Sang'udi
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 9,138
- 22,236
Hebu tuwekee aya hapa tuone kama hizo nchi zimetajwa kweli.Unabii wa Biblia unataja Uingereza na Marekani kama serikali moja.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu tuwekee aya hapa tuone kama hizo nchi zimetajwa kweli.Unabii wa Biblia unataja Uingereza na Marekani kama serikali moja.
Hii ya houthi na kuzamisha meli nimeiona hapa ila bado sijathibitisha nje ya hapaGenerali wa Hauth anasema wameshazamisha meli ya kwanza na wote waliomo. Ni kazi ya US kutangaza au kupotezea.
Lile meli kubwa la kubena ndge lilizama hata mimi nitaumia sana. Naunga mkono kulisogeza mbali na range ya makombora ya hao wajomba
Hili la kuzamisha meli la kweli?Mosi,hiyo meli walimtaarifu mapema kuizamisha,pili nuclear alizonazo Israel wameshamtaarifu watazitupiamo bomu humo humo ndani ya Israel limkaange mwenyewe.
Hapa tunaona ni jinsia Gani kuwa siraha kuubwa ambazo zinakugharimu mwenyewe.
Hata likiwa dime linamshughulikia mke wake muda Gani?Unaweza Kuta dume hilo jf Kuna mapicha picha mengi
Usikute wewe sasa ndio huna akili 😀Pro-Houthi, Pro-Hamas hawana akili timamu ni kama vichaa fulani natamanigi kuwaona in person
Hata tukisema ni lishoga je litakuwa linashughulikwa muda Gani?Hata likiwa dime linamshughulikia mke wake muda Gani?
Au ni lishoga ?
Huyu ni mwanaume kizee sio mwanamke Chief.Hivi wewe mumeo unampikia saa ngapi?
Kutwa upo MTANDAONI huoni aibu?
Vitu unavyotetea ni ugaidi na magaidi.
Unaroho mbaya sana shetani anasingiziwa
Hahahaha. Bwana utamu. Nimelipenda jina lako SheikhIle ngarawa ilikimbizwa muda sana pale 😀
Sasahivi mnaanza kulia? Sinuliyoa Uzi hapa kwamba USA imekimbiza vikosi vyake red sea Kwa kuwaogopa houth?Wakawashambulie na warusi kama wanaume maana wanaingamiza Ukraine
Ukijaaliwa mtoto wakiume muite jina hilo kijanaHahahaha. Bwana utamu. Nimelipenda jina lako Sheikh
Kwamba unagawa utamu auUkijaaliwa mtoto wakiume muite jina hilo kijana
Utakua umelienzi jina liendelee kuishi
Sina nnacho gawaKwamba unagawa utamu au
Ile ni mission ya kimataifa ya kulinda njia za baharini za kibiashara. Uingereza imeathiriwa kibiashara na mashambulizi ya Houthi, waliposhambulia meli za kimataifa hasa juzi siku ambayo walitoa mashambulizi makubwa zaidi na yakazuiwa na Marekani na Uingereza.Ngojea aje akujibu T14 Armata
Mission ya kimataifa hua inapitishwa na mataifa gani?Ile ni mission ya kimataifa ya kulinda njia za baharini za kibiashara. Uingereza imeathiriwa kibiashara na mashambulizi ya Houthi, waliposhambulia meli za kimataifa hasa juzi siku ambayo walitoa mashambulizi makubwa zaidi na yakazuiwa na Marekani na Uingereza.
Sema Houthi, Yemen iko kwenye Civil War na kuna kundi linawapinga Houthi, liko tayari kushirikiana na MarekaniUS & UK kwa Yemen kayakanyaga, myemen akisikia sauti ya mtutu anakimbilia kama mzaramo anavyokimbilia ngoma au kigodoro, hao jamaa wanapenda kupigana kuliko jambo lolote unalolijua.
Yakishakuwa mawili ni kimataifa, au unataka useme ni kitaifa, au ili iwe mataifa inabidi yaanzie mangapi kwa idadi?Mission ya kimataifa hua inapitishwa na mataifa gani?
Usaliti/unafiki tatizo kubwa sana kwa mwarabu, bila usaliti wa wenyewe kwa wenyewe ata vascodagama asingetoboa safari yake ya India. Ilo ndio tatizo lao kubwa kwa miaka mingi, naamini mataifa ya kiarabu yangekua na umoja usio na unafiki, hakuna mzungu angesumbua.Sema Houthi, Yemen iko kwenye Civil War na kuna kundi linawapinga Houthi, liko tayari kushirikiana na Marekani
Uk ina athirika kivipi wakati wahuthi wanashambulia meli zenye uhusiano na Israel tu?Ile ni mission ya kimataifa ya kulinda njia za baharini za kibiashara. Uingereza imeathiriwa kibiashara na mashambulizi ya Houthi, waliposhambulia meli za kimataifa hasa juzi siku ambayo walitoa mashambulizi makubwa zaidi na yakazuiwa na Marekani na Uingereza.