Marekani: Spika wa Bunge, Nancy Pelosi anaweza kusababisha vita kali kati ya China na Marekani

Marekani: Spika wa Bunge, Nancy Pelosi anaweza kusababisha vita kali kati ya China na Marekani

Nafikiri anaweza kufanya move baada ya. Nancy kuondoka
Ametangaza kufanya mazoezi ya kivita ya siku 3 kukizunguka kisiwa cha Taiwan.

Hii yote ni nini? Binafsi naona wanaficha aibu lakini pakacha limeshavuja haliwezi kuhimili. China kwa leo imekuwa ni kicheko kwa dunia.

China haitofanya chochote kwa Taiwan. Kilichotokea kwa leo si kwa mara ya kwanza kwa China kufanyiwa na west. Kuna mwaka walitaka kukivamia kabisa wakapigwa biti wakarudi kwa aibu.
 
Nahitimisha: Afadhali China ASINGEJIMWAMBAFAI, lakini suala la kupiga mkwara hewa limemwaibisha sana China!! Hata huko China wachina wenyewe watamdharau sana rais wao!! Mrusi hapo hana mshirika! Ukimtegemea mchina kukupa tafu atakuacha kwenye mataa!! Wababe waliobaki ni watatu tu: URUSI, KOREA YA KASKAZINI NA IRAN!!
 
Ametangaza kufanya mazoezi ya kivita ya siku 6 kukizunguka kisiwa cha Taiwan.

Hii yote ni nini? Binafsi naona wanaficha aibu lakini pakacha limeshavuja haliwezi kuhimili. China kwa leo imekuwa ni kicheko kwa dunia.

China haitofanya chochote kwa Taiwan. Kilichotokea kwa leo si kwa mara ya kwanza kwa China kufanyiwa na west. Kuna mwaka walitaka kukivamia kabisa wakapigwa biti wakarudi kwa aibu.
Unasema kweli kabisa: Wakati NATO ilipoishambulia Serbia zama zile za Yugoslavia ya zamani, China ilileta mdomo kidogo, kilichofanyika ni kwamba NATO walishambulia ubalozi wa China nchini Yugoslavia, na China hakufanya chochote!! Kushambulia ubalozi ni kuishambulia nchi husika!!
 
Unasema kweli kabisa: Wakati NATO ilipoishambulia Serbia zama zile za Yugoslavia ya zamani, China ilileta mdomo kidogo, kilichofanyika ni kwamba NATO walishambulia ubalozi wa China nchini Yugoslavia, na China hakufanya chochote!! Kushambulia ubalozi ni kuishambulia nchi husika!!
Mwenyewe husema hatutasahau kilichofanyika Yugoslavia
 
Unasema kweli kabisa: Wakati NATO ilipoishambulia Serbia zama zile za Yugoslavia ya zamani, China ilileta mdomo kidogo, kilichofanyika ni kwamba NATO walishambulia ubalozi wa China nchini Yugoslavia, na China hakufanya chochote!! Kushambulia ubalozi ni kuishambulia nchi husika!!
Hata Russia alipoanza operation Ukraine China ilikuwa Inasita sita. Baada ya kuona Russia ipo serious nayo ikaanza kutoa misemo ya kututimia misuli.
 
Ili China isiendelee kuaibika ni afadhali China iitangazie uhuru Taiwan kesho asubuhi, maana ikichelewa itajitangazia uhuru yenyewe. Maana kwa leo imedhihirisha kuwa iko huru kivitendo!!
Dharau kubwa!

Pelosi anaingia anga ya Taiwan, Taiwan inatoa ulinzi wa ndege zake za kivita kumsindikiza?! Huu ulofa hata Tz usingeukubali.
 
Hiki kibibi ambacho kimekaribia kuhitimisha maisha yake hapa duniani kinaweza kusababisha maelfu ya watu wakiwemo watoto na vijana kufariki kama kitaendelea na chokochoko chake cha kulazimisha kuingia Taiwan kinyume na matakwa ya China ambayo ndiyo mmiliki halali wa Taiwan. China ilishaionya Marekani kuwa kama kibibi hicho (Nancy Pelosi) kitaamua kutaka kuingia Taiwan kinguvu basi Marekani itakuwa inataka kuchezea moto na lazima itaungua. Tishio hilo liliifanya Ziara ya Pelosi kutokuwa na kituo cha Taiwan kwenye ziara yake ya mashariki ya mbali.

Cha kushangazwa leo jioni Marekani imetangaza kuwa anatazamiwa kuingia Taiwan kesho jumanne!! China imesema imeziagiza ndege zake kukesha zikikizunguka kisiwa cha Taiwan kuhakikishga kuwa Pelosi hatii mguu wake Taiwan!! Marekani imesema inaelekeza meli zake zilizoko karibu na maeneo hayo zielekee huko ili kumlinda Pelosi!! Sijui hili picha litaishaje, lakini waswahili walisema mzaha mzaha hutumbua usaha1! Wote Pelosi na Biden ni wazee na hawana kiu kubwa sana ya kuendelea kuishi lakini kiburi cha kutaka kuonesha umwamba dhidi ya China inaweza kupelekera vita ya tatu ya dunia!! Mungu aepushe balaa hilo!!

Pelosi to visit Taiwan – CNN​

The top US official will be staying overnight in Taipei, the news network reports
CNN has confirmed from sources both in the US and in Taiwan that US House Speaker Nancy Pelosi plans to visit the self-governed island this week, despite objections from Beijing, which considers the island part of its territory.

A Taiwanese official said that Pelosi is expected to spend the night in Taiwan, but didn’t offer any details about the time of her expected arrival. A US official said the Pentagon was “working around the clock” to ensure the speaker's safety. Both spoke on condition of anonymity.

Maoni yangu: Marekani anatishia tu wala Pelosi hatothubutu kuingia Taiwan. Ikitokea kweli Pelosi akaingia Taiwan na China ikaingia baridi kutekeleza kitisho chake, China itadharaulika mbele ya dunia na mbele ya Marekani milele!! Japo China kukubali kudharaulika ndio itakuwa wokovu wa dunia kuepushwa na vita kuu ya tatu kwa sasa!!

View attachment 2311328
Kibibi hicho kinataka kuiletea balaa wakati chenyewe kimeshaifaidi dunia kwa miaka 82!!



View attachment 2311333
Kibabu Biden cha miaka 79 chenyewe kimeshaifaidi dunia kwa miaka 79 kinataka kuleta kizazaa duniani kisababishe watoto wadogo na vijana kwa maelfu wapoteze maisha ili mradi tu kionekane kibabe mbele ya China!! Dunia ikipinge hiki kibibi na hiki kibabu kwa nguvu zote!! Wawaache na wenzao wafikishe ile miaka waliyofikia wao!!
Mchina apigane na nani wakati hata hajafikia kuwa superpower?
 
1659458665281.png

Kibibi hicho kinaikanyaga ardhi ya Taiwan kwa madaha! CHINA KAUFYATA-UKAFYATIKA!!!
 
Nahitimisha: Afadhali China ASINGEJIMWAMBAFAI, lakini suala la kupiga mkwara hewa limemwaibisha sana China!! Hata huko China wachina wenyewe watamdharau sana rais wao!! Mrusi hapo hana mshirika! Ukimtegemea mchina kukupa tafu atakuacha kwenye mataa!! Wababe waliobaki ni watatu tu: URUSI, KOREA YA KASKAZINI NA IRAN!!
putin ayo mbona anayajua china ni superpower wa mchongo ndio mahana anamchukulia kuwa ni mshirika wa kibiashara tu lakini kumtegemea kwenye millitary atakuacha ferry unashangaa meli sidhani kama ata kwenye store zao za silaha wana silaha kweli usikute wamejaza ma tecno na infinix wanasema silaha[emoji28][emoji28]
 
Ili China isiendelee kuaibika ni afadhali China iitangazie uhuru Taiwan kesho asubuhi, maana ikichelewa itajitangazia uhuru yenyewe. Maana kwa leo imedhihirisha kuwa iko huru kivitendo!!
Upo sahihi kabisa.

# U.S.A NI SUPERPOWER CHINA NI MANDONGA 😆
 
Nahitimisha: Afadhali China ASINGEJIMWAMBAFAI, lakini suala la kupiga mkwara hewa limemwaibisha sana China!! Hata huko China wachina wenyewe watamdharau sana rais wao!! Mrusi hapo hana mshirika! Ukimtegemea mchina kukupa tafu atakuacha kwenye mataa!! Wababe waliobaki ni watatu tu: URUSI, KOREA YA KASKAZINI NA IRAN!!
Korea na Iran Wana umwamba gani ? ,Huyu Iran wanaye mbikiri kila siku wazayuni , wazayuni wanaingia na kutoka kwake wanaspy na kuua nuclear scientists wake hapo hapo kwake ?
 
Back
Top Bottom