Muuza viatu
JF-Expert Member
- May 14, 2020
- 3,840
- 7,920
Hata km itachukua muda mrefu inaonesha urusi wamejiandaa.Mrusi hii vita itaigharimu sana mbeleni
Kuvamia Ukraine walikosea Urusi itaendelea kuwa vitani kwa Miaka mingi ijayo
Wangekuwa na akili wangeondoka Ukraine
Urusi ilitakiwa impindue Putin na kumuua kabisa sababu yeye ndie Tatizo Urusi
Mrusi hii vita itaigharimu sana mbeleni
Kuvamia Ukraine walikosea Urusi itaendelea kuwa vitani kwa Miaka mingi ijayo
Wangekuwa na akili wangeondoka Ukraine
Urusi ilitakiwa impindue Putin na kumuua kabisa sababu yeye ndie Tatizo Urusi
Walimkadiria vibaya kumbe Put-in alishapiga hesabu kita_mbooo saaanaMabeberu wakubali hawawezi Urusi,wanawatesa raia wao Bure,msimu wa baridi hawataamini macho yao,akili kubwa itawanyanyasa mbaya, Kwa kuwa saidia kidogo TU,Mzee Baba atakuwa anawaminya pumzi ana waachia,anawaminya anawaachia Hadi pale ubongo wao kama wa kenge ukielekea kukataa moto ndio watakubali mrusi hajatetereka na uwanja wa vita anaendelea kupata mafanikio na kiuchumi hajaumia ,na wanaoteswa niraia wa ulaya wasiona hatia Kwa Hali ngumu kiuchumi na baridi linalo sogea sogeaπ€
Jua maana ya vita, wasomali ushawahi kuwahurumia, bakisha hata akili mbili za kuvukia ZEBRA "kama mnayo"Wanajeshi wanaokufa na kujeruiwa unawachukuliaje wewe mtoto wa binadamu
Sent from my Nokia 1 Plus using JamiiForums mobile app
Dah i'la warusi wanapigana kistaarabu Sana.. wanapigana mda wote huu miezi 6 lakini Kiev umeme ulikuwepo na ukitoka Happ Zaphorizhya nuclear power plant? What a nice guy is Vladmir Putin?
Adui unampa umeme ..
Hii hutokea kwa warusi TU!
AmigoMkiambiwa Putin Ni genius ,alishaplan hii move long time,alishajua yafuatayo kabla sisi wachambuzi wabongo hatujajua Vita utakuwepo
1.Aliplan hii Vita muda mrefu
2.Aliplan maeneo gani muhimu atayachukua na maeneo gani atawaachia ili mteseke nayo
3.mtakuja na vikwazo vitavyowaumiza nyinyi na dunia
4.alishajiandaa kwa pesa,mafuta,gesi,chakula,silaha,watu kwa muda mrefu
5.Alishajiandaa kwa gharama za Vita ili asifiliisike ie ameshachukua maeneo ya Ukraine yenye viwanda vikubwa, bandari,powerplants,nuclear plants,migodi kikubwa,food reserves etc
Kwa mbumbumbu wasiojua sasaivi sio gharama ya Vita tu anayogharamia Ukraine mwenyewe Bali mapato muhimu na resources anachukua Russia, pia silaha za misaada kwa Ukraine kutoka kwa mashoga ndio hizo hizo anazotumia kwa kuziteka na pia anatumia silaha za zamani USSR age kuclear mahhala ya silaha huku akijiandaa kwa Vita kubwa na ndefu na NATO na USA
6.Maeneo anayochukua Ni yake maeneo pia yaliyo karibu na Nate kiboundary,hivyo basi Kuna uwezekano mkubwa Eneo kubwa la Ukraine kuwa buffer. Zone ya Russia kwa kuwekewa silaha kubwa na nuclear na Ukraine kubaki na kupanda tu,
7.Muda huu wa Vita Russia anasambaza technology hatari Kama za ICBMs,S-400,500,550generation , nuclear ,hypersonic a etc kwani USA na NATO wameshavunja agreement ya usambazaji silaha,
8.Akimaliza hii show hakuna kima yoyote anayepakana nae atakayethubutu kudanganyika na mashoga Tena
Adios
Urusi wamechukua limtambo la kizamaaani eti ndo wanajivuna nalo hapa. Hawajui aboder na sunder ndo habari ya dunia iliyostaarabika. Nimesikia mumalekani wa bujashi akisemaNashauri ukraine watumie zola,mobisol,sunder waachane na huo mtambo kwanz limtambo lenyew lmeptwa na wakati
Putin atawagandisha kama lambalambaπ€£π€£π€£π€£Zelensky alishasema Mara nyingi tu kwamba, hii Vita wanatakiwa wapigane na waishinde kabla ya kipindi cha baridi. Hii ameirudia Sana.
Nadhani anaelewa vizuri kuhusu Nini Russia watakachomfanywa wakati wa baridi.
Adios Amooo......RusianMkiambiwa Putin Ni genius ,alishaplan hii move long time,alishajua yafuatayo kabla sisi wachambuzi wabongo hatujajua Vita utakuwepo
1.Aliplan hii Vita muda mrefu
2.Aliplan maeneo gani muhimu atayachukua na maeneo gani atawaachia ili mteseke nayo
3.mtakuja na vikwazo vitavyowaumiza nyinyi na dunia
4.alishajiandaa kwa pesa,mafuta,gesi,chakula,silaha,watu kwa muda mrefu
5.Alishajiandaa kwa gharama za Vita ili asifiliisike ie ameshachukua maeneo ya Ukraine yenye viwanda vikubwa, bandari,powerplants,nuclear plants,migodi kikubwa,food reserves etc
Kwa mbumbumbu wasiojua sasaivi sio gharama ya Vita tu anayogharamia Ukraine mwenyewe Bali mapato muhimu na resources anachukua Russia, pia silaha za misaada kwa Ukraine kutoka kwa mashoga ndio hizo hizo anazotumia kwa kuziteka na pia anatumia silaha za zamani USSR age kuclear mahhala ya silaha huku akijiandaa kwa Vita kubwa na ndefu na NATO na USA
6.Maeneo anayochukua Ni yake maeneo pia yaliyo karibu na Nate kiboundary,hivyo basi Kuna uwezekano mkubwa Eneo kubwa la Ukraine kuwa buffer. Zone ya Russia kwa kuwekewa silaha kubwa na nuclear na Ukraine kubaki na kupanda tu,
7.Muda huu wa Vita Russia anasambaza technology hatari Kama za ICBMs,S-400,500,550generation , nuclear ,hypersonic a etc kwani USA na NATO wameshavunja agreement ya usambazaji silaha,
8.Akimaliza hii show hakuna kima yoyote anayepakana nae atakayethubutu kudanganyika na mashoga Tena
Adios
Mmh miaka ten kwa wastani wa thousand per dayHata km itachukua muda mrefu inaonesha urusi wamejiandaa.
Wanamabom na mizinga ya kutumia kwa muda wa miaka kumi bila kuzalisha mipya kwa wastan wa matumiz ya mabom buku pa dei.
Chanzo;....
Sent using Jamii Forums mobile app
Karani alitakiwa kuiweka kwenye idadi ya mifugoπ€£π€£π€£Ona hii ngβombe
Hicho ndio kinu kikubwa Ulaya nzima na kingine cha pili kwa ukubwa Ukraine pia anakikalia kwaio kaa kwa kutuliaUrusi wamechukua limtambo la kizamaaani eti ndo wanajivuna nalo hapa. Hawajui aboder na sunder ndo habari ya dunia iliyostaarabika. Nimesikia mumalekani wa bujashi akisema
π€£π€£π€£βπ»βπ»mumalekani
Kujipa matumaini ya bure kule Mariupol anawajengea makaziπ π π πMrusi hii vita itaigharimu sana mbeleni
Kuvamia Ukraine walikosea Urusi itaendelea kuwa vitani kwa Miaka mingi ijayo
Wangekuwa na akili wangeondoka Ukraine
Urusi ilitakiwa impindue Putin na kumuua kabisa sababu yeye ndie Tatizo Urusi
Huo mtambo Urusi anaweza kuutumia hata kumine bitcoin na kupiga $$$ za kutosha
Mrusi bwege anabomoa halafu anapanga huo uchiziAchaga
Kujipa matumaini ya bure kule Mariupol anawajengea makaziπ π π π