SI KWELI Marekani na DRC wakubaliana katika mikataba ya madini adimu na ulinzi

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Siasa za wazungu ukiwa bwege utadhani unawaelewa hao rebels miaka yote UN ikisema warudi nyuma huwa wanarudi but this time wanajitia uziwi. Tshekedi amejifanya mzungu kasoro rangi matokeo yake amekula matapishi yake. Alishakataa kusilikilza AU and the like, mzungu kamwambia azingatie mazungumzo ya AU na EAC kuleta amani congo 🇨🇩. Alivyo mwehu ametoa shukrani kwa watu 2 tuu tena huyo mmoja kinafki. Ngoja tuone upepo unatavuma kwenda wapi
 
Akina Sultani Mang'ung'o kumbe bado wapo hadi karne hii! shame to you Tshekedi!
 
Sasa Kama ndo hivo; huyo Tshisekedi anakwama au nini kilimfanya hata akaifikisha nchi hapo ilipo?
Most probably, Tshisekedi is the causal agent. Lakini sasa; kwa lengo la kuiarrest situation, bora amuite Marekani japokuwa ni kwa gharama kubwa sana. Na kama kichwa chake huyo Tshiseked kipo vizuri, atumie muda huo marekani anaposomba madini, kuondoa hiyo sumu ya ubaguzi aliyoipanda huko mashariki mwa DRC. Atahitaji wadau (stakeholders) wengi na tofauti kuifanya kazi hiyo.Akibugi tena hapo baas, ni bora akae pembeni ampishe mwenye kuimudu DRC.
 
Wameanza kwanza kumkatia misaada ili apate njaa
Yep. Akipata njaa; akili itafanya kazi ya ziada kutafuta ugali badala ya silaha, umaarufu/ubabe na madini. Akikaza fuvu wanaondoa meza na kiti alichokalia halafu yy wanamhifadhi mahali na maisha yanaendelea.
 
Mwelekeo wa upepo unavuma kwa kasi kubwa dhidi yake. Ww huoni anavyotapatapa? Ila mr. Tolu hatokuwa salama pia.
 
Unampa marekani madini wewe unapewa vifaa vya ulinzi

ALIETULOGA WAAFRICA AISEE
Ivyo vifaa vya ulinzi unavyovikashivu vinauzwa trillion za pesa na endapo unakua na vifaa sahihi bas vita kuishinda na kurejesha amani kwa wananchi itakua rahis

Tunapenda sana kuponda na kukandia sabu hatujui reality ya vita na atujawai shuhudia vita
Iv ayo madini yanafaida gan kama huwezi kuyachimba ayo madini yanafaida gan km huwezi kuyatumia kukuletea amani, Amani ni muhimu
Sana na endapo amani itapatikana bas watachimba madini ili kijenga nchi yao

Waswahili wanasema chako ndo kitakacho kuokoa
 
Yep. Akipata njaa; akili itafanya kazi ya ziada kutafuta ugali badala ya silaha, umaarufu/ubabe na madini. Akikaza fuvu wanaondoa meza na kiti alichokalia halafu yy wanamhifadhi mahali na maisha yanaendelea.
Kabisa,atatia akili
 
Ila MAREKANI bana tayari kashamuingiza Congo geto kiulaini
 
Mkuu sikupingi uko sahihi

Kinachotatikana ni amani na ustawi wa jamii ili maendeleo mengine yaendelee

RISASI NA MAENDELEO havijawahi kwenda sambamba
 
KWELI KWELI KAZI KUBWA IPO
 
Sasa hapo ungekuwa wewe ndo Rais wa DRC ungefanya Nini?
 
inawezekana, hatujaamua tu
 
Ulinzi binafsi WA madaraka, the same way as Kabila jr did.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…