marekani ametumia hadi submarines kupigana na wahouth !? Sasa ziara ya waziri wa mambo ya nje wa marekani huko mashariki ya kati ilikuwa na lengo gani wakati marekani na washirika wake ndio wanazidisha kuupanua mgogoro wa mashariki ya kati? Marekani ni mwoga sana sasa akae mkao wakutulia asubiri majibu makaliMashambulizi kutoka ktk submarines, aircraft carriers na fighter jets ya majeshi ya US na UK yaelekezwa usiku huu mnene kwa vikaragosi vya Iran yaani mgambo wa Houthis Yemen.
View attachment 2869202
View: https://m.youtube.com/watch?v=VIq4NVoAChw
Shida unachanganya mambo. Hakuna taifa linaloishambulia Yemen kwani ni kanchi kamaskini ka kiarabu ila kufunga kwao shughuli za Baharini ndio kilichosababisha haya.Kwa kichapo walichotembeza Wayemeni juzi na jana kwa meli za Kimarekani na kituo cha kijasusi cha Uingereza, ningeshangaa wasingeshambuliwa.
Naona sasabWamsrekani na Waingerezanwamewekwa wanapotakiwa, wasubiri na wao kudunguliwa meli zao.
Wayemeni Hawana historia ya kusalimu amri kabisa.
Uhusiano Kufa Na Kupona Yaani Kama Ndoa Ya Mume Mmoja Na Mke MmojaWenyewe wanasema kuwa wana "Special Relationship"
Lazima mfundishwe ustaarabu kwa viboko.Naonesha kilinachoendelea tu, msidhani ni madogo haya.
Wakawashambulie na warusi kama wanaume maana wanaingamiza UkraineRais BIden wa Marekani amethibitisha kuwa Majeshi ya Marekani na Uingereza yamefanya mashambulizi dhidi ya kikundi cha Houthi nchini Yemen
Rais Biden amesema mashambulizi hayo ni kulipa kisasi dhidi ya mashambulizi ya kikundi hicho cha Houthi ndani ya Red Sea
≈==============
UK Prime Minister Rishi Sunak said Houthi attacks could not be allowed to stand and Britain had taken "limited, necessary and proportionate action in self-defence."
British and US forces have launched an attack on Houthi targets in Yemen after the Iranian-backed group defied a warning to stop targeting ships in the Red Sea.
Yemeni press agency, SABA reported attacks took place in the capital, Sana'a, and the governorates of Sa'dah, Hodeidah, Taiz, and Dhamar.
Three explosions were heard in the country's capital of Sana'a, according to eyewitnesses.
US officials said the strikes had been carried out by warship-launched Tomahawk missiles, as well as fighter jets and a submarine.
In a statement issued shortly after the attacks, US President Joe Biden said: "These targeted strikes are a clear message that the United States and our partners will not tolerate attacks on our personnel or allow hostile actors to imperil freedom of navigation in one of the world's most critical commercial routes."
Chanzo: Sky News
zamisha meli ya kimarekani chezea Yemen hawa wajinga
wataishia kutoa viji maneno tu uku hao wanamgambo wako wa Mnyaaazi wakiishia kutwanga kisawa sawaWaturuki nao wamesogeza meli zao kivita karibu ya Ghaza:
View: https://youtu.be/szv0oh0XeH0?si=_xxYW_WlRcAFThrE
acha kujitekenya ww kikaragosi sema hapa ni meli gani ime zamishwa ukishindwa kuthibitisha basi utakua una liwa na masheikh wa iranWameisha zamisha meli ya kimarekani.
We shoga tulizana mambo ya kanisani usitulete hapa, ngojea American atakutangazia kama kisha zamishiwa alidhani kupiga Yemen afu atakimbia 😄acha kujitekenya ww kikaragosi sema hapa ni meli gani ime zamishwa ukishindwa kuthibitisha basi utakua una liwa na masheikh wa iran
Tangu 1990 ikitokea hata mvua ikanyesha sana na kusababisha mafuriko watu wanakimbilia kusema third world war inakuja. Ikaja vita ya Ghuba, watu wakadai third world war, September 11 US aliposhambuliwa watu wakadai third war. Wanafunzi wa Tambaza walipokua wakifanya vurugu miaka ile, watu wakadai third war inakuja.third world war itatokea kabla ya mwaka 2030
Umeongea kinyonge sanaWaturuki nao wamesogeza meli zao kivita karibu ya Ghaza:
View: https://youtu.be/szv0oh0XeH0?si=_xxYW_WlRcAFThrE
Jipe moyo ni tiba ya stress ewe kikongweKwa kichapo walichotembeza Wayemeni juzi na jana kwa meli za Kimarekani na kituo cha kijasusi cha Uingereza, ningeshangaa wasingeshambuliwa.
Naona sasabWamsrekani na Waingerezanwamewekwa wanapotakiwa, wasubiri na wao kudunguliwa meli zao.
Wayemeni Hawana historia ya kusalimu amri kabisa.
Haya we kaa mkao wa kula usubiri habari kutoka America wakikiri wamezamishiwa meli yaoNgumu sana kuzamisha aircraft carrier, ina ulinzi kuzidi nchi. Ni kisiwa kinachoelea kikilindwa kwa nguvu zote. Sababu 5 kwa uchache ktk nyingi kuelezea ulinzi mkali usioweza kupenya kukaribia msafara wa aircraft carrier ni hizi :
View: https://m.youtube.com/watch?v=hB-SbqZCQAc
Hiyo ziara alilenga kuongea na magaidi ya Houthi?marekani ametumia hadi submarines kupigana na wahouth !? Sasa ziara ya waziri wa mambo ya nje wa marekani huko mashariki ya kati ilikuwa na lengo gani wakati marekani na washirika wake ndio wanazidisha kuupanua mgogoro wa mashariki ya kati? Marekani ni mwoga sana sasa akae mkao wakutulia asubiri majibu makali