Marekani: Sherehe za uzinduzi wa msikiti zazua gumzo baada ya kualikwa wanaume pekee

WWeka
Weka hapa, piga ata picha ukurasa

Shida sio kujua Hadith au kuto kujua , Koran bila Hadith ni empty book

Maliza ubishi kama unasema Koran haitegemei Hadith jibu haya maswali kwa kutumia Koran only.
  • Koran 66:1 1. Ewe Muhammad! Kwa nini unaharimisha alicho kuhalilishia Allah?...
    • Bila kutumia Hadith wala Tafsir niambie ni nini Muhammad aliharimisha ambacho Allah alimuhalalishia?
  • Koran 36:14 Tulipo watumia wawili, wakawakanusha. Basi tukawazidishia nguvu kwa mwingine wa tatu. -
    • Bila kutumia Hadith na Tafsir nipe majina ya hawa watu watatu?
Jibu hayo maswali kwa kutumia Koran tu na leo hii ukiweza nanyoa ndevu zangu ambazo nimezifuga mwaka wa 15 sasa
 
Rudia tena kwa sauti , lazima utumie nini? Tafsir?
Kwa hiyo Koran ukimpa mtu ambae hajui uislamu unatakiwa uumpe na Hadith na tafsir , kwa nini Allah katunga kitabu tengemezi?
 
Ruhii ,24 ameeleza kuwa kitendo hicho n cha ''unyanyasaji dhidi ya wanawake na wasichana.
Namshauri Dada Ruhii abaki huko huko Marekani, akija huku Afghanistani litamkuta jambo
 
Kosugi says "Kuhusu hiko kisa ni asali sio Mariyyatul qibtiyyah.
Kasome ht sirah ama wasifu wa mtume hiko kisa kipo."

Soma hapa hicho kisa cha Maria the coptic

It was narrated from Anas, that the Messenger of Allah had a female slave with whom he had intercourse, but 'Aishah and Hafsah would not leave him alone until he said that she was forbidden for him. Then Allah, the Mighty and Sublime, revealed:
"O Prophet! Why do you forbid (for yourself) that which Allah has allowed to you.' until the end of the Verse. Sunan an-Nasa'i 3959

Hichi kisa cha kubaka ndio kilifanya Allah ashushe Koran 66:1
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…