Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Ngojea aje akujibu T14 ArmataHivi Marekani hawezi kupigana vita mpaka ashirikishe Uingereza?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngojea aje akujibu T14 ArmataHivi Marekani hawezi kupigana vita mpaka ashirikishe Uingereza?
Hv iran inaishia dunia gani au ni invisible 🤣😀🤣Long overdue, kubwa la magaidi ya dini, Iran linatafutwa sasa liseme kitu...
Waturuki nao wamesogeza meli zao kivita karibu ya Ghaza:
View: https://youtu.be/szv0oh0XeH0?si=_xxYW_WlRcAFThrE
Uingereza ni dola (empire) kongwe iliyotawala dunia kabla ya Marekani kuibuka miaka ya 1940s kuwa na nguvu kijeshi.
Uingereza ilitawala nchi nyingi ikiwemo Yemen, USA n.k na ina jeshi la majini lenye taarifa za kintelejensia za kijeshi za makoloni yake ilizokusanya miaka mingi na kutumika inapobidi, kama sasa dhidi ya Yemen.
Kitengo kimojawapo cha jeshi la Uingereza ni NID intelejensia ya kamandi ya jeshi la majini kilichoundwa 1912 ina hazina tosha ya taarifa za vichochoro, mapango, vilima, milima, mito, jangwa n.k kumpata na kumpiga adui kisawa sawa.
Hivyo vitengo vyao NID na ONI vya mataifa hayo mawili humulika mienendo, mipango na njama za adui ili itapofika haja ya mapambano wanakuwa wameshakukuelewa ndani nje
View: https://m.youtube.com/watch?v=XHjkCqOj8vA
Msitake kutudanganya houthi wanadeal na meli zinazoingia na kutoka israhellShida unachanganya mambo. Hakuna taifa linaloishambulia Yemen kwani ni kanchi kamaskini ka kiarabu ila kufunga kwao shughuli za Baharini ndio kilichosababisha haya.
Juzi nilimsikia Mkurugenzi wa Mamlaka ya Bandari Tanzania(PTA) akielezea madhara yanayosababishwa na hao Hauth kwenye uchumi wa Tanzania kwa kuzuia na kushambulia meli zinazopita ukanda huo. Hii ni sawa, waache kushambulia meli za mizigo na kufanya uharamia wa Baharini kwani madhara yake ni makubwa kwenye uchumi wa Duniani.
Chinese state-owned shipping giant Coscosuspended shipping to Israel through the Red Sea as tensions in the strategic shipping lane continue to rise, Israeli state media reported.Kombora la BGM-109 Tomahawk
View attachment 2869206
Bandari ya Hodeidah pwani ya Red Sea (bahari nyekundu) Yemen, na mji mkuu wa Sanaa uliopo katikati ya Yemen ni maeneo mojawapo kadhaa yaliyoshambuliwa kwa makombora hatari aina ya tomahawk.
View attachment 2869205
Unamuonea wivu mumeo wamwenzio 🤔🤔🤔Hivi wewe mumeo unampikia saa ngapi?
Kutwa upo MTANDAONI huoni aibu?
Vitu unavyotetea ni ugaidi na magaidi.
Unaroho mbaya sana shetani anasingiziwa
Kuna wakati nawahurumia sana. Wanachokitamani kiwe hakiwi. Aliwahi kusema hapa kwamba majeshi ya Urusi yanaelekea Gaza. Hadi leo sijui bado hayajafika? leo analeta kibonzo kingine.Kwa hiyo bibi yetu FaizaFoxy anaugulia maumivu?
bro kuna muda jifunze kunyamaza hii itakusaidia kuficha ujinga ulio nao kichwani Sio kila kitu ni cha ku reply unajizalilishaWe kila muislam ni gaidi ndio kanisani mnafunzwa hivyo 😄
America anajidai kukimbia Yemen na Yemen anamuambia mchezo kauwanzisha hapo Muddle East atapasahau tena.
Tulizaneni muone mwisho wa America, uingereza na Israel ndio umewadia.
Yemen huwa hashindwi vita hio history mtaikumbuka.
Ile ngarawa ilikimbizwa muda sana pale 😀Ngoja tusubiri matokeo.
Maana hawa jamaa walisema wanayimakombora ya kuzamisha lile jimeli kubwa la matrillioni ya shiringi aircraft carrier mpya ya Us iliyoko mitaa hiyo.
Singapore haiwezi jiunga kwenye hayo mapigano ya kipuuzi sera ya Singapore ya mambo ya nje inazuia kujiunga kwenye migogoro ya namna hiyo toka foundation ya SingaporeNchi ya Singapore nayo yajiunga katika umoja wa kuhakikisha njia ya meli ya Red Sea inapitika
Blinken alienda mashariki ya kati kujadili ni namna Gani GAZA itatawaliwa baada ya Hamas kuondoshwa.marekani ametumia hadi submarines kupigana na wahouth !? Sasa ziara ya waziri wa mambo ya nje wa marekani huko mashariki ya kati ilikuwa na lengo gani wakati marekani na washirika wake ndio wanazidisha kuupanua mgogoro wa mashariki ya kati? Marekani ni mwoga sana sasa akae mkao wakutulia asubiri majibu makali
Unaweza Kuta dume hilo jf Kuna mapicha picha mengiHivi wewe mumeo unampikia saa ngapi?
Kutwa upo MTANDAONI huoni aibu?
Vitu unavyotetea ni ugaidi na magaidi.
Unaroho mbaya sana shetani anasingiziwa
We kila muislam ni gaidi ndio kanisani mnafunzwa hivyo
Wanayo kweli juzi waliyatumia kushambulia meli za Marekani, yakatunguliwa yote. Marekani ikasema itajibu, ndio mashambulizi hayo ya Leo.Ngoja tusubiri matokeo.
Maana hawa jamaa walisema wanayimakombora ya kuzamisha lile jimeli kubwa la matrillioni ya shiringi aircraft carrier mpya ya Us iliyoko mitaa hiyo.