Anapeleka bure au anaenda kupiga pesaKuupanda mchongoma kushuka ndio ngoma
Rais Biden wa Marekani anajadiliana na kufikia makubaliano namna USA itavyowapelekea Ulaya cubic meters 15 bil za gesi asilia kufidia pengo lililojitokeza baada ya kuiwekea vikwazo Russia.
Source: BBC
Aisee wewe mbona muongo Sana?Russia anagesi nyingi mpaka ya kumwaga
Sio the rise of Russia? Maana mlituambia baada hii Vita Russia ndio atakuwa Supapawa badala ya Marekani.The Rise of CHINA
RUSSIA sio ZIMBABWE
Meaning hata wakichukua the extreme route"Hata kwa kumwaga damu "
Damu ya nani?
Hata sushi tuliambiwa ni matajiri sanaAisee warussi ni Matajiri Sana.View attachment 2165426View attachment 2165427
Kwani trump alipokuwa anataka kujenga ukuta mexico ilikuwa kwenye plan ya nchi??Uko sahihi somo la long term planning linafundishwa kila chuo hata kama cha kata Tanazania kiwe cha diploma au degree.Mimi huwa nashangaa mtu akisema elimu yetu iko chini sidhani.Kaulize hata mtu aliyesoma chuo cha kata na aliyepata low class anajua long term planning ni kitu gani atakueleza vizuri kwa ufasaha hasa!!
Cha ajabu ni USA pekee ndio huwa serious kwenye issue ya long term plans na implementation.Sisi kila siku long term plans hubadilika inategemea Raisi gani au bosi gani yuko madarakani kwa wakati huo!! Kuna succession plan ya kupokezana uongozi sio long term plans za nchi.Marekani wana zote succession plan za uongozi na long term plans na wako serious nazo
Hao wanaakiba yakutosha yakila kitu hebu wafatilie America vizuri unavoambiwa ni Kaka wa dunia ndohivyo ukubwa wa Dolla ndohuowanazitolea wapi basi kumiliki vyombo vya habari tutadanganywa mpaka tukome,
Wingereza ilivyo collapse wale wazungu waliokua british ndio hao walio marekani ndio maana jambo la marekani na Uk huwa ni moja.
wanaonyesha russia c kitu ila toka kitambo russia anajitosheleza kwa kila kitu hana shida hata ya kufanya exploitation au kushawishi mataifa yawe upande wake kama marekani.
Wewe ndio huelewi. Tofautisha RESERVE (Akiba) na PRODUCTION.Aisee wewe mbona muongo Sana?Russia anagesi nyingi mpaka ya kumwagaView attachment 2165419
USA ndio number one producer wa natural gas duniani, anaproduce 90bill cubic feet per day. So kamtoa Urusi kwenye soko la ulaya kikuda maana ushindani na urusi ulimshinda kutokana na geographical location. Ila kwa sasa ulaya itatengeneza miundombinu ya kutegemea gas ya USAwanazitolea wapi basi kumiliki vyombo vya habari tutadanganywa mpaka tukome,
Wingereza ilivyo collapse wale wazungu waliokua british ndio hao walio marekani ndio maana jambo la marekani na Uk huwa ni moja.
wanaonyesha russia c kitu ila toka kitambo russia anajitosheleza kwa kila kitu hana shida hata ya kufanya exploitation au kushawishi mataifa yawe upande wake kama marekani.
Todautisha kati ya uzalishaji na reserve? Hata Tanzania tuna reserve kubwa ya gas pale mtwara, tuna uzalishaji gani?We jamaa mbona muongo Sana?View attachment 2165415
Unaakili timamu kwel we? Unaamin Google ya Mmarekan kuliko uhalisia!!!Marekani ndio nchi inayoongoza duniani kwa uzalishaji wa gesi Ikifuatiwa na Urusi
Hata ku Google umeshindwa kabla kubishia
Google ni search engine tu Haina takwimu inakupeleka tu kuliko na takwimuUnaakili timamu kwel we? Unaamin Google ya Mmarekan kuliko uhalisia!!!