Marekani na Uingereza wafanya mashambulizi dhidi ya Kikundi cha Houthi nchini Yemen

Marekani na Uingereza wafanya mashambulizi dhidi ya Kikundi cha Houthi nchini Yemen

Uingereza ni dola (empire) kongwe iliyotawala dunia kabla ya Marekani kuibuka miaka ya 1940s kuwa na nguvu kijeshi.

Uingereza ilitawala nchi nyingi ikiwemo Yemen, USA n.k na ina jeshi la majini lenye taarifa za kintelejensia za kijeshi za makoloni yake ilizokusanya miaka mingi na kutumika inapobidi, kama sasa dhidi ya Yemen.

Kitengo kimojawapo cha jeshi la Uingereza ni NID intelejensia ya kamandi ya jeshi la majini kilichoundwa 1912 ina hazina tosha ya taarifa za vichochoro, mapango, vilima, milima, mito, jangwa n.k kumpata na kumpiga adui kisawa sawa.

Hivyo vitengo vyao NID na ONI vya mataifa hayo mawili humulika mienendo, mipango na njama za adui ili itapofika haja ya mapambano wanakuwa wameshakukuelewa ndani nje


View: https://m.youtube.com/watch?v=XHjkCqOj8vA

Maneno mengi kuipamba uingereza,Nyie ndio mlituaminisha kwamba Russia ina silaha za kudumu vitani kwa siku 3 tu,Mara Russia inatumia cheap za kutoka kwny microwave.
 
Shida unachanganya mambo. Hakuna taifa linaloishambulia Yemen kwani ni kanchi kamaskini ka kiarabu ila kufunga kwao shughuli za Baharini ndio kilichosababisha haya.

Juzi nilimsikia Mkurugenzi wa Mamlaka ya Bandari Tanzania(PTA) akielezea madhara yanayosababishwa na hao Hauth kwenye uchumi wa Tanzania kwa kuzuia na kushambulia meli zinazopita ukanda huo. Hii ni sawa, waache kushambulia meli za mizigo na kufanya uharamia wa Baharini kwani madhara yake ni makubwa kwenye uchumi wa Duniani.
Msitake kutudanganya houthi wanadeal na meli zinazoingia na kutoka israhell

Sasa nyie huko bara giza mnaathirikaje mzeee

Au watu ndio wanatafta namna yakupandisha vitu bei maana kwao kila mgogoro ni fursa dhidi ya raia wao wenyewe
 
Kombora la BGM-109 Tomahawk

View attachment 2869206

Bandari ya Hodeidah pwani ya Red Sea (bahari nyekundu) Yemen, na mji mkuu wa Sanaa uliopo katikati ya Yemen ni maeneo mojawapo kadhaa yaliyoshambuliwa kwa makombora hatari aina ya tomahawk.

View attachment 2869205
Chinese state-owned shipping giant Coscosuspended shipping to Israel through the Red Sea as tensions in the strategic shipping lane continue to rise, Israeli state media reported.

The specifics of Cosco's decision remain undisclosed, according to Israeli financial news outlet Globes.

Hamna kupita Red Sea.
 
We kila muislam ni gaidi ndio kanisani mnafunzwa hivyo 😄

America anajidai kukimbia Yemen na Yemen anamuambia mchezo kauwanzisha hapo Muddle East atapasahau tena.

Tulizaneni muone mwisho wa America, uingereza na Israel ndio umewadia.

Yemen huwa hashindwi vita hio history mtaikumbuka.
bro kuna muda jifunze kunyamaza hii itakusaidia kuficha ujinga ulio nao kichwani Sio kila kitu ni cha ku reply unajizalilisha
 
Nchi ya Singapore nayo yajiunga katika umoja wa kuhakikisha njia ya meli ya Red Sea inapitika
Singapore haiwezi jiunga kwenye hayo mapigano ya kipuuzi sera ya Singapore ya mambo ya nje inazuia kujiunga kwenye migogoro ya namna hiyo toka foundation ya Singapore
 
marekani ametumia hadi submarines kupigana na wahouth !? Sasa ziara ya waziri wa mambo ya nje wa marekani huko mashariki ya kati ilikuwa na lengo gani wakati marekani na washirika wake ndio wanazidisha kuupanua mgogoro wa mashariki ya kati? Marekani ni mwoga sana sasa akae mkao wakutulia asubiri majibu makali
Blinken alienda mashariki ya kati kujadili ni namna Gani GAZA itatawaliwa baada ya Hamas kuondoshwa.
 
Kumbukeni wahuthi hawa jajibu hivyo ni vizuri kuwa na akiba ya maneno.
 
Ngoja tusubiri matokeo.
Maana hawa jamaa walisema wanayimakombora ya kuzamisha lile jimeli kubwa la matrillioni ya shiringi aircraft carrier mpya ya Us iliyoko mitaa hiyo.
Wanayo kweli juzi waliyatumia kushambulia meli za Marekani, yakatunguliwa yote. Marekani ikasema itajibu, ndio mashambulizi hayo ya Leo.
 
Kuna siku nimeleta uzi humu waarabu walisema USA hawezi shambulia yemen kwa sababu hawana base watashambuliaje
 
Back
Top Bottom