Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Wakatafute kwao vizuri hapo siyo kwao ni kwa wapalestina.Waliotoka Ulaya walifukuzwa na Warumi na kuzagaa Ulaya na sasa wamerejea kwao na ushahidi uko kwenye vitabu vyote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakatafute kwao vizuri hapo siyo kwao ni kwa wapalestina.Waliotoka Ulaya walifukuzwa na Warumi na kuzagaa Ulaya na sasa wamerejea kwao na ushahidi uko kwenye vitabu vyote.
Waisrael waliingia Palestina kwa staili hiyohiyo wanayotaka kuitumia Marekani kwasasa, waliingia kama wakimbizi wakiomba hifadhi mara baada ya mateso huko Ulaya na Urusi.Hao watu wana fujo za kidini sana, waishie hukohuko sudan na somalia kwani wanafanana dini na wote ni watu wa vitavita tu, huko watawezana. Kuwaleta nchi kama Tanzania, Kenya na Uganda huku udini wao hautakubalika watapaswa kuishi kama wenyeji wanavyoishi. Tatizo ni uislam wao wa kupenda vitavita na migogoro ya kidini. By the way wangepokelewa vema tu na nchi yoyote na wakaishi kwa amani na upendo
HijaziNa Wapalestuna walitokea wapi adi wafukuzwe kwenye Ardhi ile??
Sio vyote lakini vile vya kihistoriaKwahio wewe unaamini vilivyoandikwa kwenye Quruan?
Sawa mkuu, wapalestina wapelekwe Rwanda. Maana Mr. Slim alitaka kuchukua wakimbizi kutoka UK, sasa wampe wapalestina Ili wawe Jirani zetu.Sio vyote lakini vile vya kihistoria
Ni kwanini wasirudishwe Hijazi ambako ndio leo Saudi Arabia kwanini waletwe Afrika ya Mashariki?!Sawa mkuu, wapalestina wapelekwe Rwanda. Maana Mr. Slim alitaka kuchukua wakimbizi kutoka UK, sasa wampe wapalestina Ili wawe Jirani zetu.
Sio warudi Mesopotamia?. Ambapo mwenye uzao wao ndiko chimbuko lake?.Ni kwanini wasirudishwe Hijazi ambako ndio leo Saudi Arabia kwanini waletwe Afrika ya Mashariki?!
Waarabu asilia ni Wayemen hao wa Syria na Mesopotamia waliarabishwa.Sio warudi Mesopotamia?. Ambapo mwenye uzao wao ndiko chimbuko lake?.