Marekani: Spika wa Bunge, Nancy Pelosi anaweza kusababisha vita kali kati ya China na Marekani

Teh teh mnaanza kumeza maneno,alisema atakaemsaidia kwa kupeleka silaha
 
Mbolea inazalishwa Canada na mataifa mengine mengi, ngano ya Urusi soko lake kubwa wala sio west na nchi nyingi za west zinazalisha na ku export ngano, mzalishaji mkubwa wa titanium ni China na Japan, gesi ya Urusi Ulaya imeshapunguzwa kwa 50%
Umekula marage unakuja kujamba uku ulaya kuusu gesi ya urusi wataangaika na hawataweza kuiacha unaisi RUSSIA inaongozwa na macho mlege walikaa vikao kuipunguza gesi ya Rusia mwisho wke Rusia ndyo kawapunguzia wanakuja kulia Lia kwenye media Putin ni master mind apo winter haijafika mtaita MMA mwaka huu
 
Mbolea inazalishwa Canada na mataifa mengine mengi, ngano ya Urusi soko lake kubwa wala sio west na nchi nyingi za west zinazalisha na ku export ngano, mzalishaji mkubwa wa titanium ni China na Japan, gesi ya Urusi Ulaya imeshapunguzwa kwa 50%
Canada siyo mzalishaji mkubwa wa mbolea kama Russia ebu angalia mwenyewe kama kwenye vikwazo alivyowekewa Russia kama wameigusa mbolea na gesi unajua ni kwann? Russia ndoye largest producer canada wakisema aachiee yeye soko la dunia kwa mbolea unadhani ataweza? the same kwenye gesi kama uerope wangekuwa wanambadla kama unavyosema wasingekuwa wanaangaika mpaka poland kuanza kutumia kuni
 
mueleze vizuri mkumbushe kuwa wakati wamemuwekea vikwazo USA akawa anapita nyuma nyuma anakuja kununua mbolea anasepa alafu anawaambia wenzake wasiiinunue kama canada wangekuwa wanauwezo mkubwa wa kuzalisha mbolea US asingeangaika kuja Russia kuchukua mbolea
 
...Mimi kwa elimu yangu hii tangu nikiwa shule ya msingi ninachojua ni kuwa Marekani aliwahi kushuka kiuchumi miaka ya zamani mno

Lakini tangu hapo hadi sasa nijuavyo haoa duniani super power ni mmoja tu

United states of America.

Hawa wengine ni ujanja ujanja tu
 
Unasemaje sasa? Marekani ndio Super Power Og amaeishi kwa vitendo sio porojo na show off.
NI vita ya kisaikolojia tu hamna kitu hapo.

China hawatachukua hatua leo bali siku waloipanga.
 
Unasema????
Bibi aliamua kwenda Asia tour na babu Biden akashindwa kumzuia na washauri wa usalama wakapuuzwa, hivyo "is risk wealthy taking" kwa Pelosi.

Huyo ni spika wa binge la Marekan mtu wa pili kwenye mhimili wa serikali mwenye nguvu, na sio Job Ndugai ambae kusema tu kidogo akapigwa ban.

Isitoshe bibi Pelosi ataka kuweka legacy kwamba ndie mkosoaji mkuu wa China kwenye masuala mbalimbali khasa ya haki za binadamu.
 
Marekani kama ni superpower apaswa kuonyesha kwamba anaheshimu sera ya China ya China One policy na sio kuichana au kuidharau.

Hichi kitendo walokifanya Marekani ni ubabe na uchokozi au "bullying and provocation bila sababu za msingi.

Marekani na China wote ni economic giants hivyo Marekani wapaswa kufikiria jambo hilo.

Hichi kitendo cha Nancy Pelosi ambacho kimeungwa mkono na serikali pamoja na deep state ya Marekani si kitendo cha kiungwana.,
 
Unadhani ile ni trip ya kushtukiza?
She is third in line of the presidency.

Kila kitu kilipangwa zamani
 
Unadhani ile ni trip ya kushtukiza?
She is third in line of the presidency.

Kila kitu kilipangwa zamani
Nafahamu ilipangwa zamani lakini bado ni kitendo cha uchokozi na uonevu -provocation and bullying.
 
Tatizo lenu mmekaa kufikiria anguko la Marekani
Anguko la Marekani ni uchumi wake na nguvu alobaki nayo ni ya kijeshi ambayo ndo aionyesha sasa. Hichi kitendo cha bibi Pelosi ni kwa ajili ya wamarekani wenyewe kuficha haki mbaya ya chumi nchini humo.

Ili kufidia tatizo la kiuchumi Marekani imeamua kutumia jeshi lake kutafuta vita duniani ili kuziwahi Russia na China maana yatambua kuwa siku si chache hawa wawili watakuwa juu yake khasa kwenye kuhodhi sehemu kadhaa zenye rasilimali duniani.
 
Unaijua historia ya kisiwa cha Taiwani?
 
Achana nao hawa wajinga unaanzaje kupambana na nchi ambayo total contribution yake kwenye global technology invention kwenye century hii hi more than 70 percent ? ,How dare are you
 
Achana nao hawa wajinga unaanzaje kupambana na nchi ambayo total contribution yake kwenye global technology invention kwenye century hii hi more than 70 percent ? ,How dare are you
sema wewe Don kwanza duuuh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…