Marekani kuhakikisha Pelosi anatua salama Taiwan

Marekani kuhakikisha Pelosi anatua salama Taiwan

HIMARS

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2012
Posts
70,791
Reaction score
98,334
Serikali ya Marekani kupitia msemaji wa Ikulu, imesema kuwa haiogopi, wala haitafuata maelekezo ya China.

Pia China haipaswi kujawa gadhabu kwa ziara ya Spika wa Bunge, kwani Marekani kjna mgawanyo wa Madaraka na Serikali haiwezi ingilia maamuzi ya Spika

Spika wa Marekani atasafiri kwa ndege ya jeshi, na jeshi la Marekani na serikali imesema itahakikisha usalama wa Nancy wakati wa kutua na kupaa, na akiwepo Taiwan.

Pia imesema kuwa inategemea China kugadhabishwa na kujaribu fanya lolote.

Imesema itaendelea kufanya mawasiliano na China ila Nancy hatazuiwa kwenda Taiwan

Je, nini kimebadilika ghafla, maana kwenye ratiba Taiwan haikuwepo, ila imekuja ghafla badala ya kwenda South Korea kutokea Singapore, ataenda kulala Taiwan.
 
Umaarufu wote wa ziara ya Pelos upo kwenye ziara ya Taiwan toka wiki kadhaa nyuma, halafu wewe unasema Taiwan haikuepo kwenye ratiba.

Huko kwingine anazuga tu ila kiini ni Taiwani.
Usikurupuke, itenary imetolewa jana Taiwan haikuwepo. Leo ndo WHouse imesema Pelosi ataenda kwa msaada wa jeshi la Marekani
 
Huku ukraine VS Russia kule nako USA&Taiwan VS CHINA and soon kinawaka Israel VS IRAN [emoji23][emoji23][emoji23].

Kwa hakika madhara mtayapata huku wanachi wa MADONGOKUINAMA afrika pale mfumuko wa bei utakapo panda na uhadimu wa bidhaa utakapokuwa kwa kasi MAAJABU HAYA.

Hapo ndipo tutapata akili za kujitegemea na hivi tunaongozwa na viongozi wapumbavu basi tujiandae kisaikolojia, yajayo hayafurahishi.

Waafrika tungekuwa na akili timamu basi tungengana kupinga sana migogoro ya hao mabwana maana watakaoumia sana ni sisi wazee wa kupokea misaada na kila aina ya takataka zao huko.

Kuna wengine humu mpka wamejipa makundi ya utetezi lkn tujue hii level ya kushangilia migogoro haikupasa tuifikie mpaka pale tutakapoweza kujitegemea.

Huko mbeleni wengi mtapoteza kazi, mtapoteza biashara zenu, mitaji yenu , Mark this yajayo hayafurahishi tujiandae tu
 
Huku ukraine VS Russia kule nako USA&Taiwan VS CHINA and soon kinawaka Israel VS IRAN [emoji23][emoji23][emoji23].

Kwa hakika madhara mtayapata huku wanachi wa MADONGOKUINAMA afrika pale mfumuko wa bei utakapo panda na uhadimu wa bidhaa utakapokuwa kwa kasi MAAJABU HAYA.

Hapo ndipo tutapata akili za kujitegemea na hivi tunaongozwa na viongozi wapumbavu basi tujiandae kisaikolojia, yajayo hayafurahishi.

Waafrika tungekuwa na akili timamu basi tungengana kupinga sana migogoro ya hao mabwana maana watakaoumia sana ni sisi wazee wa kupokea misaada na kila aina ya takataka zao huko.

Kuna wengine humu mpka wamejipa makundi ya utetezi lkn tujue hii level ya kushangilia migogoro haikupasa tuifikie mpaka pale tutakapoweza kujitegemea.

Huko mbeleni wengi mtapoteza kazi, mtapoteza biashara zenu, mitaji yenu , Mark this yajayo hayafurahishi tujiandae tu
Rudisha ada za wazazi wako.
 
Back
Top Bottom