Marekani kubadili vikwazo kuwawezesha wananchi wa IRAN kupata taarifa.

Marekani kubadili vikwazo kuwawezesha wananchi wa IRAN kupata taarifa.

John7371

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2018
Posts
2,994
Reaction score
6,676
Serikali ya Marekani imepanga kubadili baadhi ya vikwazo iliyoiwekea nchi ya Iran ili kuwawezesha wananchi wa Iran kupata uwezo wa kukwepa mifumo ya kiudukuzi na inayozuia wananchi kuweza kupata taarifa.

Hatua hii ya Marekani imekuja kufuatia kifo cha mwanadada wa Kikurdi nchini Iran aliyefariki mikononi mwa polisi na kupelekea maandamano makubwa nchi humo na kuifanya serikali ya Iran kuzima internet nchini humo.

Mwongozo huu mpya wa Marekani unalenga kusaidia upatikanaji huru wa taarifa kwa wananchi wa Iran kupitia mifumo mbalimbali ikiwemo VPN's.
 
Duniani hakuna cha kumcha Mungu kiukweli ni unafiki tu na usanii ili watu watawale na ndio maana serikali zingine zinajiita eti ni za kidini wakati hamna lolote ni usanii mtupu.

Eti serikali ya kidini lakini mnataka muwe na silaha hatari za nyuklia kwa sababu kiuhalisia hamwamini kwamba Mungu anaweza kuwalinda hivyo mnatafuta njia za kidunia za kujilinda.

Mtu ana mwili wake lakini eti hana mamlaka nayo na ni watu wengine ndio wanakuamulia unavyopaswa kuusimamia mwili wako, ni upumbavu wa hali ya juu kuwahi kuonekana.

Binadamu yeyote mwenye akili timamu anajua namna gani avae na kujisitiri asitembee uchi mbele za watu wengine na si swala la kuwa na watu maalum wa kushughulikia hili suala.
 
Duniani hakuna cha kumcha Mungu kiukweli ni unafiki tu na usanii ili watu watawale na ndio maana serikali zingine zinajiita eti ni za kidini wakati hamna lolote ni usanii mtupu.

Eti serikali ya kidini lakini mnataka muwe na silaha hatari za nyuklia kwa sababu kiuhalisia hamwamini kwamba Mungu anaweza kuwalinda hivyo mnatafuta njia za kidunia za kujilinda.

Mtu ana mwili wake lakini eti hana mamlaka nayo na ni watu wengine ndio wanakuamulia unavyopaswa kuusimamia mwili wako, ni upumbavu wa hali ya juu kuwahi kuonekana.

Binadamu yeyote mwenye akili timamu anajua namna gani avae na kujisitiri asitembee uchi mbele za watu wengine na si swala la kuwa na watu maalum wa kushughulikia hili suala.
_20220924_113302.jpg
 
Zaidi ya Miji 80 watu wanaandamana nahisi kinachosubiriwa Kwa SASA ni POLISI kuuwa tena wananchi hii itazidisha hasira hata nchi za magharibi wameshapata chance ya kupenyeza uchochezi zaidi naona safari hii ni zamu ya Iran kuingia kwenye civil war
 

Attachments

  • 20220924_073825.jpg
    20220924_073825.jpg
    140.9 KB · Views: 6
Zaidi ya Miji 80 watu wanaandamana nahisi kinachosubiriwa Kwa SASA ni POLISI kuuwa tena wananchi hii itazidisha hasira hata nchi za magharibi wameshapata chance ya kupenyeza uchochezi zaidi naona safari hii ni zamu ya Iran kuingia kwenye civil war
Marekani ni very strategic, akiamua kukutafutia timing hata miaka mia kwake siyo issue.
 
Duniani hakuna cha kumcha Mungu kiukweli ni unafiki tu na usanii ili watu watawale na ndio maana serikali zingine zinajiita eti ni za kidini wakati hamna lolote ni usanii mtupu.

Eti serikali ya kidini lakini mnataka muwe na silaha hatari za nyuklia kwa sababu kiuhalisia hamwamini kwamba Mungu anaweza kuwalinda hivyo mnatafuta njia za kidunia za kujilinda.

Mtu ana mwili wake lakini eti hana mamlaka nayo na ni watu wengine ndio wanakuamulia unavyopaswa kuusimamia mwili wako, ni upumbavu wa hali ya juu kuwahi kuonekana.

Binadamu yeyote mwenye akili timamu anajua namna gani avae na kujisitiri asitembee uchi mbele za watu wengine na si swala la kuwa na watu maalum wa kushughulikia hili suala.
Daudi alimuua Goliath kwa kutumia Silaha au hewa?

Vita kati ya Wafilisti na Waisraeli walikuwa wanatumia nini Silaha au Maneno.
Ongea Point za kueleweka.
 
We took action today to advance Internet freedom and the free flow of information for the Iranian people, issuing a General License to provide them greater access to digital communications to counter the Iranian government’s censorship- US Secretary of state
 
Hivi ni kwa nini waislam wa itikadi kali mnaichukia sana Marekani?

Yaani Muislam akishakuwa na itikadi kali au akianza kukata suruali tu, lazima Awe anaichukia sana Marekani.
Tatizo huwa ni nini?
Marekani hachukiwi na Waislamu wa itikadi kali pekee, anachukiwa hata na wasio waislamu wa itikadi kali. Pia Marekani anachukiwa na Wakristo na hata wasiokuwa na Dini.

Ukija Afrika, kuna nchi nyingi hazimpendi Marekani ila kinafiki tu wanajifanya ni mshirika wake kwa Uoga kwa kuwa ni superpower na watakosa Misaada.

Ukienda Bara la Asia kina nchi kama CHINA, KOREA KASKAZINI na zinginezo nao wanamchukia Marekani. Je, nao ni Waislamu.

Acha chuki binafsi.
 
Hivi ni kwa nini waislam wa itikadi kali mnaichukia sana Marekani?

Yaani Muislam akishakuwa na itikadi kali au akianza kukata suruali tu, lazima Awe anaichukia sana Marekani.
Tatizo huwa ni nini?
Na hilo swali linaweza kugeuzwa pia akaulizwa Marekani.

“Hivi ni Kwanini Marekani anauchukia Uisilamu?”

pia

“Hivi ni kwanini Marekani nchi yoyote ile iwe ya kidini au sio ya kidini ikishaanza kuwa na uchumi mzuri tu basi atichukia? Na kuitafutia vikwazo?

Mfano wa hizo nchi ni kama CHINA, NORTH KOREA, INDIA.
 
We took action today to advance Internet freedom and the free flow of information for the Iranian people, issuing a General License to provide them greater access to digital communications to counter the Iranian government’s censorship- US Secretary of state
Maisha bila unafiki hayaendi
 
Back
Top Bottom