zous
JF-Expert Member
- Sep 25, 2017
- 3,152
- 5,854
Nashangaa wabongo wengine hawataki wageni
Waje tuishi nao tu yote maisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waje tuishi nao tu yote maisha
Waje mabinti tKulingana na gazeti la Financial Times, inasemekana Marekani na Israel wamewasiliana na viongozi wa Afrika Mashariki kuomba kuwahamishia Afrika Mashariki Wapalestina wote waishio Gaza.
View attachment 3270673
sinza palestina, mbona watafurahi? Ila ni ndogo haitawatoshaWawambie kabisaa kuna nchi moja huku east afrika tayar ina eneo lao kabisaa linaitwa palestina. Wala wasiwe na tabu
We siye wazinza hatuna tabia ya kujitoa muhanga, na wengi wetu siyo wafuasi wa dini ya Munyaazi-mungu. Wapelekwe mafia.Tuwapeleke sengerema huko wakaishi na wazinza
Alooo msemo wa zamani sana huu abazinza twimanyeWe siye wazinza hatuna tabia ya kujitoa muhanga, na wengi wetu siyo wafuasi wa dini ya Munyaazi-mungu. Wapelekwe mafia.
Abhazinza tulibhache twimanye
Wakija wakubali kuchanganyikana na wazawa, mabinti zao waolewe na wenyeji na wao waoe mabinti wa kienyeji na wajue huku hakuna udini na ukabila
Wapelekwe Mwanza au shinyanga wajifunze kulima Kwa kutumia ng'ombe.Kulingana na gazeti la Financial Times, inasemekana Marekani na Israel wamewasiliana na viongozi wa Afrika Mashariki kuomba kuwahamishia Afrika Mashariki Wapalestina wote waishio Gaza.
View attachment 3270673
hao ni janjaweed wa baadae , tunzeni comment hii , waarab watawatumia hao kujitanua kuelekea kusini mwa afrikaKulingana na gazeti la Financial Times, inasemekana Marekani na Israel wamewasiliana na viongozi wa Afrika Mashariki kuomba kuwahamishia Afrika Mashariki Wapalestina wote waishio Gaza.
View attachment 3270673
Hakuna mtu atawapokea hao wenye roho za kikatili hivyo. Mnataka mlete Magaidi kwetu?Kulingana na gazeti la Financial Times, inasemekana Marekani na Israel wamewasiliana na viongozi wa Afrika Mashariki kuomba kuwahamishia Afrika Mashariki Wapalestina wote waishio Gaza.
View attachment 3270673
Waje. Tz tuna mapori mengi kule msomera. Ila kila familia ipewe lc 300 mupyaaa. Na dola 10,000/mwezi ya mafutaMzee wa Mawigi ana mambo, yaani anataka awapeleke kwa watukutu wenzio wanaovaa vipedo na kobazi.
The United States and Israel have discussed with three East African governments the forced displacement of Palestinians from Gaza to Sudan, Somalia and its breakaway region of Somaliland, according to US and Israeli officials quoted by The Associated Press news agency.
Friday’s report said officials from Sudan claimed to have rejected overtures from the US, while officials from Somalia and Somaliland told AP they were unaware of any contacts.