mkupuo
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 1,808
- 2,048
Haupo serious mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haupo serious mkuu.
Zaidi ya Miji 80 watu wanaandamana nahisi kinachosubiriwa Kwa SASA ni POLISI kuuwa tena wananchi hii itazidisha hasira hata nchi za magharibi wameshapata chance ya kupenyeza uchochezi zaidi naona safari hii ni zamu ya Iran kuingia kwenye civil war
Neno Ugaidi likiwahusisha Waislamu lilipachikwa baada ya tukio la Septemba 11, na tukio lenyewe lilikuwa lina Mauza uza kibao.Hapo hakuna cha kujiuliza sana si unatambua kabisa Uislam na ugaidi na kuuwa watu ovyo ni pacha.
Huo ni Utumwa kijana, mijitu inaomba Green Card na Mashariti kibao.Leo hii ukipewa Chance ya kuwa Raia wa Marekani, utoke hapo Rufiji au hapo Mbande unapokaa uende kuishi Los Angeles, UTAKUBALI au UTAKATAA?
Kama USA ni mfanyabiashara Makini basi ahakikishe anaboresha biashara zake zaidi ili awe juu katika soko kuliko washindani wake, na si kuwatafutia Chokochoko washindani wake.Uliona wapi mfanyabiashara makini anampenda mshindani wa biashara yake?
USA is true capitalist country.
Kwa nini unakuwa muongo hivyo? Mbona yale mataifa ambayo ni marafiki wakubwa wa Marekani ni nchi zenye uchumi mkubwa?Na hilo swali linaweza kugeuzwa pia akaulizwa Marekani.
“Hivi ni Kwanini Marekani anauchukia Uisilamu?”
pia
“Hivi ni kwanini Marekani nchi yoyote ile iwe ya kidini au sio ya kidini ikishaanza kuwa na uchumi mzuri tu basi atichukia? Na kuitafutia vikwazo?
Mfano wa hizo nchi ni kama CHINA, NORTH KOREA, INDIA.
Cha kushangaza, maeneo yenye waislamu wengi katika Tanzania kama mwambao wa pwani na Zanzibar ndiko kuna ushoga mwingi kama ulivyoletwa na waarabu wakati wakifanya biashara haramu ya utumwa.Tatizo nikusapoti ushoga na usagaji tena kwalazima
Au nyie mnapenda muoane wenyewe kwa wenyewe wajinsia moja !!!??
Sent using Jamii Forums mobile app
FAKE NEWS!!!!SpaceX wamejaribu kuwasha internet yao ya Starlink huko Iran lakini imekuwa Jammed and Blocked within Iranian territory.
Report: Iran blocks SpaceX Starlink website after Elon Musk activated internet for Iranians
View attachment 2369287