Marekani: Spika wa Bunge, Nancy Pelosi anaweza kusababisha vita kali kati ya China na Marekani

Bidhaa gani ya mali asili ya Russia ambayo Ulaya hawana mbadala wake au hawawezi kuipata kwingine duniani?
1. Gesi! ulaya wana gesi lakini haiwezi kabisa kutosheleza mahitaji yao. Ndiyo maana hadi sasa wameshindwa kuiwekea gesi vikwazo! Ndiyo maana pia Putin amefanikiwa kuwalazimisha wanunue gesi kwa ruble!
2. Ulaya hawana mafuta ya kuweza kutosheleza mahitaji yao.
 
unaujakika gani kwan mbona munampetesha chuchin wenu
 
Only a few hours after US House of Representatives Speaker Nancy Pelosi left Taiwan after pledging solidarity to the nation, 27 Chinese warplanes entered Taiwan’s air defence zone, news agency AFP reported quoting Taiwan officials.

China had also blocked imports of citrus, fish, and other foods from Taiwan in retaliation for a visit by the top American lawmaker.
 
Russia huyu huyu ambaye wananchi wake Sasa hv wanataabika kwa kukosa mahitaji muhimu ya binaadamu awe juu ya usa?

Hizo bhange mnazo vuta kabla hamjala zitawaua
 
Russia China and oil producing countries are great threat to US economy.
 
Unadhani ile ni trip ya kushtukiza?
She is third in line of the presidency.

Kila kitu kilipangwa zamani
Inasemekana USA waliitaarifu China kuhusu safari ya Pelosi tangu mwezi July
 
Marekani ana nguvu kiuchumi,kijeshi,kisiasa,kiushawishi na kiteknolojia sio nchi ya kupuuzwa hata kidogo unaposema nguvu alobakiwa nayo ni ya kijeshi unakosea Sana
 
Russia China and oil producing countries are great threat to US economy.
Marekani ndo nchi inayozalisha mafuta mengi duniani kwa sasa kuliko nchi yoyote ile,tatizo ni kwamba wana mahitaji makubwa Sana ndo maana inabidi kuagiza kidogo Nje kufidia gap
 
Vita ya nioko
 
Marekani ana nguvu kiuchumi,kijeshi,kisiasa,kiushawishi na kiteknolojia sio nchi ya kupuuzwa hata kidogo unaposema nguvu alobakiwa nayo ni ya kijeshi unakosea Sana
Hawa madogo hawa
 
Urusi yenyewe yazidiwa gdp na California
 
Inasemekana USA waliitaarifu China kuhusu safari ya Pelosi tangu mwezi July
CNN wanadai Ikulu ya Marekani ilipanga safari kwa Usiri, ila kuna mmoja alivujisha kwa waandishi. Hapo ndo China akajua akaanza kupiga mdebe wake
 
NewYork ndy sehem ya biashara yenye mapsto makubwa dunian kwa mwezi mzunguko wake ni $5 trillion alafu utasemaje imeanguka kiuchumumi hakuna sehem yenye soko kubwa duniani kama si marekani
 
Marekani ana nguvu kiuchumi,kijeshi,kisiasa,kiushawishi na kiteknolojia sio nchi ya kupuuzwa hata kidogo unaposema nguvu alobakiwa nayo ni ya kijeshi unakosea Sana
Uchumi wa marekani sasa wayumba na ni juzi tu wametoa taarifa ya kutishiwa kwa mwanguko wa kiuchumi au recession.

Fuatilieni habari hizi.

Hayo yote unosema ya siasa, na teknolojia hayawezi kustawi zaidi kama uchumi wayumba.

Hiyo ni habari ya tarehe 27 Julai.

US economy shrinks again sparking recession fears:​

 
NewYork ndy sehem ya biashara yenye mapsto makubwa dunian kwa mwezi mzunguko wake ni $5 trillion alafu utasemaje imeanguka kiuchumumi hakuna sehem yenye soko kubwa duniani kama si marekani
Sijasema umeanguka ila wayumba.

Soma hapa:

Hiyo ni habari ya tarehe 27 Julai

 
BREAKING: Tokyo says five missiles fired by China's military landed in Japan's exclusive economic zone
 
Mbona hata wa China umeyumba hadi wanazuia watu kutoa pesa benki kwa kutumia jeshi.
 
Marekani akimaliza huko aje atuvuruge na huku Tanganyika na Zanzibar kwa sababu ni mchokozi sana na anapenda kuona wenzake wanapigana. Kifupi Marekani ni kivuruge.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…