Marekani: Sherehe za uzinduzi wa msikiti zazua gumzo baada ya kualikwa wanaume pekee

Marekani: Sherehe za uzinduzi wa msikiti zazua gumzo baada ya kualikwa wanaume pekee

Hiyo khutba peleka msikitini kwenye watu kama ww ukazawadiwe takbir!

Jibu hapa!
[emoji116][emoji116]
Aliye waumbia maadui na mashetani watu nani??
Si ushajibiw kwamba Mungu muumbaji wa vyote pamoja na sababu zake?
Naanza kuwa mashaka na uwezo wako wa akili una utindii wa ubongo ww
 
Katangaze msikitini Yesu sio isa!;
Halafu uje humu utupe mrejesho [emoji23][emoji23][emoji23]
Umeelewa kauli yangu?
Simzungumzii Yesu alochukuliwa km Mungu ama mwana wa Mungu namuongelea nabii Issa ambaye ni mtume wa Allah.
Mbona unakaza kichwa kijanaaa!?
 
Wapi kwenye hii ayat allah kasema wenye moyo mgumu hawawezi kuifahamu kolan??
[emoji116][emoji116]

وَلَقَدْ يَسَّرْنَا الْقُرْآنَ لِلذِّكْرِ فَهَلْ مِن مُّدَّكِرٍ

[ AL-QAMAR - 22 ]
Na bila ya shaka Sisi tumeifanya Qur'ani nyepesi kufahamika; lakini yupo anaye kumbuka?

ww ni kafir kwa kujiona mjuzi allah hamnazo[emoji13][emoji13]

Kama ndivyo anzisha deen yako bro!; kuliko kumdhalilisha allah!
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Kijana nakuona km mtoto asiyejua kesha anajifanya anajua.
Kasome Quran 2:15-18 utaelewa nini nimemaanisha.
Quran ni nyepesi kwa yule mwenye yaqini ya kutaka kuijua.
Wewe huwezi kuijua Quran kwasababu shida yako ni kulazimisha hoja zako na kukosoa kiushindani na uzandiki ila sio kwa kutafuta elimu asa utaijuaje itakuaje nyepesi kwako?
Ninakueka kwenye ignore list maana hutaki kujua bali unataka kulazimisha mawazo yako .KWAHERI
 
Issa ni huyu hapa, history yake fupi kutoka Koran
  • Tunaona kwenye koran inamtaja Issa, Babu yake ni Imran na Uncle zake ni Haruni na Mussa
    3;35.
    Alipo sema mke wa Imran: Mola wangu Mlezi! Nimekuwekea nadhiri kilichomo tumboni mwangu kuwa wakfu........
    36.
    Basi alipo mzaa alisema: Mola wangu Mlezi! Nimemzaa mwanamke(Maryamu)
    19:28 “Ewe dada yake Haruni. Baba yako hakuwa mtu mbaya.
    66;12. Na Mariamu binti wa Imrani, aliye linda ubikira wake,
  • Tunaona Huyu Isa wa Allah alikimbia msalaba , na Allah akatengeneza Issa mwingine ambae anafanana na Isa original ili Isa clone (cloning) asulubiwe(Hiki kitendo hakipo kwenye historia yoyote kabla ya Muhammad)
    • Koran 4:157. ................................ - nao hawakumuuwa wala hawakumsalibu, bali walifananishiwa tu...........
    • Cloning -is the process of producing individuals with identical or virtually identical DNA, either naturally or artificially.
Na mm namzungumzia Issa huyo huyo.
Ninyi mnaamini Yesu katundikwa msalabani ndio imani yenu.
Mimi naamini Nabii Issa aliokolewa na alotundikwa alikua mtu badala yake.
Kwahiyo ni vigumu kuafikiana.
 
Mimi nimekupa Al -Jalalalyn kasema ni kubaka maria na nimeweka ushahidi , je wewe unawezeza kuweka ushahidi wa asali? na hapa inathibitisha huwezi elewa koran kirahisi maana ata scholar wanaitilafiana

Hadith -narration of the sayings, doings or approvals of Muhammad
Tafsir -attempts to provide elucidation, explanation, interpretation, context or commentary for clear understanding
Tttttttttt jalalyn ndio nani?
Mie simfahamu.
Ndugu kasome siratul nabawiyyah ama wasifu wa mtume kisa cha asali kipo.
NIMEKUWEKEA WANAZUONI WA UHAKIKA WEWE UNANILETEA JALALYN NDIO NANI?
KAKA UNA KICHWA KIGUMU DUH!
WANAZUONI NILOKUTAJIA KINA HAMBAL,MALIK,SHAFII,ABUU HANIFAH HAO NDIOMAIMAM WAKUBWA NA HAWAJAKHITILAFIANA KTK TAFSIR YA QURAN KATAFUTE NAKALA ZA HAO NILOKUTAJIA UNANILETEA JALALYN NDIO NANI?
Ndugu mm nimeisoma dini ww mpk ukapekue google ndio ulete majibu doh.
Narudia kukwambia Quran kuna ayah zimeandikwa kimafumbo na zingine zimeandikwa kwa wazi mfano suratul kahfi,suratul fatha,suratul nnas, na mchambuzi na mwalim alikua Mtume maana kitabu kimeshuka kwake.
Ukitaka tafsir quran ukae chini usome na ni kipengele kingine.
HAO WANAZUON WA ZAMA GANI UNAOWAZUNGUMZIA WW WANAKHITILAFIANA?
KASOME SIRAH UIELEWE NDIO URUDI MAANA TUNACHOSHANA.
 
Ili uweze kujibu haya maswali utategemea nini? twende taratibu kabisa
Unapo jibu weka ushahidi wa utegemezi ulipo utoa
Kosugi says "Quran haitegemei hadith wala vitabu vya wanazuoni mkuu ili uielewe."
Nimekupa mfano wa haya hizi
  • Koran 66:1 1. Ewe Muhammad! Kwa nini unaharimisha alicho kuhalilishia Allah?...
    • Bila kutumia Hadith wala Tafsir niambie ni nini Muhammad aliharimisha ambacho Allah alimuhalalishia?
  • Koran 36:14 Tulipo watumia wawili, wakawakanusha. Basi tukawazidishia nguvu kwa mwingine wa tatu. -
    • Bila kutumia Hadith na Tafsir nipe majina ya hawa watu watatu?
EMBU NIKUPE HINT UKASOME MAANA DOH.
KASOME SIRAH KWANZA UJUE MTUME WASIFU WAKE.
KASOME TAFSIR YA IMAM MALIK YA QURAN.
UTAPATA MAJIBU YOTE USIENDE GOOGLE UKARUDI TAFUTA VITABU.
UKISHAPITIA HIVYO VITABU RUDI.
 
EMBU NIKUPE HINT UKASOME MAANA DOH.
KASOME SIRAH KWANZA UJUE MTUME WASIFU WAKE.
KASOME TAFSIR YA IMAM MALIK YA QURAN.
UTAPATA MAJIBU YOTE USIENDE GOOGLE UKARUDI TAFUTA VITABU.
UKISHAPITIA HIVYO VITABU RUDI.
Mtu anaeanza kusema kasome ujue nimeshamaliza kazi yangu , huna ushahidi wa unayoongea, Koran bila Hadith na Tafsiri ni kitabu hakieleweki kabisa
 
EMBU NIKUPE HINT UKASOME MAANA DOH.
KASOME SIRAH KWANZA UJUE MTUME WASIFU WAKE.
KASOME TAFSIR YA IMAM MALIK YA QURAN.
UTAPATA MAJIBU YOTE USIENDE GOOGLE UKARUDI TAFUTA VITABU.
UKISHAPITIA HIVYO VITABU RUDI.
Vitabu siku hizi vipo online huna sababu ya kutafuta hardcopy
 
EMBU NIKUPE HINT UKASOME MAANA DOH.
KASOME SIRAH KWANZA UJUE MTUME WASIFU WAKE.
KASOME TAFSIR YA IMAM MALIK YA QURAN.
UTAPATA MAJIBU YOTE USIENDE GOOGLE UKARUDI TAFUTA VITABU.
UKISHAPITIA HIVYO VITABU RUDI.
Nilikupa maswali marahisi kabisa , kwamba ILI uweze kujua majibu ya maswali yangu utategemea nini? Maana Koran haina majibu

Ili uweze kujibu haya maswali utategemea nini? twende taratibu kabisa
Unapo jibu weka ushahidi wa utegemezi ulipo utoa
Kosugi says "Quran haitegemei hadith wala vitabu vya wanazuoni mkuu ili uielewe."

Nimekupa mfano wa haya hizi
  • Koran 66:1 1. Ewe Muhammad! Kwa nini unaharimisha alicho kuhalilishia Allah?...
    • Bila kutumia Hadith wala Tafsir niambie ni nini Muhammad aliharimisha ambacho Allah alimuhalalishia?
  • Koran 36:14 Tulipo watumia wawili, wakawakanusha. Basi tukawazidishia nguvu kwa mwingine wa tatu. -
    • Bila kutumia Hadith na Tafsir nipe majina ya hawa watu watatu?
 
Na mm namzungumzia Issa huyo huyo.
Ninyi mnaamini Yesu katundikwa msalabani ndio imani yenu.
Mimi naamini Nabii Issa aliokolewa na alotundikwa alikua mtu badala yake.
Kwahiyo ni vigumu kuafikiana.
Issa kwa uelewa wako alikuwepo miaka ipi , kabla ya Yesu au Baada ya Yesu na kitabu gani Cha Jews tunaweza msoma issa
 
Kwa hoyo hizo ayat zime-expire??
na hii!
emoji116.png
emoji116.png

فَمَنْ حَاجَّكَ فِيهِ مِن بَعْدِ مَا جَاءَكَ مِنَ الْعِلْمِ فَقُلْ تَعَالَوْا نَدْعُ أَبْنَاءَنَا وَأَبْنَاءَكُمْ وَنِسَاءَنَا وَنِسَاءَكُمْ وَأَنفُسَنَا وَأَنفُسَكُمْ ثُمَّ نَبْتَهِلْ فَنَجْعَل لَّعْنَتَ اللَّهِ عَلَى الْكَاذِبِينَ

[ AL I'MRAN - 61 ]
Watakao kuhoji katika haya baada ya kukufikilia ilimu hii waambie: Njooni tuwaite watoto wetu na watoto wenu, na wake zetu na wake zenu, na sisi wenyewe na nyinyi wenyewe, kisha tuombe kwa unyenyekevu tutake laana ya Mwenyezi Mungu iwashukie waongo.
soma mlolongo na kisa chake unanukuu ayah moja tu
Nilikupa maswali marahisi kabisa , kwamba ILI uweze kujua majibu ya maswali yangu utategemea nini? Maana Koran haina majibu

Ili uweze kujibu haya maswali utategemea nini? twende taratibu kabisa
Unapo jibu weka ushahidi wa utegemezi ulipo utoa
Kosugi says "Quran haitegemei hadith wala vitabu vya wanazuoni mkuu ili uielewe."

Nimekupa mfano wa haya hizi
  • Koran 66:1 1. Ewe Muhammad! Kwa nini unaharimisha alicho kuhalilishia Allah?...
    • Bila kutumia Hadith wala Tafsir niambie ni nini Muhammad aliharimisha ambacho Allah alimuhalalishia?
  • Koran 36:14 Tulipo watumia wawili, wakawakanusha. Basi tukawazidishia nguvu kwa mwingine wa tatu. -
    • Bila kutumia Hadith na Tafsir nipe majina ya hawa watu watatu?
Hadith toa pembeni.
Hizo ayah wapaswa kutumia tafsir ili uweze kung'amua nini kimeongeleka.
kwasababu kisa chake kimefumbwa.
Ila Quran36:14 inaeleweka kisa chake ni ayah mutashabihat unatakiwa uanzie ayah ya 12 mpk 17 kinaelezea kisa cha mtume .
 
Issa kwa uelewa wako alikuwepo miaka ipi , kabla ya Yesu au Baada ya Yesu na kitabu gani Cha Jews tunaweza msoma issa
Huyo mnaemwita Yesu Masihi ndio kwetu Nabii Issa ambae alipewa injil.
 
Mtu anaeanza kusema kasome ujue nimeshamaliza kazi yangu , huna ushahidi wa unayoongea, Koran bila Hadith na Tafsiri ni kitabu hakieleweki kabisa
mimi nimekupa evidence ya vitabu.
unasemaje sina ushahidi?
SHIDA ZENU MANASARA MNASOMA DINI MTANDAONI SHAME ON YOU.
WE SI UNATAKA USHAHIDI?
KASOME VITABU NILIVYOKUTAJIA.
MM KILA NACHOONGEA NIMEFUNDISHWA SINA HAJA YA KWENDA GOOGLE KM WW.
QURAN HAITEGEMEI HADITH KWANZA HT HADITH HAUJUI MAANA YAKE KATAFTE SIRATUL NABAWIYYAH KASOME UTAFAHAM
 
Vitabu siku hizi vipo online huna sababu ya kutafuta hardcopy
😂😂😂😂😂😂😂😂😂pole yako.
Huwez kukuta kitabu cha wanazuoni wa kale mtandaoni ht kiduchu.
Ukikuta naanza kutembea uchi.
Ndio hivyo vitabu vya kina jalalalyn au?
HUWEZ KUKUTA VITABU VYA WANAZUONI WA KALE MTANDAONI.
NDIO MAAN HT UKIENDA SUUDIA KUSOMA DINI WANAKUPIGA MARUFUKU USITUMIE VITABU VYA MTANDAONI VINGI FABRICATED.
 
soma mlolongo na kisa chake unanukuu ayah moja tu
[emoji115][emoji116][emoji115][emoji116]
kisa hadi allah baba qasim amekasirika ni pale MAASKOFU WALIPO MTEMBELEA BBQASIM NYUMBANI KUTHIBITISHA KAMA ROHO ILIYOMVAA MUHAMMAD NI ROHO WA MUNGU!
WALIPOONA KAJAA POVU NA KUANZA KULAANI BADALA YA KUBARIKI KAMA ILIVYO ANDIKWA WAKAPATA JIBU ROHO ALIYOIVAA MUHAMMAD SIO ROHO WA MUNGU!
IKABIDI WAONDOKE!

Hadith toa pembeni.
Hizo ayah wapaswa kutumia tafsir ili uweze kung'amua nini kimeongeleka.
kwasababu kisa chake kimefumbwa.
Ila Quran36:14 inaeleweka kisa chake ni ayah mutashabihat unatakiwa uanzie ayah ya 12 mpk 17 kinaelezea kisa cha mtume .
 
soma mlolongo na kisa chake unanukuu ayah moja tu

Hadith toa pembeni.
Hizo ayah wapaswa kutumia tafsir ili uweze kung'amua nini kimeongeleka.
kwasababu kisa chake kimefumbwa.
Ila Quran36:14 inaeleweka kisa chake ni ayah mutashabihat unatakiwa uanzie ayah ya 12 mpk 17 kinaelezea kisa cha mtume .
Nimeshamaliza , Koran bila Hadith na Tafsiri ni kitabu kitupu kabisa ni kama mashahiri yasiyo na MAELEZO ya kutosha
 
Huyo mnaemwita Yesu Masihi ndio kwetu Nabii Issa ambae alipewa injil.
Hapana unakosea pakubwa mno , Issa alikuwepo kipindi Cha Mussa na Harun ila hakuna andiko lolote la kabla ya Koran likimtaja , Yesu alikuja miaka kama 1500 baada ya Musa
Issa ni huyu hapa, history yake fupi kutoka Koran
  • Tunaona kwenye koran inamtaja Issa, Babu yake ni Imran na Uncle zake ni Haruni na Mussa
    3;35.
    Alipo sema mke wa Imran: Mola wangu Mlezi! Nimekuwekea nadhiri kilichomo tumboni mwangu kuwa wakfu........
    36.
    Basi alipo mzaa alisema: Mola wangu Mlezi! Nimemzaa mwanamke(Maryamu)
    19:28 “Ewe dada yake Haruni. Baba yako hakuwa mtu mbaya.
    66;12. Na Mariamu binti wa Imrani, aliye linda ubikira wake,
  • Tunaona Huyu Isa wa Allah alikimbia msalaba , na Allah akatengeneza Issa mwingine ambae anafanana na Isa original ili Isa clone (cloning) asulubiwe(Hiki kitendo hakipo kwenye historia yoyote kabla ya Muhammad)
    • Koran 4:157. ................................ - nao hawakumuuwa wala hawakumsalibu, bali walifananishiwa tu...........
  • Swali la zaida umesema Issa wa Allah alipewa injili , hii injila ya Issa ipo wapi?
 
😂😂😂😂😂😂😂😂😂pole yako.
Huwez kukuta kitabu cha wanazuoni wa kale mtandaoni ht kiduchu.
Ukikuta naanza kutembea uchi.
Ndio hivyo vitabu vya kina jalalalyn au?
HUWEZ KUKUTA VITABU VYA WANAZUONI WA KALE MTANDAONI.
NDIO MAAN HT UKIENDA SUUDIA KUSOMA DINI WANAKUPIGA MARUFUKU USITUMIE VITABU VYA MTANDAONI VINGI FABRICATED.
Mtaje mwanazuoni wako wa kale nikuwekee hapa,
 
Back
Top Bottom