SI KWELI Marekani na DRC wakubaliana katika mikataba ya madini adimu na ulinzi

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
M23 ipi au hii ya Rwanda inayoongozwa na viongozi wa jeshi la Rwanda walimweka kibaraka na msaliti wa wakongo Nanga kama walivyo muweka rais kivuli Kabila senior na baadae wakamgeuka na kumuua? Au Hadaa ipi unayo taka kusema.
 
Acha kulalama M23 ni wanyarwanda walio watangulize vibaraka na wasaliti wa congo akina Nanga na baada ya hapo huyo Nanga atauliwa kama Kabila tu.
 
Yaani Trump lazima ajione mwamba wa dunia hii, kichwa hicho!
 
Hiyo inaitwa tukose wote.
DRC watakosa madini.
Rwanda watakosa madini.
Marekani watapata madini, DRC watapata amani pengine na maendeleo kidogo.
DRC watakosa madini Gani!?
 
Maafisa tu Tshisekedi chalii, je angekutana Rubio!! afu watu wanamchukulia poa zelensky ambaye aliwekwa mtu kati na trump plus makamu wake.
 
Japo USA naye siyo wa kumwamini, angalau hao wahuni waliojazana Mashariki mwa DRC watatulia.
 
Bila shaka hii taarifa kwa Watusi na Joseph Kabila si habari njema kwao.
 
Tena amna ata baruti inayopigwa sembuse huko watu wanauwawa bora amani . Pale Afghanistan alipokuwepo Mmarekani watu walienjoy wasichana wakaenda shule maisha yakawa na ustawi alipoondoka kukawa giza tena sasa bora kipi
Yaan....Mimi nilishasema Nyerere alikosea kuwatoa wazungu mapema Tanganyika
 
Acha kulalama M23 ni wanyarwanda walio watangulize vibaraka na wasaliti wa congo akina Nanga na baada ya hapo huyo Nanga atauliwa kama Kabila tu.
Hiyo ni better option kuliko kuwaleta marekani kuja kutawala uchumi wa Congo! M23 ni wacongo wenye asili ya Kitutsi hivyo they are fighting for their country!
 
Hiyo ni better option kuliko kuwaleta marekani kuja kutawala uchumi wa Congo! M23 ni wacongo wenye asili ya Kitutsi hivyo they are fighting for their country!
Nyie watutsi huwa hamna akili.

Au mnadhani watu ni wajinga sana hawafahamu ukweli halisi?
 
Hayo madini anayaiba Kagame kwa muda mrefu sasa, na ndio yanatumika kama fimbo ya kuwapiga wazaire.
Kumpa Marekani ina maana kumkimbiza Kagame kutoka kwenye hayo madini.
Maana nyingine Kagame amenyang'anywa uwezo wa kuuwafadhili M23.
Kwani huyo kagame hayo madini si alikuwa anawapelekea hao hao wazungu? Inaonekana kagame alikuwa mjanja kwa kuwapunja mgawo wazungu, hivyo wameamua kuyafuata wenyewe mgodini. Na hapa ndio itakuwa mwisho wa kiburi cha kagame kudharau nchi zote za ukanda wake kwa kuwa alikuwa analindwa na wazungu hao
 
Amefanya jambo jema. Sasa Kagame na magenge yake wakatafute nchi nyingine ya kuvamia na kupora madini.
 
Vita na mapigano mengi Africa ni Kwa sababu ya raslimali zilizopo. Kama DRC isingekuwa na hayo madini inawezekana kusingekua na vita. Hivyo vita vinaanzishwa Ili watu wabebe raslimali Kwa gharama nafuu. Cha ajabu wamarekani wanaweza kubeba madini na vita isiishe
 
Amefanya jambo jema. Sasa Kagame na magenge yake wakatafute nchi nyingine ya kuvamia na kupora madini.
Huyo rwanda mwenyewe nyuma yake yupo marekani na ndie kamtuma kuidhoofisha dr congo ili apate mwanya wakuchota madini kiurahisi, UN na mabeberu kama wangeamua kweli kuipiga pin rwanda kiuchumi kagame asingekua nakiburi kile na angeishasarenda kitambo!
 
Unampa marekani madini wewe unapewa vifaa vya ulinzi

ALIETULOGA WAAFRICA AISEE
Hana namna, anatafuta kutawala Congo kwa amani na yeye apate mkate. M23 unawajua ni akina nani? Hadi Ufaransa ni M23, ukiachilia mbali akina Kagame.

Hapo bila kuomba msaada asingefika mbali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…