Gavana
JF-Expert Member
- Jul 19, 2008
- 33,637
- 8,947
marekani tunapiga popote tunapotaka
Hivi kule Venezuela ni vipi ???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
marekani tunapiga popote tunapotaka
Kuna hali tete ndani ya jumba jeupe na wakuu wa usalama wa Taifa la marekan CIA pamoja na Mossad wanafanya analysis za mwisho tayari kuishambuli taifa la Iran.
Taifa za siri ambazo hazijawa rasm inasemeka waziri mkuu wa Japan yupo Iran na kama tunavyojuwa leo mwli mbil za mafuta zimeshambuliwa na moja wapo ni meli ya Japan. Inasemekana toripido zilizokuwa chini ya Bahari ndio zimeleta majanga na Iran waliwahi kama kufuta ushahidi.
Hata hivyo makomando wa Marekan walipata taarifa nakuwasuta Iran as if wanatoa msaada. Ila inasemekana kuna kazi walikuwa wakifanya. Ikumbukwe kuwa Iran walisha Sema vikwazo walivyo wekewa hawato kubali waumie wenyewe.
Tayari Rais wa Marekan Amesha pewa taarifa na lolote laweza kutokea kuanzia sasa. Inasemekana wanasubiri waziri mkuu wa Japan aondoke ndipo walianzishe pia tayari mataifa rafiki ya marekan kama Saud, na Eur bila msahau Israel wamesha nyanyuwa vichwa vya nyuklia kuelekea Iran.
Tuombee dunia maana yajayo ni mazito. Na Uwenda yakapandisha bei za mafuta kwa kiwango kikubwa sana.
Iran it's being built Atomic boom.. Ages and no any Western media's would allow to tells this..But aside from the wall, the fear of what the USA is willing to do (nuke Iran) would put EVERYONE on notice... It may have taken years, but they don't https://jamii.app/JFUserGuide around ANY MORE... Iran it's not Libya Syria, Iraq or AfghanistanSidhani kama US ana mpango wa kuishambulia Iran. Nadhani alipata funzo kubwa kupitia Iraq. So si rahisi kuanzia vita nyingine tena hapo Middle East
Chaves tushamalizana nae. bado Maduro.Hivi kule Venezuela ni vipi ???
Wajaribu kuishambulia Ndio watamjua urusi ni nani.
Ndiyo akili za vijana wengi jfUrusi hana ubavu mbele ya USA/// Urusi ni ka-nchi kadogo kanategemea vimauzo vya silaha zake but all in all hawez kushindana na USA na washirika wake
Ndiyo akili za vijana wengi jf
Humu jamvini kuna mambo kweli 😀Jf bwana raha sana jamaa alivyoandika utadhani yupo white house au ni agent wa CIA ...
Shame on you wewe umekuja na nn??Uje na forecasted war comprehensive analysis mkuu,siyo unaponda tu bila vigezo,poor on you
Shame on you wewe umekuja na nn??
https://jamii.app/JFUserGuide uRest in peace
Vipi Libya alikuwa mshirika wa Urusi,alisaidiwa?Ikitokea vita Urusi atamsapoti Iran ata kisiri siri coz Urusi na US hajawahi kuwa pamoja tokea vita ya 2 ya Dunia, wanaupinzani mkubwa sana
Walijaribugi mwaka wa 78 wakaumbuliwa vibaya sana.Kuna hali tete ndani ya jumba jeupe na wakuu wa usalama wa Taifa la marekan CIA pamoja na Mossad wanafanya analysis za mwisho tayari kuishambuli taifa la Iran.
Taifa za siri ambazo hazijawa rasm inasemeka waziri mkuu wa Japan yupo Iran na kama tunavyojuwa leo mwli mbil za mafuta zimeshambuliwa na moja wapo ni meli ya Japan. Inasemekana toripido zilizokuwa chini ya Bahari ndio zimeleta majanga na Iran waliwahi kama kufuta ushahidi.
Hata hivyo makomando wa Marekan walipata taarifa nakuwasuta Iran as if wanatoa msaada. Ila inasemekana kuna kazi walikuwa wakifanya. Ikumbukwe kuwa Iran walisha Sema vikwazo walivyo wekewa hawato kubali waumie wenyewe.
Tayari Rais wa Marekan Amesha pewa taarifa na lolote laweza kutokea kuanzia sasa. Inasemekana wanasubiri waziri mkuu wa Japan aondoke ndipo walianzishe pia tayari mataifa rafiki ya marekan kama Saud, na Eur bila msahau Israel wamesha nyanyuwa vichwa vya nyuklia kuelekea Iran.
Tuombee dunia maana yajayo ni mazito. Na Uwenda yakapandisha bei za mafuta kwa kiwango kikubwa sana.
Naskia tramp anataka mazungumzo na ayatollah sasa baada ya vita [emoji1787][emoji1787]Vipi Libya alikuwa mshirika wa Urusi,alisaidiwa?