the way they feel it right, therefore treating each other dignity is very important to be consistently adhered.

Mleta mada, bado tu mnatuletea habari za Pompeo & Trump the losers? Poleni...........waanze kuweka hata kwa kila mtu kasoro wapinzani tu ili tuone survival yenu itakuwa wapi!!!! This is a pitfall assault, too pathetic indeed
Kwanini hampendi uchaguzi wa wananchi wa haki ?!. Serikali yetu ni ya wananchi, kwanini wanaporwa jukumu lao la kuweka viongozi wanaowataka ?!.

Kumtuhumu Pompeo na Trump wakati nyumba siyo safi, hakuondoi ukweli kwamba uchaguzi ulichezewa.

Odhis *
 
Si chini ya mwezi mmoja, Bunge la Umoja wa Ulaya limependekeza na kuridhia taratibu za vikwazo vinavyowekwa na Marekani kutumika pia Umoja wa Ulaya....
Na Tatizo wakisha viweka kuviondoa ni shidah sana sana
 
Ukishakuwa tu na jina Kaijage, Magufuli, Mambosasa, Muroto, Ole Sabaya, au Mahela imekula kwao upo kwenye blacklist ya Pompeo
 
Si chini ya mwezi mmoja, Bunge la Umoja wa Ulaya limependekeza na kuridhia taratibu za vikwazo vinavyowekwa na Marekani kutumika pia Umoja wa Ulaya.

Nadhani wewe ni Mchanga sana na hujui impact ya travel Ban. Kwa taarifa yako ni kuwa hao watu na familia zao wataweza kwenda Asia na nchi na Africa tu. Na ikitokea wamepigwa na Ban za kufanya miamala ya kifedha ndo wameumia maana systems za kibank duniani karibu zote ziko chini ya hao hao.

Kikubwa kwa sasa ni watu wasali wasiwepo kwenye hiyo list Ila wakiwepo tu wameumia
Ya kibank ndio dozi hatare
 
Nikiziangalia sura zilizojazana NEC na kwa msajili wa vyama vya siasa kwa hakika wamejaa wazalendo watupu na wengi wao hata huko Marekani hawakujui.

Ningepata mashaka kama viongozi wa Chadema au CCM ndio wangezuiliwa kwenda Marekani kwa sababu kwenye vyama vya siasa ndio kumejaa wazururaji.

Au kwa mfano wangezuiliwa wabunge wa bunge letu la JMT akina mheshimiwa Makamba Jr, hapo ingekuwa tatizo.

Maendeleo hayana vyama!

Ungesema nyuso zile ni za mijizi isiyoweza kukaribishwa popote ungeeleweka zaidi mkuu.😂😂😂😂😂
 
Waulize Iranians, Zimbabweans, North Korea etc nini maana ya vikwazo vya waAmerica . Wala usiombe wakaenda deep

Odhis *
Wajinga tu ndio mnababaika ila dunia ya sasa hivi hakuna nchi ina babaishwa na vikwazo vya wamarekani, yeye mwenyewe anapumulia mashine sasa hivi, akizubaa mchina huyu hapa kwa nyuma yake.

Hao Irani unafikiri wana hali mbaya kama mnavyotangazowa?
 
Huyu kibarua chake kinakwisha kesho, itakuwaje kuhusu haya matamko yake?
Me namuona kama kajitekenya kisha anacheka mwenyewe.
Ama labda wapo kumfurahisha Amsterdam na mteja wake
 
Nikiziangalia sura zilizojazana NEC na kwa msajili wa vyama vya siasa kwa hakika wamejaa wazalendo watupu na wengi wao hata huko Marekani hawakujui.

Ningepata mashaka kama viongozi wa Chadema au CCM ndio wangezuiliwa kwenda Marekani kwa sababu kwenye vyama vya siasa ndio kumejaa wazururaji.

Au kwa mfano wangezuiliwa wabunge wa bunge letu la JMT akina mheshimiwa Makamba Jr, hapo ingekuwa tatizo.

Maendeleo hayana vyama!
Unamaanisha kwenye hizo ofisi wamejaa wazalendo watupu au wajinga watupu?

Kumbuka Serikali imetakiwa kuwachukulia hatua wahusika wa uchafuzi wa uchaguzi. Kama hakutakuwa na hatua, basi inafuata hatua nyingine dhidi ya Serikali. Ni ipi hiyo? Wewe na mimi kwa sasa hatujui.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanini hampendi uchaguzi wa wananchi wa haki ?!. Serikali yetu ni ya wananchi, kwanini wanaporwa jukumu lao la kuweka viongozi wanaowataka ?!.

Kumtuhumu Pompeo na Trump wakati nyumba siyo safi, hakuondoi ukweli kwamba uchaguzi ulichezewa.

Odhis *
Usipoteze muda wako kuimba wimbo wenye maneno usiyoyaelewa vema
 
Upuuuuzi.......mtupu.

Wanahamasisha uhuru wa kujieleza, huku wameifungia acc ya twitter ya Trump.

Wanacho kihamasisha wao hawakiishi, wadeal na hali yao wanaiyoipitia sasa baada ya uchaguzi.
Huna unachokijua mpuuzi ni wewe, Twitter ya Trump ndio iliyohamasisha wafuasi wake kuvamia bunge la marekani kumzuia Biden Rais halali mteule kuthibitishwa na kusababisha watu 5 kufa akiwemo askari mmoja., Sasa Twitter kama twitter wana wana ethic zao na sheria za kimataifa ambazo wamejiwekea kama mtandao wa umma, kwanini Trump asifungiwe account yake kwa kosa ambalo hata yeye mwenyewe alikiri kulifanya.,

Ulitaka twitter waje wafungiwe wao kwa kutokumfungia mtu ambaye ataleta madhara makubwa kwa taifa kama Marekani?? Ndio mana nimesema huna unachokijua., Rudi kwenye mada kuhusu kuzuiwa viongozi wa nchi yenu visa kwa kuhusika kuihujumu demokrasia 2020 kama huna kaa kimya., si lazima uje hapa na kuandika chochote.
 
Mkuu hatuongelei kuathirika kwa msosi mezani ,hapa tunaongelea kunyimwa viza,kama msosi hata wanaopata visa sometimes wanakosa msosi mezani.
Mahera akinyimwa visa kwenda USA anaathirika vipi?

Kwanza Mahera aende USA kufanya nini? Kuna nini kule? Hana ndoto za kujiendeleza kimdasomo maana hapo alipo ameshayapatia! Hivyo vikwazo ni bure kabisa
 
Kama vikwazo vyenyewe ni pamoja na kwenda Marekani, me naona hivyo sio vikwazo.
Kuna ulazima gani wa kwenda huko?
Kwanza baba mwenye nyumba yangu hana hiyo hulka ya kwenda kwenye majumba ya watu.
 
Kama hujasafiri nje huwezi kujua machungu ya kunyimwa visa popote pale si Marekani tu inaitwa denied entry acha kabisa, ukinyimwa visa ya Marekani uko likely kunyimwa na ya EU.
Alafu unakufa? Makonda si huyo hapo anakula raha hapahapa bongo?
 
Back
Top Bottom