Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Teh teh mnaanza kumeza maneno,alisema atakaemsaidia kwa kupeleka silahaalisema atakayeingilia sio atakayepeleka silaha,......nadhani hukusikia vizuri,
hata hivyo urusi wana nguvu kijeshi pengine hata zaidi ya US (maana US bila NATO sijui kama nguvu za kutisha).......
Russia toka enzi za USSR anapigana vikumbo na west (NATO), na hata NATO iliundwa kwa sababu wanamwogopa! hakuna nchi peke yake inaweza simama na mrusi, haipo!
Unafahamu hata aliyewapeleka kule kisiwani ni Nani?🤔Kwa Taiwan imekuwa kama vile ilivyo baada ya kifo chake,mbona alivyokuwa hai hakuichukua Taiwan kibabe?
Hata Hongkong, Macau, Zanzibar, Scotland nazo zinaviongozi wao wa juu.lakini hazina viti vyao U.NInatawaliwa na nani sasa kama ina jeshi,Rais wake,hela yake na mabalozi nje?
Umekula marage unakuja kujamba uku ulaya kuusu gesi ya urusi wataangaika na hawataweza kuiacha unaisi RUSSIA inaongozwa na macho mlege walikaa vikao kuipunguza gesi ya Rusia mwisho wke Rusia ndyo kawapunguzia wanakuja kulia Lia kwenye media Putin ni master mind apo winter haijafika mtaita MMA mwaka huuMbolea inazalishwa Canada na mataifa mengine mengi, ngano ya Urusi soko lake kubwa wala sio west na nchi nyingi za west zinazalisha na ku export ngano, mzalishaji mkubwa wa titanium ni China na Japan, gesi ya Urusi Ulaya imeshapunguzwa kwa 50%
Canada siyo mzalishaji mkubwa wa mbolea kama Russia ebu angalia mwenyewe kama kwenye vikwazo alivyowekewa Russia kama wameigusa mbolea na gesi unajua ni kwann? Russia ndoye largest producer canada wakisema aachiee yeye soko la dunia kwa mbolea unadhani ataweza? the same kwenye gesi kama uerope wangekuwa wanambadla kama unavyosema wasingekuwa wanaangaika mpaka poland kuanza kutumia kuniMbolea inazalishwa Canada na mataifa mengine mengi, ngano ya Urusi soko lake kubwa wala sio west na nchi nyingi za west zinazalisha na ku export ngano, mzalishaji mkubwa wa titanium ni China na Japan, gesi ya Urusi Ulaya imeshapunguzwa kwa 50%
mueleze vizuri mkumbushe kuwa wakati wamemuwekea vikwazo USA akawa anapita nyuma nyuma anakuja kununua mbolea anasepa alafu anawaambia wenzake wasiiinunue kama canada wangekuwa wanauwezo mkubwa wa kuzalisha mbolea US asingeangaika kuja Russia kuchukua mboleaUmekula marage unakuja kujamba uku ulaya kuusu gesi ya urusi wataangaika na hawataweza kuiacha unaisi RUSSIA inaongozwa na macho mlege walikaa vikao kuipunguza gesi ya Rusia mwisho wke Rusia ndyo kawapunguzia wanakuja kulia Lia kwenye media Putin ni master mind apo winter haijafika mtaita MMA mwaka huu
NI vita ya kisaikolojia tu hamna kitu hapo.Unasemaje sasa? Marekani ndio Super Power Og amaeishi kwa vitendo sio porojo na show off.
Bibi aliamua kwenda Asia tour na babu Biden akashindwa kumzuia na washauri wa usalama wakapuuzwa, hivyo "is risk wealthy taking" kwa Pelosi.Unasema????
Marekani kama ni superpower apaswa kuonyesha kwamba anaheshimu sera ya China ya China One policy na sio kuichana au kuidharau....Mimi kwa elimu yangu hii tangu nikiwa shule ya msingi ninachojua ni kuwa Marekani aliwahi kushuka kiuchumi miaka ya zamani mno
Lakini tangu hapo hadi sasa nijuavyo haoa duniani super power ni mmoja tu
United states of America.
Hawa wengine ni ujanja ujanja tu
Unadhani ile ni trip ya kushtukiza?Bibi aliamua kwenda Asia tour na babu Biden akashindwa kumzuia na washauri wa usalama wakapuuzwa, hivyo "is risk wealthy taking" kwa Pelosi.
Huyo ni spika wa binge la Marekan mtu wa pili kwenye mhimili wa serikali mwenye nguvu, na sio Job Ndugai ambae kusema tu kidogo akapigwa ban.
Isitoshe bibi Pelosi ataka kuweka legacy kwamba ndie mkosoaji mkuu wa China kwenye masuala mbalimbali khasa ya haki za binadamu.
Nafahamu ilipangwa zamani lakini bado ni kitendo cha uchokozi na uonevu -provocation and bullying.Unadhani ile ni trip ya kushtukiza?
She is third in line of the presidency.
Kila kitu kilipangwa zamani
Anguko la Marekani ni uchumi wake na nguvu alobaki nayo ni ya kijeshi ambayo ndo aionyesha sasa. Hichi kitendo cha bibi Pelosi ni kwa ajili ya wamarekani wenyewe kuficha haki mbaya ya chumi nchini humo.Tatizo lenu mmekaa kufikiria anguko la Marekani
Unaijua historia ya kisiwa cha Taiwani?Marekani kama ni superpower apaswa kuonyesha kwamba anaheshimu sera ya China ya China One policy na sio kuichana au kuidharau.
Hichi kitendo walokifanya Marekani ni ubabe na uchokozi au "bullying and provocation bila sababu za msingi.
Marekani na China wote ni economic giants hivyo Marekani wapaswa kufikiria jambo hilo.
Hichi kitendo cha Nancy Pelosi ambacho kimeungwa mkono na serikali pamoja na deep state ya Marekani si kitendo cha kiungwana.,
Naifahamu historia ya Taiwan pengine kuliko weye, naamini "we are not in novice lecture".Unaijua historia ya kisiwa cha Taiwani?
Basi kama unaijua historia ya Taiwan na ChinaNaifahamu historia ya Taiwan pengine kuliko weye, naamini "we are not in novice lecture".
Marekani yupo sahihi kwenye lipi?Basi kama unaijua historia ya Taiwan na China
Marekani yuko sahihi
Nasubiri jibu lake na mimi nitie neno.Marekani yupo sahihi kwenye lipi?
Achana nao hawa wajinga unaanzaje kupambana na nchi ambayo total contribution yake kwenye global technology invention kwenye century hii hi more than 70 percent ? ,How dare are youMm hata sielewi watu wanaweeka ushabiki mpaka wa kiroho kwa sababu gani urusi ni kidudu kidogo sana musimpe headup saaana mpaka leo huko anahenya upereshen wa usaa 72 hii lin haha Russia ni super woman,China halikadhalika
Super Power ni mmoja tu USA baasi
teknolojia za nchi zoote role model wao
USA alafu unaleta kelele ni ushabiki kiazi tu watu wanao
Et namtoa kwenye list dah maumivu
America ni moja tu dunia ya teknolojia na maendeleo vilianza pale
End of shithole
sema wewe Don kwanza duuuhAchana nao hawa wajinga unaanzaje kupambana na nchi ambayo total contribution yake kwenye global technology invention kwenye century hii hi more than 70 percent ? ,How dare are you