Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kagoogle vizuriHakuna vita itakaa itokee kati ya Taiwan na China... Matajiri wa Taiwan ndio wamewekeza China kwa sehemu kubwa sana na wana muingiliano mkubwa wa kindugu
ukraine amepiga kimya?,we uko dunia ipi,mafuta ya urusi ananunua nani?China anawaza kuiinua nchi yake kiuchumi na anamtegemea sana marekani hivyo hawezi kufanya vita na marekani. Hata kule Ukraine amepiga kimya.
Nakuona mwana kijiji wa chato baada ya kushiba mihogo umekaa kwenye kochi na kuanza kuandika madudu.China anawaza kuiinua nchi yake kiuchumi na anamtegemea sana marekani hivyo hawezi kufanya vita na marekani. Hata kule Ukraine amepiga kimya.
Inabidi tujue siri ya wao kuishi miaka mingi ili ikiwezekana na sisi tujiboostIla wenzetu wanaishi sana tofauti na sisi, yaani kiongozi wa miaka 82 au 79 huku Africa ni fujo tu hana lolote ajielewi kuanzia afya ya mwili mpaka akili
Nimeishi Taiwan mwaka mzima 2000 ambapo tension ilikuwa kubwa kiasi kwamba wageni tulihamishwa usiku kupelekwa Nagasaki kwa ndegeKagoogle vizuri
China ya leo siyo sawa na China ya wakati huo! Hata hivyo ni China ndiyo iliyomfurumua marekani kwenye vita vya korea!! Korea ya kaskazini ilikuwa imeshaelemewa, lakini china ilipotia mguu wake walirudishwa nyuma!Hakuna kitu China atafanya mbele ya USA, akikumbuka alivyofinywa na japani enzi zileee Hana hamu na vita
Bado nakuambia China ya wakati huo siyo China ya leo!! Kama vile USSR ya 1990 siyo sawa na Urusi ya leo!! China ni mbabe wa kiuchumi duniani!! Huwezi kuiwekea vikwazo vya kiuchumi kama ilivyowekewa urusi vinginevyo uchumi wa dunia unakwama wote!!Nimeishi Taiwan mwaka mzima 2000 ambapo tension ilikuwa kubwa kiasi kwamba wageni tulihamishwa usiku kupelekwa Nagasaki kwa ndege
Linapokuja suala la maslahi ya inchi hayo Mambo hayapewi tena kipaumbele, Taiwan ikifanikiwa kujitenga na marekani ikiimarisha ushawishi wake hio ni threat kubwa kwa china..china hawezi kuruhusu hiko kitokee ingawa vita kutoea sio rahisi ,hio ziara ni mwendelezo wa harakati za kuitenganisha Taiwan na chinaChina anawaza kuiinua nchi yake kiuchumi na anamtegemea sana marekani hivyo hawezi kufanya vita na marekani. Hata kule Ukraine amepiga kimya.
China unaifananisha na inchi gani.China kikaragosi kilichotengenezwa na USA baada ya kuruhusiwa kuingia kwenye WTO na free market economy anapata wapi ubavu wa kutunishiana ubavu na Marekani , hivi unadhani Marekani ni Burundi nyie wajinga sio ? ,Hivi mnalojua hili jitu linaloitwa USA au ?
Hii vita marekani alienda na umoja wa mataifa yeye kama yeye alipigwaChina ya leo siyo sawa na China ya wakati huo! Hata hivyo ni China ndiyo iliyomfurumua marekani kwenye vita vya korea!! Korea ya kaskazini ilikuwa imeshaelemewa, lakini china ilipotia mguu wake walirudishwa nyuma!
Bado hataweza hata mara moja kuivamia TaiwanBado nakuambia China ya wakati huo siyo China ya leo!! Kama vile USSR ya 1990 siyo sawa na Urusi ya leo!! China ni mbabe wa kiuchumi duniani!! Huwezi kuiwekea vikwazo vya kiuchumi kama ilivyowekewa urusi vinginevyo uchumi wa dunia unakwama wote!!
Nijumuishe na mimi, afu milf wa kizungu na kiJapan ndio wazuri milf wa kibongo ni kinyaa tupuMzee wa MILF [emoji1787]
Supa pawa wa zamani za kale ameshachomoa baada ya kupewa biti la nguvu la kibabe kutoka china. Sasa official kibibi kizee polosi hakita kanyaga ardhi ya Teiwani kama kilivyopanga.Hiki kibibi ambacho kimekaribia kuhitimisha maisha yake hapa duniani kinaweza kusababisha maelfu ya watu wakiwemo watoto na vijana kufariki kama kitaendelea na chokochoko chake cha kulazimisha kuingia Taiwan kinyume na matakwa ya China ambayo ndiyo mmiliki halali wa Taiwan. China ilishaionya Marekani kuwa kama kibibi hicho (Nancy Pelosi) kitaamua kutaka kuingia Taiwan kinguvu basi Marekani itakuwa inataka kuchezea moto na lazima itaungua. Tishio hilo liliifanya Ziara ya Pelosi kutokuwa na kituo cha Taiwan kwenye ziara yake ya mashariki ya mbali.
Cha kushangazwa leo jioni Marekani imetangaza kuwa anatazamiwa kuingia Taiwan kesho jumanne!! China imesema imeziagiza ndege zake kukesha zikikizunguka kisiwa cha Taiwan kuhakikishga kuwa Pelosi hatii mguu wake Taiwan!! Marekani imesema inaelekeza meli zake zilizoko karibu na maeneo hayo zielekee huko ili kumlinda Pelosi!! Sijui hili picha litaishaje, lakini waswahili walisema mzaha mzaha hutumbua usaha1! Wote Pelosi na Biden ni wazee na hawana kiu kubwa sana ya kuendelea kuishi lakini kiburi cha kutaka kuonesha umwamba dhidi ya China inaweza kupelekera vita ya tatu ya dunia!! Mungu aepushe balaa hilo!!
Pelosi to visit Taiwan – CNN
The top US official will be staying overnight in Taipei, the news network reports
CNN has confirmed from sources both in the US and in Taiwan that US House Speaker Nancy Pelosi plans to visit the self-governed island this week, despite objections from Beijing, which considers the island part of its territory.
A Taiwanese official said that Pelosi is expected to spend the night in Taiwan, but didn’t offer any details about the time of her expected arrival. A US official said the Pentagon was “working around the clock” to ensure the speaker's safety. Both spoke on condition of anonymity.
Maoni yangu: Marekani anatishia tu wala Pelosi hatothubutu kuingia Taiwan. Ikitokea kweli Pelosi akaingia Taiwan na China ikaingia baridi kutekeleza kitisho chake, China itadharaulika mbele ya dunia na mbele ya Marekani milele!! Japo China kukubali kudharaulika ndio itakuwa wokovu wa dunia kuepushwa na vita kuu ya tatu kwa sasa!!
View attachment 2311328
Kibibi hicho kinataka kuiletea balaa wakati chenyewe kimeshaifaidi dunia kwa miaka 82!!
View attachment 2311330
View attachment 2311333
Kibabu Biden cha miaka 79 chenyewe kimeshaifaidi dunia kwa miaka 79 kinataka kuleta kizazaa duniani kisababishe watoto wadogo na vijana kwa maelfu wapoteze maisha ili mradi tu kionekane kibabe mbele ya China!! Dunia ikipinge hiki kibibi na hiki kibabu kwa nguvu zote!! Wawaache na wenzao wafikishe ile miaka waliyofikia wao!!