Marekani: Tyrese Gibson ameangua kilio kikali baada ya mke wake Samantha Lee kushinda kesi ya talaka na kuchukua mali zote

Hivi huko hakunaga uchawi? Si waijie hata sumbawanga radi zinauzwa hadi jero jero , ukichukua nyingi kuna bonasi.

Hakunaga mapanga? Hakunaga magunia ya mkaa? Hakunaga makaro ya vyoo? Wajinga hawa! Mbona huko kumiliki bastola ni kama kumiliki kisu tu huku!

Siwezi kutafuta kwa jasho langu halafu mpumbavu mmoja wa kike aje ajibebee kiulani, mbaya zaidi eti akavinjari na njemba! Hata kama ni hukumu ya kunyongwa nipewe tu
 
Aje nimpeleke katavi akaroge wote waiate moto ex wife wake na huyo njemva

Baada ya tukio na mafanikio mi atanipa hata ki range na kitita Cha usf 4000 tu
 
Sijaelewa kwamba mwanamke kukubali kuolewa na mtu asiye na hisia nae ni kosa la muoaji na kwamba adhabu yake ni muoaji kunyang'anywa vyote alivyo navyo na kupewa muolewaji😇😇😇😇
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…