SI KWELI Marekani na DRC wakubaliana katika mikataba ya madini adimu na ulinzi

SI KWELI Marekani na DRC wakubaliana katika mikataba ya madini adimu na ulinzi

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Serikali ya Marekani na DRC wamekubaliana kwamba marekani itaruhusiwa kuchimba madini adimu maeneo ya mashariki ya DRC wakati huo Marekani itatoa vifaa vya ulinzi, tekinolojia ya kijeshi kwa jeshi la DRC .

aidha pia kulinda maeneo ya kimkakati ndani ya DRC.

Hayo yamejiri baada ya Rais wa DRC Felix Etiene Tshisekedi wa Mulumba kukutana na maafisa wa Marekani na kuwekeana mikataba kadhaa ya ushirikiano sambamba na kuwaondoa waasi wote ndani ya DRC.

IMG-20250306-WA0008.jpg
 
Tunachokijua
Kwa sasa, Marekani na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) bado hawajasaini makubaliano mapya rasmi kuhusu madini. Hata hivyo, kuna mazungumzo yanayoendelea kati ya pande hizo mbili kuhusu uwezekano wa mpango wa kubadilishana madini kwa msaada wa kiusalama.

Mpango huu uliopendekezwa unahusisha mashirika ya Marekani kupewa haki za uchimbaji na usafirishaji wa madini muhimu, huku Marekani ikitoa msaada wa kiusalama, mafunzo, na vifaa vya kijeshi kwa jeshi la DRC. Hata hivyo, mazungumzo haya bado yapo katika hatua za awali, na hakuna mkataba rasmi uliosainiwa.

Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imethibitisha kuwa wako wazi kwa kushirikiana na DRC ili kuhakikisha maendeleo ya rasilimali zake za madini kwa njia inayowajibika na yenye uwazi.

Kwa hivyo, ingawa mazungumzo yanaendelea, hakuna mkataba rasmi kati ya Marekani na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kuhusu uchimbaji wa madini na msaada wa kiusalama kwa sasa.
Waafrika tukiamua tunaweza ila ndio hivyo sasa
Trump akiwaita “ Shithole countries “ mnakasirika ! Yako wapi sasa? Waafrika wameshindwa kutatua matatizo yao wenyewe mpaka marekani aje kusuluhisha kwa ujira wa madini anavyotaka yeye! Halafu anawauzia silaha muuwane wenyewe kwa wenyewe! What a curse!
I pray that M23 should match all the way to Kinshasa and topple Tshekedi na hizo silaha zikija wazichukue .
Wakifanikiwa kufanya hivyo huo mkataba na marekani utakuwa batili
 
Bwana Mulumba kalamba galasa zito sana pale. Hiyo vita haitakaa iishe mpaka pale marekani watakapojaza akiba ya madini hayo huko kwao. Wamefanya mambo haya kwingi tuu duniani. Kwa kufanya hivyo, DRC imekaribisha mauaji ya kikatili zaidi kutokea na makundi mengine hata ya kigaidi sasa yataibuka pale. Sisi majirani tujipange na uharibifu huu kwa jirani.
Mkuu; Usiogope kupita kiasi. Sisi cha kufanya hapo ni kuchukua Tahadhari. Hali ya huko haijachukua mrengo wa Itikadi za Kidini bali ni kikabila na Tayari yapo makundi zaidi ya 120. Kwa mantiki hiyo sio rahisi yakajitokeza makundi ya kigaidi esp. yale yenye usumbufu wa kugombania nafasi za peponi.
 
Hayo madini anayaiba Kagame kwa muda mrefu sasa, na ndio yanatumika kama fimbo ya kuwapiga wazaire.
Kumpa Marekani ina maana kumkimbiza Kagame kutoka kwenye hayo madini.
Maana nyingine Kagame amenyang'anywa uwezo wa kuuwafadhili M23.
Kule x watutsi wanalalamika sana issue ya mmarekani kupewa east congo
 
Trump akiwaita “ Shithole countries “ mnakasirika ! Yako wapi sasa? Waafrika wameshindwa kutatua matatizo yao wenyewe mpaka marekani aje kusuluhisha kwa ujira wa madini anavyotaka yeye! Halafu anawauzia silaha muuwane wenyewe kwa wenyewe! What a curse!
I pray that M23 should match all the way to Kinshasa and topple Tshekedi na hizo silaha zikija wazichukue .
Wakifanikiwa kufanya hivyo huo mkataba na marekani utakuwa batili
Siiafiki hoja hii kwa sababu M23 ni kundi mojawapo tu kati ya makundi yaliyopo na yenye silaha yanayopigana na dhidi ya Utawala wa Congo DRC. Hilo linamaanisha kwamba siku Utawala wa DRC ukianguka kitakachoendelea ni makundi hayo kutunishiana misuli - nani mbabe, nani amiliki wapi etc. Kwa hiyo wakati huo ndo kuuana kutakuwa ni "Order of the day". Hiyo ni mbaya zaidi ya hiki kinachoiendelea kwa sasa. Bora Trump afanye hiyo kazi ya Ulinzi japokuwa malipo yamekuwa ni ya juu sana.
 
Unampa marekani madini wewe unapewa vifaa vya ulinzi

ALIETULOGA WAAFRICA AISEE
Hayo madini ya Congo yameanza kuibiwa zamani ni kampuni za huko huko marekani (Apple) na M23 ndio waliokuwa wanagawa hayo madini na kupewa silaha kumshambulia Tikshedi DRC kuondoka madarakani. Sasa ni vile madini yao yataendela kuondoka kwa mtindo mwengine ambao utambakisha madarakani Tikishedi.
 
Wamarekani wamemuhakikishia kwamba watailinda Congo milele? Au alindwe yeye tu kipindi Cha uongozi wake then akitoka ngoma ibaki pale pale? Alichokifanya sio njia ya kutatua mgogoro wa hapo Congo bali ni ujinga mtupu.

Congo haijapata kiongozi mwenye uchungu na nchi yake, That' why sijaona kiongozi mwenye lengo la kutafuta ufumbuzi wa kudumu wa migogoro Kila anae ingia ikulu anatafuta namna ya kujilinda binafsi
Huu ni mpango wa muda mfupi kukabiliana na Rwanda. Baada ya hapa upo mpango wa muda mrefu kuunda jeshi lenye nidhamu na malipo stahiki lakini kwamba sasa tayari wameshajifunza kutokana na makosa mengine yataendelea kurekebishwa.
Wamarekani wamemuhakikishia kwamba watailinda Congo milele? Au alindwe yeye tu kipindi Cha uongozi wake then akitoka ngoma ibaki pale pale? Alichokifanya sio njia ya kutatua mgogoro wa hapo Congo bali ni ujinga mtupu.

Congo haijapata kiongozi mwenye uchungu na nchi yake, That' why sijaona kiongozi mwenye lengo la kutafuta ufumbuzi wa kudumu wa migogoro Kila anae ingia ikulu anatafuta namna ya kujilinda binafsi
 
Nakubaliana na wewe kwamba kuna kitu hakipo sawa kwenye ubongo wetu watu weusi. Yule wa Bukinafaso was more worse, walau kajitambua but je ataishi muda mrefu yule kweli? I doubt, watu weusi wanaweza kumsariti afe kama walivo kufa wapigania uhuru kina Kwame Nkuruma, Patrice Lumumba, nk.
Huyo Traore ajikite katika kujenga taasisi imara na si kujiimarisha kimadaraka.
 
Bwana Mulumba kalamba galasa zito sana pale. Hiyo vita haitakaa iishe mpaka pale marekani watakapojaza akiba ya madini hayo huko kwao. Wamefanya mambo haya kwingi tuu duniani. Kwa kufanya hivyo, DRC imekaribisha mauaji ya kikatili zaidi kutokea na makundi mengine hata ya kigaidi sasa yataibuka pale. Sisi majirani tujipange na uharibifu huu kwa jirani.
Wewe! Huu ni uamuzi sahihi kwa wakati sahihi. Kwani toka madini hayo yawepo zaidi ya vifo vingi kwa wakongo na wizi kwa Rwanda imewafaidisha nini wakongo. Kwa sasa amani kwanza mengine baadae. Kama ndivyo inavyosema kumbe yupo sahihi maana kuna msemo " mpe mchawi mwanao amlee" kwamba kwa kuwa madini yatakuwa mikononi mwake manyang'au mengine kama m23 na Kagame hayatosogea kuharibu maslahi ya USA na kuendelea kuwepo kwa amani kwa wakongo
 
Ameamua hasa na kuufutilia mbali mkataba wa Lemela ulitaka kuwatambua watusi na kuwpa nafasi za ajira nyeti ingawa alichelewa lakini walioingia wanakiona cha mtema kumi nl hasa familia zao
Naomba a deal nayo vibaya sana hayo majitu yenye pua na shingo ndefu. Sijui yanajikutana ni akina nani tu?
 
Back
Top Bottom