matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
Ngoja tuone.Wanayo kweli juzi waliyatumia kushambulia meli za Marekani, yakatunguliwa yote. Marekani ikasema itajibu, ndio mashambulizi hayo ya Leo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja tuone.Wanayo kweli juzi waliyatumia kushambulia meli za Marekani, yakatunguliwa yote. Marekani ikasema itajibu, ndio mashambulizi hayo ya Leo.
Uingereza alimtawala marekani, so automatically marekani ni ya muingereza
Singapore to contribute troops to US-led maritime security force in Red SeaSingapore haiwezi jiunga kwenye hayo mapigano ya kipuuzi sera ya Singapore ya mambo ya nje inazuia kujiunga kwenye migogoro ya namna hiyo toka foundation ya Singapore
Hahaha jamaa waliihamisha. Maana nilikuwa nasubiri nione. Iran wangepenyeza kombora lao moja kifanyia majaribio. Naona wamebakiza tumeli tudogotudogo kama hutu twa JWIle ngarawa ilikimbizwa muda sana pale 😀
Mmarekani mjanja sana....hapo inatafutwa justification ya kuungwa mkono na umma wa Ulaya.Hivi Marekani hawezi kupigana vita mpaka ashirikishe Uingereza?
Huyo hajui kitu.Uzuri mmeandika wenyewe
Muhammad (ﷺ) said, "By Him in Whose Hands my soul is, surely (Jesus,) the son of Mary will soon descend amongst you and will judge mankind justly (as a Just Ruler);.....Sahih al-Bukhari 3448
third world war itatokea kabla ya mwaka 2030
Limeufyata linaimbia chumbani chumbani kwake Allahu akbar. Limewaachia magaidi wa Kahama kulisifia humu jf.Long overdue, kubwa la magaidi ya dini, Iran linatafutwa sasa liseme kitu...
Mkuu, ni Nabii Gani amewahi kufa Kisha akajifufua mwenyewe?Eti ISSA bin Maryam atahukumu !! Ninyi ndio mbumbumbu ambao hamuutaki ukweli,ISSA hawezi kuwa Mungu ,ISSA ni nabii huo uungu mnaompa mmeutoa wapi enyi wafarasiyo!
Sio rahisi hivyo...
Magaidi ya lushoto na Rukwa na Masasi hahaha
Sasa mzee wapi nimesema Issa ni Mungu? Mbona umejaa povu. Quran ndio inasema Issa atahukumu ulimwengu, ja atauhukumu ulimwengu kama nani? Sasa kosa langu ni lipi hapo?Eti ISSA bin Maryam atahukumu !! Ninyi ndio mbumbumbu ambao hamuutaki ukweli,ISSA hawezi kuwa Mungu ,ISSA ni nabii huo uungu mnaompa mmeutoa wapi enyi wafarasiyo!
Sisi tuchukue mafuta Urusi kupitia china au IndiaShida unachanganya mambo. Hakuna taifa linaloishambulia Yemen kwani ni kanchi kamaskini ka kiarabu ila kufunga kwao shughuli za Baharini ndio kilichosababisha haya.
Juzi nilimsikia Mkurugenzi wa Mamlaka ya Bandari Tanzania(PTA) akielezea madhara yanayosababishwa na hao Hauth kwenye uchumi wa Tanzania kwa kuzuia na kushambulia meli zinazopita ukanda huo. Hii ni sawa, waache kushambulia meli za mizigo na kufanya uharamia wa Baharini kwani madhara yake ni makubwa kwenye uchumi wa Duniani.
We nani mpaa uniambie najizalilisha kwani nimeowa kwenu. Au na undugu na wakristo? Yani we unataka ni nyamaze mkristo akiongea utumbo.bro kuna muda jifunze kunyamaza hii itakusaidia kuficha ujinga ulio nao kichwani Sio kila kitu ni cha ku reply unajizalilisha
Waturuki nao wamesogeza meli zao kivita karibu ya Ghaza:
View: https://youtu.be/szv0oh0XeH0?si=_xxYW_WlRcAFThrE
Wameiweka mbali sana sanaaaaHahaha jamaa waliihamisha. Maana nilikuwa nasubiri nione. Iran wangepenyeza kombora lao moja kifanyia majaribio. Naona wamebakiza tumeli tudogotudogo kama hutu twa JV
Atamhukumu hata Mtume Muhamad (pbuh)siku ya hukumu ambayo Issa bin Maryam atahukumu ulimwengu?
Usihamishe magoli, jikite kwenye madaWakawashambulie na warusi kama wanaume maana wanaingamiza Ukraine
Generali wa Hauth anasema wameshazamisha meli ya kwanza na wote waliomo. Ni kazi ya US kutangaza au kupotezea.Wameiweka mbali sana sanaaaa