Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo sasasasa kama waarabu wenzao hawawataki, sisi waafrika tutawatakaje na tabia zao za kujilipua?
Watu wa kujilipulipua na mabomu hatuwataki kwetu. Kwanza kwanini wao wawahamishe kwenye eneo walowakuta?Kulingana na gazeti la Financial Times, inasemekana Marekani na Israel wamewasiliana na viongozi wa Afrika Mashariki kuomba kuwahamishia Afrika Mashariki Wapalestina wote waishio Gaza.
View attachment 3270673
Trump angekomaa na Iran iwapokee wapalestina hao inaowasaidia kufanya ugaidi. Sasa kupeleka mzigo huo Afrika huko ni kupeleka matatizo hukoIran iko mstari wa mbele kuwasaidia HAMAS kwanini isiwachukue wakaishi huko.
Na kwanini waarabu waje afrika wasiende nchi za kiarabu?
Hawaoni kinachotokea SUDAN, waarabu hawataki waafrika, wanataka Sudan iwe mali yao pekeyao.
kule noma watakimbilia mpakani mwa CAR na CHAD na kukipa nguvu kile kikundi kinachoisumbua Chad, Niger, Mali na Burkina FasoWapelekwe Afrika ya Kati mjini Bangui.
Trump alishabadili gia angani jana kakanusha anasema wataendelea kubaki gazaKulingana na gazeti la Financial Times, inasemekana Marekani na Israel wamewasiliana na viongozi wa Afrika Mashariki kuomba kuwahamishia Afrika Mashariki Wapalestina wote waishio Gaza.
View attachment 3270673
Mama ni soft sana likija jambo la Waarabu siwezi kushangaa akiwaleta Msomera.Waje. Tz tuna mapori mengi kule msomera. Ila kila familia ipewe lc 300 mupyaaa. Na dola 10,000/mwezi ya mafuta
Una hojanzuriWapewe kigamboni na izo nchi za kiarabu ziijenge tz kama walivotka kuijenga gaza
Hakika,wahakikishe wananguvu tu za kiume...la sivyo hatutakiWapelekwe mbeya huko tukuyu na mwakaleli wakaishi na wanyakyusa
Kama Marekani anasema yuko tayari kuwapokea wakulima wa kizungu wa S.A wanaotaka kuhamia Marekani, basi awachukue na wachina.Kulingana na gazeti la Financial Times, inasemekana Marekani na Israel wamewasiliana na viongozi wa Afrika Mashariki kuomba kuwahamishia Afrika Mashariki Wapalestina wote waishio Gaza.
View attachment 3270673
Umewaza kingono zaidiWakija wakubali kuchanganyikana na wazawa, mabinti zao waolewe na wenyeji na wao waoe mabinti wa kienyeji na wajue huku hakuna udini na ukabila
Duh! Bibie mbona upo speed sana. Punguza kidogoHakika,wahakikishe wananguvu tu za kiume...la sivyo hatutaki
Ni madhara makubwa kuzaa na binti/mwanamke wa kipalestina. Watoto wote wanakuwa magaidi.Wakija wakubali kuchanganyikana na wazawa, mabinti zao waolewe na wenyeji na wao waoe mabinti wa kienyeji na wajue huku hakuna udini na ukabila
🤣🤣🤣🤭Duh! Bibie mbona upo speed sana. Punguza kidogo
Watuletee Tuwasaidie hao Ni ndugu zetu ktk ImaniKulingana na gazeti la Financial Times, inasemekana Marekani na Israel wamewasiliana na viongozi wa Afrika Mashariki kuomba kuwahamishia Afrika Mashariki Wapalestina wote waishio Gaza.
View attachment 3270673