Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Oyaaa, wa Kibondo tuna akili nyingi, hatuwezi kuwa kama huyo tengua kauli yako kwanza in the name of PutinWewe uko kwenu buchosa au kibondo huko unasimama na ukraine kwani wanakujua wewe kula ugali wako ulale
Woyooooo woyoooo we jamaa umenipa mautamuuujKama walimuwekea vikwazo Magufuli na Makonda alafu Tanzania ikaingia uchumi wa kati watamuweza Putin?
Pro US ukiwa kwa mpalange ktk ubora wakoUrusi soon anakuwa Zimbabwe
Kwa hiyo tuwaache akati mnaleta uduwanzi? Unadhanj Putin hana akili? Labda hufuatiliagi haya mambo ngoja mtu atiwe makofi ili awe na adabuLimenikera sana hilo jamaa na vita isiyo na kichwa wala miguu. Sababu hasa za kuivamia Ukraine ni zipi? We stand with Ukraine.
Naona humu wanatia hurhma tuMmezoea kuonea vitaifa utopolo kwa sasa mmepata size yenu
😃😃😃Kusota ni pande zote 2 acha mziki wa kukosa gesi waanze kuupata huko ulaya hasa ukija msimu wa baridi na kumbuka ukraine pia alikua anailisha ulaya magharibi kwa asilimia kubwa......hio inflation haitaiacha serikali yeyote salama huko
Putin is unstoppableMarekani na mataifa mengine ya magharibi yaiwekea vikwazo mbalimbali vikiwemo vya kiuchumi nchi ya Urusi.
Nikianza na marekani:
Whitehouse
PRESIDENT BIDEN
IMPOSES SEVERE COSTS ON RUSSIA FOR ITS INVASION OF UKRAINE
FEBRUARY 22, 2022
Full blocking sanctions on two large Russian financial institutions with close links to the Kremlin
Cutting Russia off from U.S. dollar financing
Full blocking sanctions on five Russian elites and their family members
Worked with Germany to ensure Nord Stream 2 will not move forwarforward.
View attachment 2129973
Wingereza nayo:
The UK Prime Minister has announced sanctions
On:
The following Russian banks: Rossiya, IS Bank, General Bank, Promsvyazbank and the Black Sea Bank.
Three very high net worth individuals: Gennady Timchenko, Boris Rotenberg and Igor Rotenberg.
Any assets they hold in the UK will be frozen, the individuals concerned will be banned from travelling to the UK, and we will prohibit all UK individuals and entities from having any dealings with them.
View attachment 2129975
Kila mchawi na mbuyu wakeLimenikera sana hilo jamaa na vita isiyo na kichwa wala miguu. Sababu hasa za kuivamia Ukraine ni zipi? We stand with Ukraine.
Wanatafuta kuonewa huruma tu sahiviNaona humu wanatia hurhma tu
Kama walimuwekea vikwazo Magufuli na Makonda alafu Tanzania ikaingia uchumi wa kati watamuweza Putin?
Sababu ya kuvamiwa libya na iraq ni ipi?Limenikera sana hilo jamaa na vita isiyo na kichwa wala miguu. Sababu hasa za kuivamia Ukraine ni zipi? We stand with Ukraine.
Nani kakudanganya?Urusi soon anakuwa Zimbabwe
Mkuu unaijua kweli historia ya Tanzania mpaka unasema hatujawahi kuwekewa vikwazo.Tanzania haijawahi kuwekewa vikwazo vya kiuchumi. Ni makonda alizuia kuingia marekani. Fikiria hatuna vikwazo lakini tozo kwenda mbele, siku marekani pekee akituwekea vikwazo wewe mwenyewe utaona mabadiriko.
Kwa mtazamo wa karibu , athari ya vikwazo huwezi iona lakini!!mwisho wa siku ni lazima tu uchumi wako utaathirika tu, na hasa kwa wananchi wako!! Mfano awekewe vikwazo vya kutotumia dola ya US, pauni, na euro, hiyo athari yake ni kubwa sana!!Ahaaa vikwazo havina maaana kwa sababu ukr kaishavamiwa tayari
Usisahau nusu ya Ulaya gas inatoka Russia ambayo ni cheap ndio sababu kwa nini ujerumani haiingii kwa nguvu.Kwa mtazamo wa karibu , athari ya vikwazo huwezi iona lakini!!mwisho wa siku ni lazima tu uchumi wako utaathirika tu, na hasa kwa wananchi wako!! Mfano awekewe vikwazo vya kutotumia dola ya US, pauni, na euro, hiyo athari yake ni kubwa sana!!
Limenikera sana hilo jamaa na vita isiyo na kichwa wala miguu. Sababu hasa za kuivamia Ukraine ni zipi? We stand with Ukraine.
We stand with great thinker Vladimir vladirmovich putin
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Anabakwa na Putin hukoKuna jamaa anajiita US baby sijamuona siku nyingi humu [emoji1787][emoji1787]