Marekani: Rais Biden apanga kuwateua mabalozi wapya kwa Tanzania, China na Japan

Marekani: Rais Biden apanga kuwateua mabalozi wapya kwa Tanzania, China na Japan

Hahahaha eti najipendekeza 🤣🤣🤣🤣🤣 kwa Nani ili iweje! I am my own MAN I do things the way I like it as INDEPENDENT human being as compared to you IDIOT msaka Teuzi. Find a single thread of mine that I wrote here which was not accurate.
fuatilia threads zangu humu... sio za kiboya kama wewe.unajipendekeza sana na kujidai mjuaji ...kumbe kiazi tu
 
Sasa hio thread uliyoleta si ya kijinga tu!
Marekani anaweza kupangiwa na kinchi ambacho hakina hata uwezo wa chanjo hadi akisaidie..
Acha ujinga basi
Wewe ni Great thinker wa uchochoroni.unashindwaje kuunganisha matukio dhahiri?
 
Anyhow, utawala ukibadilika si viongozi wa kisiasa hubadilika pia? Na akiletwa mwingine, muda wa aliyekuwepo unakwisha. Haiwezekani kuwa na mabalozi 2 katika nchi moja. Siyo lazima akae sana. Hata kama amekaa wiki 1, akiletwa mwingine, muda wa aliyekuwepo unakuwa umekwisha. Sasa Mulamula anaingiaje kwenye hili? Ama na wewe ni walewale?

Tena Wright alikuwa mtu poa. US huwa ina mabalozi na mabalozi. Wakati wa Moi kwenye kudai vyama vingi, balozi wa Mariekani alikuwa anaandamana na wapinzani kudai vyama vingi. Wright ni cha mtoto kabisa.
Wright alipitishwa kuwa balozi 2020 kwa hiyo hajakaa sana. Kwa sababu alikuwa ni balozi wa kisiasa basi inabidi ampishe mtu wa Biden. Hamna cha muda kuisha.

Amandla...
 
Mkuu, tulia kwa muda, soma CV ya huyo mteuliwa, halafu angalia matukio ya kikanda..kidogo utapata uelewa kwanini Balozi huyo kateuliwa kuja Bongo.

Hiyo ni perspective yao na mimi nimeleta perspective yetu kulingana na matukio locally
 
Hakuna cha kujadili hapa wewe!!! Nani ajadili uzushi wako! Nenda ukajadili na MAZWAZWA wenzio lumumba. Eti jadili mada!!! 🤣🤣🤣🤣
huoni cha kujadili kwa kuwa u mlevi na mla plama wa kinondoni manyanya.
 
una virus kwenye meninjits yako wewe, unafikiri mambo ya Marekani yanaamuliwa na wachimba macho?
 
Una akili kweli wewe? Kuna mada ya kujadili hapa? Upuuzi huu ndio unataka watu wajadili. Wright (Republican) anaondoka kwa sababu Biden (Democratic) analeta Balozi wake. Sasa Mulamula anaingiaje hapa? Huko CCM kazi kweli kweli! Kiswahili chenyewe huyo Mulamula hawezi kuongea.
unajichekesha nini?acha utoto jadili mada
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Narudia tena acha KUKURUPUKA ná kuja humu kuandika uongo na juha wewe ukajiona umeleta mada ya kujadiliwa. Ujinga wako peleka kwa wapuuzi wenzio lumumba siyo humu. Humu tutakuchapa za uso tu.

huoni cha kujadili kwa kuwa u mlevi na mla plama wa kinondoni manyanya.
 
Hiyo ni perspective yao na mimi nimeleta perspective yetu kulingana na matukio locally

..balozi wa us jana alikuwa mkoani songwe kufungua vituo vya afya vilivyojengwa kwa hisani ya nchi yake.

..habari kwamba mh.mulamula "amemuondoa" umezipata wapi? Je, unaelewa uzito wa uamuzi wa kumuondoa balozi hapa nchini?
 
..balozi wa us jana alikuwa mkoani songwe kufungua vituo vya afya vilivyojengwa kwa hisani ya nchi yake.

..habari kwamba mh.mulamula "amemuondoa" umezipata wapi? Je, unaelewa uzito wa uamuzi wa kumuondoa balozi hapa nchini?
inawezekana wewe huna habari hizo
 
Back
Top Bottom