Marekani na Zelensky wailalamikia Urusi kuiondoa Kyiv kwenye mgao wa umeme toka kwenye mtambo wa nyuklia wa Zaporizhzhia

Mrusi hii vita itaigharimu sana mbeleni
Kuvamia Ukraine walikosea Urusi itaendelea kuwa vitani kwa Miaka mingi ijayo

Wangekuwa na akili wangeondoka Ukraine
Urusi ilitakiwa impindue Putin na kumuua kabisa sababu yeye ndie Tatizo Urusi
Hata km itachukua muda mrefu inaonesha urusi wamejiandaa.

Wanamabom na mizinga ya kutumia kwa muda wa miaka kumi bila kuzalisha mipya kwa wastan wa matumiz ya mabom buku pa dei.

Chanzo;....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Walimkadiria vibaya kumbe Put-in alishapiga hesabu kita_mbooo saaana
 
Dah i'la warusi wanapigana kistaarabu Sana.. wanapigana mda wote huu miezi 6 lakini Kiev umeme ulikuwepo na ukitoka Happ Zaphorizhya nuclear power plant? What a nice guy is Vladmir Putin?
Adui unampa umeme ..
Hii hutokea kwa warusi TU!

Putin mstaarabu sana sana,kama vita hii ingehusu Merikani saa hizi Ukraine yote ingebaki magofu matupu na raia wengi kupoteza maisha kutokana na tactics za Merikani za kupigana vita by carpet bombing maadui zake (real and imaginary) back to stone age era - in other words implementing to the letter their "shock and awe" brutality.
 
Amigo
 
Adios Amooo......Rusian
 
Achaga
Mrusi hii vita itaigharimu sana mbeleni
Kuvamia Ukraine walikosea Urusi itaendelea kuwa vitani kwa Miaka mingi ijayo

Wangekuwa na akili wangeondoka Ukraine
Urusi ilitakiwa impindue Putin na kumuua kabisa sababu yeye ndie Tatizo Urusi
Kujipa matumaini ya bure kule Mariupol anawajengea makaziπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…