Tetesi: Marekani Kuishambulia Iran muda wowote kutoka sasa

Tetesi: Marekani Kuishambulia Iran muda wowote kutoka sasa

Kuna hali tete ndani ya jumba jeupe na wakuu wa usalama wa Taifa la marekan CIA pamoja na Mossad wanafanya analysis za mwisho tayari kuishambuli taifa la Iran.

Taifa za siri ambazo hazijawa rasm inasemeka waziri mkuu wa Japan yupo Iran na kama tunavyojuwa leo mwli mbil za mafuta zimeshambuliwa na moja wapo ni meli ya Japan. Inasemekana toripido zilizokuwa chini ya Bahari ndio zimeleta majanga na Iran waliwahi kama kufuta ushahidi.

Hata hivyo makomando wa Marekan walipata taarifa nakuwasuta Iran as if wanatoa msaada. Ila inasemekana kuna kazi walikuwa wakifanya. Ikumbukwe kuwa Iran walisha Sema vikwazo walivyo wekewa hawato kubali waumie wenyewe.

Tayari Rais wa Marekan Amesha pewa taarifa na lolote laweza kutokea kuanzia sasa. Inasemekana wanasubiri waziri mkuu wa Japan aondoke ndipo walianzishe pia tayari mataifa rafiki ya marekan kama Saud, na Eur bila msahau Israel wamesha nyanyuwa vichwa vya nyuklia kuelekea Iran.

Tuombee dunia maana yajayo ni mazito. Na Uwenda yakapandisha bei za mafuta kwa kiwango kikubwa sana.
Kwani kimsboy anasemaje kuhusu taarifa hii?
 
Mabeberu Hao
Tutawasuluhisha Kwenye Meza Ya Duara
 
Kuna hali tete ndani ya jumba jeupe na wakuu wa usalama wa Taifa la marekan CIA pamoja na Mossad wanafanya analysis za mwisho tayari kuishambuli taifa la Iran.

Taifa za siri ambazo hazijawa rasm inasemeka waziri mkuu wa Japan yupo Iran na kama tunavyojuwa leo mwli mbil za mafuta zimeshambuliwa na moja wapo ni meli ya Japan. Inasemekana toripido zilizokuwa chini ya Bahari ndio zimeleta majanga na Iran waliwahi kama kufuta ushahidi.

Hata hivyo makomando wa Marekan walipata taarifa nakuwasuta Iran as if wanatoa msaada. Ila inasemekana kuna kazi walikuwa wakifanya. Ikumbukwe kuwa Iran walisha Sema vikwazo walivyo wekewa hawato kubali waumie wenyewe.

Tayari Rais wa Marekan Amesha pewa taarifa na lolote laweza kutokea kuanzia sasa. Inasemekana wanasubiri waziri mkuu wa Japan aondoke ndipo walianzishe pia tayari mataifa rafiki ya marekan kama Saud, na Eur bila msahau Israel wamesha nyanyuwa vichwa vya nyuklia kuelekea Iran.

Tuombee dunia maana yajayo ni mazito. Na Uwenda yakapandisha bei za mafuta kwa kiwango kikubwa sana.
Nasikia mmesomewa bajeti huko kuwa kipato kwa kila Mtanzania kimepanda[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Security council ya UN imekubali kwa resolution gani? hata hivyo trump ni nyoka wa mashineni.
 
War with Iran! Are you kidding me says Dennis Kucinich????

Published on 18 Feb 2017
Information needs to be updated, Wisdom doesn't. This statement by Dennis Kucinich dates back to December 2011. We feel his words should go viral.
Original upload:


WWlll is inevitable and is going to happen because the Irainian and Russian as wel as china has no other Choice but to seat the American on their seat. All started with USA and England invading these two country's( Iraq and Afghanistan )therefore the other country's such Russia and china and Iran have to choose to prevent them from such an aggression against poor countries there for WWlll is inevitable. Killing poor people innocent people does not make any one a hero and look at history doesn't lie. USA and its allies has been involved in every war for last Few century's and need to be stop at some point. Even if it cost to the end of the world [emoji289]

Exactly the same thing happened to Saddam Hussein is waiting to happen for Saudi Arabia by having relationship with the United estate of Mr America this is the story first they gave Saddam weapon of mass destruction latest radar system latest weapon latest strategy and the American made lots of money and they was thinking that the Saddam Hussein will win the war are very fast because he's got a very very big support and will see what's happened to the Saddam Hussein and also what happened to Iraq. Irainian and Saudi Arabia are not friend but the supreme leader has a worn Saudi Arabia that to learn the lesson from Saddam Hussein exactly the same scenario is going to happen to Saudi Arabia first they gave him weapon make lots of money and then make them fight with Iran. tSaudi Arabia don't not forget the Saudi Arabia is been blamed over the 9:11but the American need to keep quiet for now in the future soon they will bring it up to accuse Saudi Arabia over the involvement of 911 and then exactly the same thing happened to Saddam Hussein will happen to Saudi Arabia you know I know and they know it
Hope one day as human we respect every one and live to peace not attaking each other for oil and money. Lets hope we all understand it and act for peace not war.
 
Back
Top Bottom