Gwappo Mwakatobe
JF-Expert Member
- Nov 22, 2019
- 1,730
- 2,230
⁉️⁉️😭Wapelekwe mbeya huko tukuyu na mwakaleli wakaishi na wanyakyusa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
⁉️⁉️😭Wapelekwe mbeya huko tukuyu na mwakaleli wakaishi na wanyakyusa
Nchi za kiislamu hawawataki kabisa wapalestinaWapelekwe nchi za Kiislamu
UpuuziKulingana na gazeti la Financial Times, inasemekana Marekani na Israel wamewasiliana na viongozi wa Afrika Mashariki kuomba kuwahamishia Afrika Mashariki Wapalestina wote waishio Gaza.
View attachment 3270673
Wapelekwe Afrika ya Kati mjini Bangui.Somalia, somaliland na sudan wakiwakataa wapelekwe congo mashariki jimbo la kivu kusuni na kivu kaskazini wakaishi na banyamulenge huko
Kha! Tayari ishara ya wazi kwamba tunaenda kusogezewa HUSDA, CHUKI na UGAIDI katika maeneo yetu na AMANI tuliyoizoea sasa ndo basi tena inaenda kuyeyuka kama mshumaa.Kulingana na gazeti la Financial Times, inasemekana Marekani na Israel wamewasiliana na viongozi wa Afrika Mashariki kuomba kuwahamishia Afrika Mashariki Wapalestina wote waishio Gaza.
View attachment 3270673
Waislamu hawawataki Waislamu wenzao 😂Nchi za kiislamu hawawataki kabisa wapalestina
Ukiwakubali tu jiandae ugaidi.kulipuka nchini kwako
Waarabu wenzao tu hawawataki
La hasha. Unaangalia na kuchukua Tahadhari ya ni nani unayeishi naye. Usibweteke kwamba zama hizi unaishi na yeyote e.g. Hata Jambazi? Mbona watu walihamishwa Ngorongoro ikawa Nongwa ilhali ni ndani ya nchi moja na sote tunaongea lugha moja?Zama hizi unaishi na yeyote acha ushamba
Miaka 10 tu, wataanza mapigano ya kumuua Rais wa Tanzania... Wapalestina kila walipokaribishwa wamewahi kufanya mpango wa kumuua Kiongozi mkuu... Ndio maana Jordan, Misri, Syria na Lebanon hawawataki kabisaKwa masharti haya
Waje wao tu utamaduni wao wauache huko huko.
Na wote wakubali kuwa wamasai au lah basi wawe wa Adzabe.
Kwa sasa wameanzisha timbwili linaloendelea huko Ujerumani. Ujerumani ilifanya kosa la kuwakaribisha eti ni Ubinadamu - kumbe hapo walichemka. Sasa wamegeuka na kuanzisha vurugu na madai yao yale-yale eti wanaonewa, wanabaguliwa, wananyimwa haki zao, na blaa blaaa nyingi. Ndo Kobaaz hao katika ubora wao.Miaka 10 tu, wataanza mapigano ya kumuua Rais wa Tanzania... Wapalestina kila walipokaribishwa wamewahi kufanya mpango wa kumuua Kiongozi mkuu... Ndio maana Jordan, Misri, Syria na Lebanon hawawataki kabisa
Mtaa wa Palestina sio...Wapeni Sinza yao.
,baada ya miaka kadhaa nchi za Africa mashariki zote zinakua chini ya waarabu na waislamu kama sudani,ujawajua waarabu weweWakija wakubali kuchanganyikana na wazawa, mabinti zao waolewe na wenyeji na wao waoe mabinti wa kienyeji na wajue huku hakuna udini na ukabila
sasa kama waarabu wenzao hawawataki, sisi waafrika tutawatakaje na tabia zao za kujilipua?Nchi za kiislamu hawawataki kabisa wapalestina
Ukiwakubali tu jiandae ugaidi.kulipuka nchini kwako
Waarabu wenzao tu hawawataki
hiyo sudan inayotakwa kupokea wapalestina hao ni ipi, ni hii ya wale majenerali wawili wanaonyukana au ya salva kiir?Iran iko mstari wa mbele kuwasaidia HAMAS kwanini isiwachukue wakaishi huko.
Na kwanini waarabu waje afrika wasiende nchi za kiarabu?
Hawaoni kinachotokea SUDAN, waarabu hawataki waafrika, wanataka Sudan iwe mali yao pekeyao.
Waarabu jirani zao Misri waarabu na waislamu wenzao vita ilipolipuka kati ya Palestina na Israel waluamua kujenga ukuta kabisa kudhibiti asitokee mpalestina hata mmoja wa kukimbilia Misri kuwa wapambane na hali yao huko huko Palestina hata wakifa sawa tu lakini marufuku kuingia kwa waarabu wenzao misrisasa kama waarabu wenzao hawawataki, sisi waafrika tutawatakaje na tabia zao za kujilipua?