Marekani: Spika wa Bunge, Nancy Pelosi anaweza kusababisha vita kali kati ya China na Marekani

Korea na Iran Wana umwamba gani ? ,Huyu Iran wanaye mbikiri kila siku wazayuni , wazayuni wanaingia na kutoka kwake wanaspy na kuua nuclear scientists wake hapo hapo kwake ?
Acha kabisa!! Iran iko kwenye vikwazo lukuki vya kiuchumi lakini inatoboa kutengeneza nyuklia na hakuna wa kuizuia!! Iliitwanga makombora lukuki kambi ya kijeshi ya Marekani iliyopo Iraq ikiwa ni kulipiza kisasi kwa kamanda wake kuuliwa na wamarekani, na Marekani hakufanya kitu!! Imedondosha drones kibao za upelelezi za marekani!! Iran mbabe sana na Marekani anajua!!
 
Leo mngeshinda sijui tungejificha wapi
Mbona Mimi mkuu sikuweka ushabiki wa kuamini China atafanya Jambo Mimi niliwadharau China tokea muda Sana . Ukichanganya na Bibi Pelosi ni mbishi na anamisimamo Sana namfahamu na namkubali tokea muda Sana . Mtu anachana hotuba ya Rais mbele yake huyo mtu lazima awe chuma haswa.
 
Unadhani kaenda tu. Huo ni mkakati wa kujua nguvu ya mchina ili wajue yule putin atapata msaada wapi wakikiwasha vzr. Nawaza tu
 
Mkuu Korea ana ubabe gani.?? Irani anaubabe gani.? Hembu tuache mihemko kaka. Hakuna hao wakumzuia au kumhenyesha U.S.A hata putin anavutiwa muda tu maana kdgo ni msumbufu
 
Pelosi katua Taiwan, Chinese were bluffing
 
Mbona mababu zetu walikua wanafika,,,ukute haya magonjwa waliotuletea na michanjo yao ndio yanayosababisha.
ila kwetu kwa sasa ni mtihani sna maana kijana wa miaka 40 wanaitana wazee sijui hiyo 82 wataitana nani ?
 
Hakuna vita yoyote labda kwenu huko ikwiriri
 
Mbona Urusi alipiga biti atayepeleka silaha kukiona, ila yeye ndo anakiona
alisema atakayeingilia sio atakayepeleka silaha,......nadhani hukusikia vizuri,
hata hivyo urusi wana nguvu kijeshi pengine hata zaidi ya US (maana US bila NATO sijui kama nguvu za kutisha).......

Russia toka enzi za USSR anapigana vikumbo na west (NATO), na hata NATO iliundwa kwa sababu wanamwogopa! hakuna nchi peke yake inaweza simama na mrusi, haipo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…