ASIWAJU
JF-Expert Member
- Nov 18, 2022
- 1,938
- 1,632
Jenerali wa jeshi la anga la Marekani Bw. Mike Minihan ameliandikia ujumbe jeshi la Marekani kuwa tayari kwa ajili ya kupambana na China mwaka 2025.
Vyanzo vya habari:
Swali kutoka kwa lieutenant katika jeshi la marekani hili hapa :
Maswali yangu:
1. Ipi ni athari kubwa ya ujumbe wa jenerali huyu kwa Marekani na China?
2. Yapi ni matokeo ya ujumbe huu katika siasa za kimataifa kati ya China na Marekani?
3. Je tutegemee kuona mgogoro mkubwa katika Indo- Pasific?
Karibuni kwa maoni yenu na maswali ya ziada.
Vyanzo vya habari:
Swali kutoka kwa lieutenant katika jeshi la marekani hili hapa :
Maswali yangu:
1. Ipi ni athari kubwa ya ujumbe wa jenerali huyu kwa Marekani na China?
2. Yapi ni matokeo ya ujumbe huu katika siasa za kimataifa kati ya China na Marekani?
3. Je tutegemee kuona mgogoro mkubwa katika Indo- Pasific?
Karibuni kwa maoni yenu na maswali ya ziada.