Marekani kubadili vikwazo kuwawezesha wananchi wa IRAN kupata taarifa.

Marekani kubadili vikwazo kuwawezesha wananchi wa IRAN kupata taarifa.

Kwa hii dunia tuliyopo, kuzuia internet inaanza kuwa impossible.
Uko sahihi Sana.

Na nimeanza kuhisi kwamba hii project ya Starlink ya Elon Musk ni moja ya project ya CIA ili kuangusha tawala za kidikteta,maana madikteta wengi wakiona watu wanaanza kuandamana wanafunga internet sasa hii Starlink ikiwepo ni almost impossible kufunga kabisa internet. Mfano mzuri ni Ukraine,mwanzoni mwa Vita Russia ililipua karibu miundombinu yote ya internet ya Ukraine, Zelenksy akamuomba Musk awaunge na Starlink jamaa akapeleka terminals za starlink fasta Ukraine ikarudi Online na mpaka sasa wanatumia Starlink Kwa kuziunga drones na internet ya Starlink na kufanya mashambulizi dhidi ya vikosi vya Russia. Starlink pia ni almost unhackable,Russia walijaribu kuihack Elon Musk says Russia is ramping up cyberattacks on SpaceX's Starlink systems in Ukraine wakashindwa ndani ya muda mfupi jamaa wakasolve tatizo halafu wakaupdate software mpaka Pentagon wakashangaa kwamba jamaa wamewezaje Pentagon Impressed by Starlink's Fast Signal-Jamming Workaround in Ukraine kuzuia tatizo ghafla na kutoa software updates fasta kusolve loophole.https://www.google.com/amp/s/www.ou...ter-than-us-military-pentagon-news-192868/amp

China alivyoona Starlink inavyofanya kazi Kwa ufasaha Ukraine akasema anaingia kazini kuunda silaha ambazo zitatumika kuzishusha satellite za Starlink endapo kutatokea vita https://www.google.com/amp/s/amp.sc...eds-defence-against-potential-starlink-threat ,Elon Musk akawajibu kwamba ana uwezo wa kutuma satellites nyingi kuliko idadi ambayo wanaweza kutungua.
Russia, China can't take down Starlink's 2,000+ satelites, says Elon Musk
 
Uko sahihi Sana.

Na nimeanza kuhisi kwamba hii project ya Starlink ya Elon Musk ni moja ya project ya CIA ili kuangusha tawala za kidikteta,maana madikteta wengi wakiona watu wanaanza kuandamana wanafunga internet sasa hii Starlink ikiwepo ni almost impossible kufunga kabisa internet. Mfano mzuri ni Ukraine,mwanzoni mwa Vita Russia ililipua karibu miundombinu yote ya internet ya Ukraine, Zelenksy akamuomba Musk awaunge na Starlink jamaa akapeleka terminals za starlink fasta Ukraine ikarudi Online na mpaka sasa wanatumia Starlink Kwa kuziunga drones na internet ya Starlink na kufanya mashambulizi dhidi ya vikosi vya Russia. Starlink pia ni almost unhackable,Russia walijaribu kuihack Elon Musk says Russia is ramping up cyberattacks on SpaceX's Starlink systems in Ukraine wakashindwa ndani ya muda mfupi jamaa wakasolve tatizo halafu wakaupdate software mpaka Pentagon wakashangaa kwamba jamaa wamewezaje Pentagon Impressed by Starlink's Fast Signal-Jamming Workaround in Ukraine kuzuia tatizo ghafla na kutoa software updates fasta kusolve loophole.https://www.google.com/amp/s/www.ou...ter-than-us-military-pentagon-news-192868/amp

China alivyoona Starlink inavyofanya kazi Kwa ufasaha Ukraine akasema anaingia kazini kuunda silaha ambazo zitatumika kuzishusha satellite za Starlink endapo kutatokea vita https://www.google.com/amp/s/amp.sc...eds-defence-against-potential-starlink-threat ,Elon Musk akawajibu kwamba ana uwezo wa kutuma satellites nyingi kuliko idadi ambayo wanaweza kutungua.
Russia, China can't take down Starlink's 2,000+ satelites, says Elon Musk
Baada ya Starlink (Space X) kuzima jaribio kubwa la Russia kutaka kuzihack satellite zake SpaceX shut down a Russian electromagnetic warfare attack in Ukraine last month — and the Pentagon is taking notes China iliingiwa na wasiwasi mno na kutoa tahadhali kwamba Marekani itatumia Starlink satellite kuleta majanga na vurugu duniani (hapa nadhani tunaona jinsi serikali kandamizi zinavyoanza kupata wasiwasi na hii project) https://www.google.com/amp/s/www.as...ill-use-spacex-to-bring-calamity-to-world/amp.

Baada ya jamaa kuzima jaribio la Urusi Pentagon wakaingia mkataba na Space X fasta ili watumie Starlink kwenye operations zao ndani ya Africa The US Air Force is signing up for Starlink after watching it help Ukraine stay online amid Russia's ongoing attacks pia jeshi la anga la Marekani (USAF) wakafanya majaribio kuunganisha F-35 na Starlink satellite internet https://www.google.com/amp/s/www.teslarati.com/elon-musk-starlink-us-air-force-tests/amp/
 
Na hilo swali linaweza kugeuzwa pia akaulizwa Marekani.

“Hivi ni Kwanini Marekani anauchukia Uisilamu?”

pia

“Hivi ni kwanini Marekani nchi yoyote ile iwe ya kidini au sio ya kidini ikishaanza kuwa na uchumi mzuri tu basi atichukia? Na kuitafutia vikwazo?

Mfano wa hizo nchi ni kama CHINA, NORTH KOREA, INDIA.
Hapo hakuna cha kujiuliza sana si unatambua kabisa Uislam na ugaidi na kuuwa watu ovyo ni pacha.
 
We took action today to advance Internet freedom and the free flow of information for the Iranian people, issuing a General License to provide them greater access to digital communications to counter the Iranian government’s censorship- US Secretary of state
Amina Amina mtumishi wa Mungu
 
Hivi ni kwa nini waislam wa itikadi kali mnaichukia sana Marekani?

Yaani Muislam akishakuwa na itikadi kali au akianza kukata suruali tu, lazima Awe anaichukia sana Marekani.
Tatizo huwa ni nini?
Umesahau mkuu nakuvaa kobaz
 
Marekani hachukiwi na Waislamu wa itikadi kali pekee, anachukiwa hata na wasio waislamu wa itikadi kali. Pia Marekani anachukiwa na Wakristo na hata wasiokuwa na Dini.

Ukija Afrika, kuna nchi nyingi hazimpendi Marekani ila kinafiki tu wanajifanya ni mshirika wake kwa Uoga kwa kuwa ni superpower na watakosa Misaada.

Ukienda Bara la Asia kina nchi kama CHINA, KOREA KASKAZINI na zinginezo nao wanamchukia Marekani. Je, nao ni Waislamu.

Acha chuki binafsi.
Leo hii ukipewa Chance ya kuwa Raia wa Marekani, utoke hapo Rufiji au hapo Mbande unapokaa uende kuishi Los Angeles, UTAKUBALI au UTAKATAA?
 
Zaidi ya Miji 80 watu wanaandamana nahisi kinachosubiriwa Kwa SASA ni POLISI kuuwa tena wananchi hii itazidisha hasira hata nchi za magharibi wameshapata chance ya kupenyeza uchochezi zaidi naona safari hii ni zamu ya Iran kuingia kwenye civil war
Civil war IRAN poleni sana
Katafte maandamano ya mwaka 2019 rudi nyuma kafatilie ya 2009
Kama walichemka hapo wasahau tena civil war
Naona mambo yameanza kubadilika huko au tupen maendeleo kwaendeleaje!!!??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi ni kwa nini waislam wa itikadi kali mnaichukia sana Marekani?

Yaani Muislam akishakuwa na itikadi kali au akianza kukata suruali tu, lazima Awe anaichukia sana Marekani.
Tatizo huwa ni nini?
Tatizo nikusapoti ushoga na usagaji tena kwalazima
Au nyie mnapenda muoane wenyewe kwa wenyewe wajinsia moja !!!??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duniani hakuna cha kumcha Mungu kiukweli ni unafiki tu na usanii ili watu watawale na ndio maana serikali zingine zinajiita eti ni za kidini wakati hamna lolote ni usanii mtupu.

Eti serikali ya kidini lakini mnataka muwe na silaha hatari za nyuklia kwa sababu kiuhalisia hamwamini kwamba Mungu anaweza kuwalinda hivyo mnatafuta njia za kidunia za kujilinda.

Mtu ana mwili wake lakini eti hana mamlaka nayo na ni watu wengine ndio wanakuamulia unavyopaswa kuusimamia mwili wako, ni upumbavu wa hali ya juu kuwahi kuonekana.

Binadamu yeyote mwenye akili timamu anajua namna gani avae na kujisitiri asitembee uchi mbele za watu wengine na si swala la kuwa na watu maalum wa kushughulikia hili suala.
Wengine kutembea uchi wanaoona ni haki yao na wanatembea...uchi ni kitu kipi na mipaka iwekwe wapi!?..Hilo ni suala la jamii husika,kwamba mungu yupo wasitafute silaha atawalinda!!..umewaza kipunguani,bila Shaka itakua msabato masalia uliyetaka kwenda ughaibuni kuhubiri injili bila kulipa nauli,pasi ya kusafiria Wala viza
 
Hivi ni kwa nini waislam wa itikadi kali mnaichukia sana Marekani?

Yaani Muislam akishakuwa na itikadi kali au akianza kukata suruali tu, lazima Awe anaichukia sana Marekani.
Tatizo huwa ni nini?
Huyo jamaa ni mkristo mkatoliki wala sio muslim.
 
Na hilo swali linaweza kugeuzwa pia akaulizwa Marekani.

“Hivi ni Kwanini Marekani anauchukia Uisilamu?”

pia

“Hivi ni kwanini Marekani nchi yoyote ile iwe ya kidini au sio ya kidini ikishaanza kuwa na uchumi mzuri tu basi atichukia? Na kuitafutia vikwazo?

Mfano wa hizo nchi ni kama CHINA, NORTH KOREA, INDIA.
Uliona wapi mfanyabiashara makini anampenda mshindani wa biashara yake?

USA is true capitalist country.
 
Serikali ya Marekani imepanga kubadili baadhi ya vikwazo iliyoiwekea nchi ya Iran ili kuwawezesha wananchi wa Iran kupata uwezo wa kukwepa mifumo ya kiudukuzi na inayozuia wananchi kuweza kupata taarifa.

Hatua hii ya Marekani imekuja kufuatia kifo cha mwanadada wa Kikurdi nchini Iran aliyefariki mikononi mwa polisi na kupelekea maandamano makubwa nchi humo na kuifanya serikali ya Iran kuzima internet nchini humo.

Mwongozo huu mpya wa Marekani unalenga kusaidia upatikanaji huru wa taarifa kwa wananchi wa Iran kupitia mifumo mbalimbali ikiwemo VPN's.
Wanafiki tu hawa mabeberu, hapo wanalenga kuchochea zaidi maandamano na machafuko.

Waondoe vikwazo vya kiuchumi kama wana nia nzuri na raia wa Uajemi.
 
Back
Top Bottom